Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Wanabodi,
Nimekutana na picha hii kwenye posti fulani ya Safari ni safari, nikaona imenikumbusha mbali,
hivyo sio vibaya nikishare na nyinyi kuwakumbuka ma celeb wetu enzi hizo.
Naweza kuwa nimeyakosea baadhi ya majini, ni kitambo- 1995!.
Asante umetukumbusha mbali.
Msatari wa mbele waliokaa toka kushoto ni Charles Hilary 'Mzee wa Macharanga(BBC-London), Mikidadi Mahamud (Mkurugenzi, Radio Uhuru), Mzungu aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa kwanza,Julius Nyaisangah (Uncle J).
Nyuma waliosimama toka kushoto. Deo Mshigeni, (sijui alipo), Mike Mhagama(DW-Radio), Monica Mfumia (sijui Alipo), Flora Nducha (Mkuu wa UN-Radio-NewYork), Vicky Msina (PRO-BOT), Aboubakar Liongo (DW-Radio-Ujerumani, Sunday Shomari (VOA-Marekani), kabinti kadogo sikakumbuki, na wa mwisho ni Taji Liondi (Mr.T) (Mkuu wa TBC-FM).
Nimekutana na picha hii kwenye posti fulani ya Safari ni safari, nikaona imenikumbusha mbali,
hivyo sio vibaya nikishare na nyinyi kuwakumbuka ma celeb wetu enzi hizo.
Naweza kuwa nimeyakosea baadhi ya majini, ni kitambo- 1995!.
Msatari wa mbele waliokaa toka kushoto ni Charles Hilary 'Mzee wa Macharanga(BBC-London), Mikidadi Mahamud (Mkurugenzi, Radio Uhuru), Mzungu aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa kwanza,Julius Nyaisangah (Uncle J).
Nyuma waliosimama toka kushoto. Deo Mshigeni, (sijui alipo), Mike Mhagama(DW-Radio), Monica Mfumia (sijui Alipo), Flora Nducha (Mkuu wa UN-Radio-NewYork), Vicky Msina (PRO-BOT), Aboubakar Liongo (DW-Radio-Ujerumani, Sunday Shomari (VOA-Marekani), kabinti kadogo sikakumbuki, na wa mwisho ni Taji Liondi (Mr.T) (Mkuu wa TBC-FM).