billymambo
Member
- Jan 9, 2014
- 51
- 10
Tangazo la Philips ndio yenye we sauti safi sauti kubwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi ziliuzwa posta? Baba yangu alikuwa sub postmaster lakini sikuzijua hizo. Ala kumbeDaah Enzi za kununua kadi na kutuma salamu redioni!! Unawapaisha wadau wako wote. Nyakati zimekwenda wapi??
Hehee kama bado hujaoa basi oa broo.Kumekucha jama kumekuchaaaaa na jogoo vijijini wanawika hata na jua mbinguni kinatoka Wazalendo amkeni tufanye kazi saaasaaa[emoji323] [emoji323] [emoji323] [emoji122] [emoji122] [emoji122] kweli nyakati zinasonga mbele.[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
Nina 47Hehee kama bado hujaoa basi oa broo.
Mkuu nimekukubali ila ungeongeza na misakato kila jumamosi asubuhi tunapata nyimbo mpya zinazorekodiwa halafu jioni kwa Uncle J.Nyaisanga anaposema "kwa mara nyingine tena,radio Tanzania Dar es alam yawaletea CLUB RAHA LEOOO....shoooooooo.." bila kusahau jumapili mchana sauti nzito ya David Wakati kipindi nipe habari,halafu asubuhi kuanzia saa mbili unusu asubuhi NJOO TUIMBE SOTE hapa luteni john komba ndo alipotokea na kwaya zake,ila nakumbuka kwaya moja sikumbuki aliimba nani "mtaje mtaje kiijanaa aliyekupa mimba saakina dada.....Mchezo wa mzee Jangala ikidhaminiwa na pombe aina ya chibuku, nakumbuka nyimbo, idara yetu ya uhamiaji nalo jukumu kubwa saanaaaa kuwakaribishaa kuwasafirishaa na kulinda mipaka yetu[emoji441][emoji443][emoji443][emoji445][emoji445]
Watoto wasafi moyonii ni nyoota za macho ya wazaziiiiii[emoji445][emoji445][emoji445][emoji443][emoji443][emoji441]
Shamba aaanii shambaani shambaani mazaoo boora shambaani, haya twendenii shaambanii wananchi tukaalimeee [emoji443] [emoji444] [emoji446] [emoji447]
Wanawakee wa Tanzania wazuuuriii saaaanaaa, wanawakeeee tanzaniaa maendeleo tanzaniaaaa[emoji445][emoji443][emoji441][emoji443][emoji445]
Kuleni chakula boora cha kuujenga muili naku.... Pa kulala pawe boraa[emoji443][emoji445][emoji441]
Wakati umewadia wa salam za wagonjwa hosipitalinii leo tunawapa poleee, ajuaye bwana Mungu kwa mfu kuwa mzima mgonjwa kuwa salamaa leo tunawapa polee[emoji445][emoji445][emoji443][emoji445][emoji445][emoji441]
Wananchiiiii tujifunzeni ushirikaaaaa wananchi tujifunzeni ushirikaaaaa [emoji441][emoji445][emoji445][emoji445][emoji445]
Jamani vitaa imetangazwaa jamaaa wananchi wote tuwe imara, vijijini na mjini msisite kuwasema walanguzi[emoji445][emoji445][emoji445]
Matangazo sasa
1. Tumaa vifurushiii barua na pesa vitu mbalimbali vifike harakaaa tena kwa uhakikaaa, itumie sasaa shirika la posta na simu tanzaaaaniaaa ndio tegemeo letuu.
2. Hebu jitokezeee jioneshe simamaa mbelee za watuuu
3. Tairi general kutoka arushaaa tanzaaaaniaaa
4. Revolaaa revolaaaaa revolaaaaaa revolaaaaaaaa
5. Wee acha kula mali ya umma wee acha kujitafuna tafuna weeeee, wachaaaaaaaaa
6. Tumia chibuku ndio pombe bora, radha ya chibuku hujulikana, sifa moja na nyinginezo ni kulinda hadhi ya mnywaji
7. Komoooooaaaaa aaa komooooaaaa komoaaaa
8. Benki ya akiba ya posta ndio yako, benki ya akiba ya posta ni kwa watanzaniaaa woooote wakubwa kwa wadogo... Wananchi unaweza kufungua akaunti ya kawaaida, akaunti ya muda na akaunti ya muda maaalum.. Usingoje kesho ooo fungua akaunti yako leooo
Watangazaji hahaha Mama Deborah, Dominic Chilambo
Nimejikuta napata sweet memories tu
Santeee..karibu kwetu KataviNina 47
Kale ka mziki kipindi cha majira saa tatu umekasahau duh we jamaa una kumbukumbu sanaMchezo wa mzee Jangala ikidhaminiwa na pombe aina ya chibuku, nakumbuka nyimbo, idara yetu ya uhamiaji nalo jukumu kubwa saanaaaa kuwakaribishaa kuwasafirishaa na kulinda mipaka yetu[emoji441][emoji443][emoji443][emoji445][emoji445]
Watoto wasafi moyonii ni nyoota za macho ya wazaziiiiii[emoji445][emoji445][emoji445][emoji443][emoji443][emoji441]
Shamba aaanii shambaani shambaani mazaoo boora shambaani, haya twendenii shaambanii wananchi tukaalimeee [emoji443] [emoji444] [emoji446] [emoji447]
Wanawakee wa Tanzania wazuuuriii saaaanaaa, wanawakeeee tanzaniaa maendeleo tanzaniaaaa[emoji445][emoji443][emoji441][emoji443][emoji445]
Kuleni chakula boora cha kuujenga muili naku.... Pa kulala pawe boraa[emoji443][emoji445][emoji441]
Wakati umewadia wa salam za wagonjwa hosipitalinii leo tunawapa poleee, ajuaye bwana Mungu kwa mfu kuwa mzima mgonjwa kuwa salamaa leo tunawapa polee[emoji445][emoji445][emoji443][emoji445][emoji445][emoji441]
Wananchiiiii tujifunzeni ushirikaaaaa wananchi tujifunzeni ushirikaaaaa [emoji441][emoji445][emoji445][emoji445][emoji445]
Jamani vitaa imetangazwaa jamaaa wananchi wote tuwe imara, vijijini na mjini msisite kuwasema walanguzi[emoji445][emoji445][emoji445]
Matangazo sasa
1. Tumaa vifurushiii barua na pesa vitu mbalimbali vifike harakaaa tena kwa uhakikaaa, itumie sasaa shirika la posta na simu tanzaaaaniaaa ndio tegemeo letuu.
2. Hebu jitokezeee jioneshe simamaa mbelee za watuuu
3. Tairi general kutoka arushaaa tanzaaaaniaaa
4. Revolaaa revolaaaaa revolaaaaaa revolaaaaaaaa
5. Wee acha kula mali ya umma wee acha kujitafuna tafuna weeeee, wachaaaaaaaaa
6. Tumia chibuku ndio pombe bora, radha ya chibuku hujulikana, sifa moja na nyinginezo ni kulinda hadhi ya mnywaji
7. Komoooooaaaaa aaa komooooaaaa komoaaaa
8. Benki ya akiba ya posta ndio yako, benki ya akiba ya posta ni kwa watanzaniaaa woooote wakubwa kwa wadogo... Wananchi unaweza kufungua akaunti ya kawaaida, akaunti ya muda na akaunti ya muda maaalum.. Usingoje kesho ooo fungua akaunti yako leooo
Watangazaji hahaha Mama Deborah, Dominic Chilambo
Nimejikuta napata sweet memories tu
Jumapili saa nane mchana ilikuwaga ni kipindi cha MAMA NA MWANA.Dah Mengi
Usomaji wa taarifa wa habari ulikuwa wa makini. Sisi tukiwa wadogo tulikuwa tunabashiri wasomaji.
Na hii ndio Taarifa ya Habari isomwayo na ...... David Wakati, SS. Nkamba/ Juma nGondae/ jamani we
Kipindi cha klabu raha leo Shooooooow!
Salamu kwa wagonjwa!
Mchana mwema
Kipindi cha wafanyakazi jamani- Wimbo wa Msondo-n Nidhamu ya kazi ni msingi wa mafanikio.......( mwenye clip hiyo aiweke)
Pwagu na Pwaguzi
Mchezo wa Redio jamani wanaact kama vile unawaona!! Wasanii hao wangekuwepo leo wangepata hela sana!
Huwezi ku rewind wakati,Ingekuwa inawezekana na hizi shida za dunia mie ningerudi umri wa Chekechea!!tena ningekimbilia[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] daa maisha nayatunisha misuli[emoji123] [emoji123] [emoji123] [emoji123] [emoji123]Nikizikumbuka hizo nyakati huwa nalia mwenyewe kwa uchungu......
umenikumbusha mbali! nadhani ilikuwa kipindi cha Vijana leo!!!Tangazo la Philips ndio yenye we sauti safi sauti kubwa
Daah umenikumbusha mbali na mpk nikamkumbuka marehemu mdogo wangu,tulikua tunashindana kujibu maswali yaliyokua yanaulizwa redioni km methali,nahau,mafumbo etc.da Mungu muacheni aitweni MunguHiyo ilikuwa ya kuanzia kipindi ya kumalizia ubeti.ulikuwa hivi:
kwaherini watoto wote
tukutane juma lijalooo
msikose kipindi cha watoto
asanteni kwaherini woteeee.
Ilikuwa lazima ujongee redioni wakti ukitaradad
Nakumbuka enzi hizo ulikuwa unanunua daftari alafu unanunua big G kisha zile big g ndani zilikuwa zina stika za wachezaji wa mpira wa kizamani kisha unatafuna big g ikishaisha utamu unabandika picha katika daftari alafu unashinda na mwenzako picha za wachezaji au vikosi vya timu kama wanazo
enzi hizo wakina;
1.Zenden
2. Kaptain Dunga
3. paul ince
4.davo sukar
5. edga david
6. oliver khan
7. zidane
8. emanuel petit
9. a. nesta
10 dino baggio
11. Lizarazu
12 ben mc carthy
13 okocha
14 hierro
15 kruivet
16 seedorf
17 Marc Overmars
18 Alan shearer
19 diego simeone
20. g. batistuta.