CleverKING
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 8,502
- 25,470
CRDB ni benki ya wakulima kama..... Vijijini unalikumbuka hili tangazo? Tegemea bp ni nini...trekta meli ndege na vyombo vinginevyo...bp Tanzania limited ni zaidiiii! Je unakumbuka? Vikoromboso vinavyoendelea sasa iv kwenye radio ni aibu tupu. Damn I miss my childhood!!!
Mkuu hili tangazo nalikumbuka....
CRDB ni benki ya ushirika na maendeleo vijijini,pia hutoa huduma ya mikopo