Tujikumbushe watangazaji wa zamani wa Redio na TV

Tujikumbushe watangazaji wa zamani wa Redio na TV

35. Mjomba Godfrey Mgodo
36. Suleiman Kumchaya
37. Omary Masoud Wa Jawewa -Michezoo yeetu! RIP
38. Mikidadi Mahmoud
39. Suleiman Hega
40. Suleiman Kihemba


Wee acha tu !!
 
Kumbe Nawaz ilikuwa ni ya huyu Bakhresa! nakumbuka mjomba wangu alikuwa akinipeleka pale kupata Ice creamn, nakumbuka ukiingia unajitilia mwenyewe ice cream kwenye vimashine fulani hivi. inatoka kwenye vibomba.

Nawaz ndo SS Bakhresa kaanzia hapo baada ya kutoka huko kwao Pemba alikokuwa akishona viatu...alidhamini hilo pambano la Simba na Yanga.....Nawaz na Azam...
 
kitu cha saa 4 asubuh, kama sikosei j.2, kitu cha wakati umewadia wa hospt, leo tunawapa pole, halafu kuna yule jamaa wa baraaaa balabala kabisa, mpnz msikilizaji karibu kwenye kipindi da kimenitoka jina kilikuwa sa 8 mchana.
 
Kwa vijana wa zamani. Unakumbuka nini unapopitia majina haya? Je, yuko wapi kwa sasa? Unamkumbuka katika kipindi kipi kilichokufurahisha?

1. Bujaga Izengo Kadago
2. Debora Mwenda
3. Sarah Dumba
4. Julius Nyaisanga
5. Charles Hillary
6. Eshe Mhidini
7. Frolian Kaiza
8. Tumbo Risasi
9. David Wakati
10. Halima Kihemba
11. Betty Mkwasa
12. January Costantine
13. Lando Mabula
14. Ben kiko
15. Abubakary Lyongo
16. Sued Mwinyi
17. Abisai Stevin alishafariki
18. Nswima Ernest
19. Malima Ndelema
20. Richard Leo
21. Ahmed Jongo
22. Christina Chokunogela
23. Shaban Kissu
24. Jacob Tesha
25. Sallim Mbonde
26. Sekion Kitojo
27. Omary Jongo
28. Abdalla Majura

wapi Crispin Lugongo aka Tumbwisa,sylvanus haule,Aloysia Maneno?kweli RTD ilikua kiboko aisee dah haitakuja jirudia Maskini Abisai Stephen alishafariki kweli hawa watu inabidi waenziwe sana
 
Enzi hizo kukosa uwanjani ni mwiko, saa tisa umeshaingia uwanjani zamaani, unamsilikizia tu chilambo, "Mpenzi msikilizaji hapa ninapikupa mawili matatu kuhusiana na mtanange huu kati ya TP Lindanda na Malindi ya Zanzibar, misululu ya watu ni mirefu inafika hadi barabara ya furahisha"

Ile timu ya Pamba haitakaa itokee tena sio mwanza tu Tanzania yote haitakuwepo timu kama pamba ya wakati ule


Moja kwamoja kutoka uwanja wa CCM Kirumba mwanza, uwanja wa nyumbani wa wana Tupisa Lindanda;
Golkeeper yuko Paul Rwechungura, akisaidiwa na Fullback right David Mwakalebela na Fullback Left Saleh Muddy Saleh (Saleh Muhammad). Half back four yuko Goeerge Magere Masatu na Sentahafu yuko Abdallah Bori. Half Back six yuko Hussein Aman Marsha wakati right wing yuko Hamza Mponda. Inside right; nambari nane huyu, yuko Nico Bambaga wakati sentaforward yuko Kitwana Suleiman "Popat", Khalfan Ngassa yuko Inside left na Left wing yuko Beya simba/Nteze John Lungu.

Hawa jamaa acha kabisa, Pamba ilikuwa na hazina ya wachezaji ambao rekodi yao haijawahi fikiwa na timu yoyote hapa Tanzania. Wengine ni akina Madada Lubigisa, Rajab Msoma, Alphonce Modest(Beki mtulivu/mstaarabu), Mao Mkamy "Ball Dancer", Goerge Gole "Double G" Fumo Felician, Pascal mayala, Hamisi Nyembo, Pamba mko wapi jamani.
 
kumbe pascal mayala aliwahi kutangaza RTD?


Salama Mfamao RIP
Aloysia Isabula
Aloysia Maneno
Peter Makorongo
Suleiman Kumchaya
Juma Ngondae RIP
Mshindo Mkeyenge
Abdallah Mlawa
Siwatu Luanda RIP
Salim Mbonde
Omary Masoud RIP
Pascal Mayalla
Adam Mwaibabile
etc....
 
Takribani miaka kumi hv iliyopita,kabla rtd haijabadilishiwa jina na kuitwa tbc 2,alikuwepo mtangazaji mahiri wa habari za michezo na msoma taarifa za hbr nguli aliyeitwa ezekiel malongo.Huyu mwanahabari alinikosha sana enzi zake lkn siku hz simsikii kabisa na siju alikimbilia wapi.Mwenye taharifa zaidi kumhusu anijuze.
 
Ukiyaona majina haya yanakukumbusha wapi pia ulikuwa unafanya nini?
Aboubakar Lyongo
Malima Ndelema.,Ezekiel Malongo,Sekion
Kitojo,Tumbo Risasi,Betty Mkwasa,Halima
Kihemba,Deborah Mwenda,Sued Mwinyi,Sarah
Dumba
Julius Nyaisanga,Charles Hillary,Richard
Leo,Ahmedi Jongo,Salimu Mbonde,Eshe
Muhidin,Florian Kaiza,David Wakat,January
Constatine,Lando Mabula ,Ben Kiko
Abisai Steven,Nswima Ernes,Mohamed
Kisengo,Ahmed Jongo,Christna Chokunogela,Sha
ban Kisu,Jakob Tesha,Dominic Chilambo,Fatma
Kipozi,Abdul Ngalawa,Omari Jongo. David Wakati,Juma Nkamia,Elisia
Isabula,Aisha Dachi,Aloisia Maneno,Shida
Matamba,Tido Mhando,Enzi
 
Ha ha ha haaaaa! Hapo kwa Ben kiko, Juma nkamia, Julius Nyaisanga (abood radio na Tv) Ezekiel Malongo na mbwembwe za michezo.....kipindi hcho npo zang shule ya msngi na redio mkulima ya mbao aliyokuja nayo father kutoka mgodini s.Africa wenyew waliita Joni badala ya Johanesburg nikikumbuka nacheka sana
 
mmh wakuu mmenikumbusha mbali sana.duh!!!!jf is very interesting@*#%%%%
 
Deborah Mwenda,
Sarah Dumba,
Julius Nyaisanga,
Charles Hillary,
Florian Kaiza,
Tumbo Risasi,
Halima Kihemba,
Betty Mkwasa,
January Constatine,Juma Ngondae,
Lando Mabula,
Ben Kiko,
Abubakar Lyongo,
Sued Mwinyi,
Abisai Steven,
Nswima Ernest,
Malima Ndelema,
Richard Leo,
Mohamed Kisengo,
Ahmed Jongo,
Christna Chokunogela,
Shaban Kisu,
Salim Mbonde,
Sekion Kitojo,
Dominic Chilambo,
Michael katembo,
Halima mchuka,
Ahmed Kipozi,
Fatma Kipozi,
Ezekiel Marongo,
Abdul Ngalawa,
Omari Jongo,
Abdala Majurah.

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom