Tujikumbushe: Waziri Magufuli alipotoa waraka wa mafanikio ya Rais Kikwete kwenye mambo ya ujenzi kuanzia mwaka 2005 hadi 2015

Tujikumbushe: Waziri Magufuli alipotoa waraka wa mafanikio ya Rais Kikwete kwenye mambo ya ujenzi kuanzia mwaka 2005 hadi 2015

Hizo 3500KM unazosema kajenga JPM yeye kaja kumalizia kazi tu manake wakati yupo field kutafuta kura ile 2015, ujenzi wa hizo barabara ulikuwa unaendelea!
Ni muhimu ukazingatia kuwa barabara zina viwango tofauti vya ujenzi. Hizo KM 17762 ni barabara zote kwa ujumla lakini barabara za lami zilizokamilika kwa miaka 10 ni ,KM 5568 na km 3873 zilikuwa zinaendelea.

Ni kweli baadhi ya hizo zimekamilishwa kipindi cha awamu ya Tano. Hili ni jambo la kawaida katika ujenzi wa barabara, lazima kuwe na overlapping kwa kila awamu. Kwa trend hii ya Rais Magufuli zaidi ya KM 10,000 zitakuwa zimejengwa kwa kiwango cha LAMI ndani ya miaka yake 10.
 
Takwimu hizo zinaonesha kuwa Mheshimiwa Kikwete kwa miaka 10 alijenga KM 5568 za barabara kwa kiwango cha lami. Yeye Mheshimiwa Rais Magufuli katika kipindi cha miaka 5 tu tayari amekamilisha kujenga KM 3500 za barabara na KM zingine 2500 ujenzi wake unaendelea. Zote ni kwa kiwango cha lami. Hivyo utaona kuwa Rais Magufuli amejenga barabara mara mbili zaidi ya zile zilizojengwa na Mhe Kikwete. Mpe kura yako Oktoba 28 aendelee kufanya maajabu katika ujenzi wa barabara nchini.

Hizo kilometa 3500 unazosema JPM kazijenga, ni miongoni mwa zile kilometa 3873 ambazo Kikwete aliacha zinajengwa.

Taarifa ya hizo barabara unazozisema ni kwenye screeshot ifuatayo, tazama nilipowekea rangi nyekundu.

1601984370644.png
 
Namba zake nyingine kaweka za uongo. Kwa mfano 2.1.7 umbali toka Sekenke mpaka Shelui ni kama KM 12 tu na sio 33km alivyoweka
 
Namba zake nyingine kaweka za uongo. Kwa mfano 2.1.7 umbali toka Sekenke mpaka Shelui ni kama KM 12 tu na sio 33km alivyoweka

Hiyo ni ripoti ya Magufuli mwenyewe wakati akiwa waziri

Data za hiyo taarifa zinasapotiwa na mtandao wa TANROADS, angalia hapa Chini

1601984711462.png
 
Takwimu hizo zinaonesha kuwa Mheshimiwa Kikwete kwa miaka 10 alijenga KM 5568 za barabara kwa kiwango cha lami. Yeye Mheshimiwa Rais Magufuli katika kipindi cha miaka 5 tu tayari amekamilisha kujenga KM 3500 za barabara na KM zingine 2500 ujenzi wake unaendelea. Zote ni kwa kiwango cha lami. Hivyo utaona kuwa Rais Magufuli amejenga barabara mara mbili zaidi ya zile zilizojengwa na Mhe Kikwete. Mpe kura yako Oktoba 28 aendelee kufanya maajabu katika ujenzi wa barabara nchini.
Bora kumchagua Rungwe kuliko Jiwe

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Siyo kweli Flyover ya Ubungo mkopo wake ulisainiwa tarehe 20 March 2017 . Ni Rais Magufuli aliyesimamia majadiliano yake na hatimaye mkopo kutolewa. Angalia hapa chini


DAR ES SALAAM, March 16, 2017 —The World Bank Group President, Dr. Jim Yong Kim, will visit Tanzania from March 19-21, 2017.

During his visit, Dr. Kim will meet with President John Pombe Magufuli, to discuss key engagements of the strategic partnership between the Republic of Tanzania and the World Bank Group. Dr. Kim will also spotlight World Bank Group-supported investments in transformational infrastructure, and highlight the need for continued investments in human development, especially education quality and investing in the early years.

PROGRAM OF VISIT

Laying of foundation stone for Ubungo overpass, together with H. E. Dr John Magufuli
When:
Monday, March 20, 2017
Where: Ubungo
Participants: Senior Government of Tanzania Officials; World Bank Group Officials, Media, General Public

Visit to Zanaki primary school
When:
Monday, March 20, 2017
Where: Upanga, Dar es Salaam
Participants: Hon. Dr. Joyce Ndalichako, the Minister for Education, Science and Technology and Senior Government of Tanzania Officials; World Bank Group Officials; Media

This will be Dr. Kim’s first visit to Tanzania. The partnership between the World Bank Group and the Government of Tanzania began in June 1960 when the International Finance Corporation, the World Bank Group’s private sector arm, invested $2.8 million in the Kilombero Sugar Company. In 1962, the World Bank provided $4.6 million to then Tanganyika for the School Construction Equipment Project, followed by $5 million for the 1965 Agriculture Credit project.

The World Bank is currently financing 23 national projects amounting to $3.6 billion, in addition to seven regional operations through which Tanzania accesses $551 million in financing, reaching a total commitment of $4.3 billion. The bulk of this support (22 percent) focuses on the transportation sector, followed by urban development (20 percent).

A physician and anthropologist, Dr. Kim has dedicated his career to international development. For more than two decades, he helped under-served populations by improving healthcare in countries around the world. Dr. Kim became the 12th President of the World Bank Group on July 1, 2012, after serving as President of Dartmouth College, a pre-eminent center of higher education in the United States. Dr. Kim is a co-founder of Partners In Health (PIH) and a former director of the HIV/AIDS Department at the World Health Organization (WHO).

Fungua hiyo pdf niliyoweka kwenye attachment hapo mwanzoni mwa hii thread ukurasa wa 20, kisha uone Upembuzi yakinifu wa TAZARA -FLYOVER na Ubungo Interchange ilianza lini?. Kiufupi mpaka mwaka 2015 hiyo miradi upembuzi wake yakinifu ulishafanyika, kilichokuwa kinasubiriwa ni ujenzi tu

Ngoja nikuwekee screenshot

1601985753158.png
 
Siyo kweli Flyover ya Ubungo mkopo wake ulisainiwa tarehe 20 March 2017 . Ni Rais Magufuli aliyesimamia majadiliano yake na hatimaye mkopo kutolewa. Angalia hapa chini..
Duh!!

Kwahiyo unataka kutuambia Rais wetu kipenzi, mpenda wanyonge Bwana John Pombe Magufuli alilidanganya Bunge mwaka 2015 aliposema kwamba World Bank wamekubali kugharamia ujenzi wa Ubungo Interchange, au?!!

Yaani seriously unasema rais wetu mwongo?! Kweli?! I'm so sad kututukania rais wetu kwa matusi ya rejareja!!!

Mi nasema hivi, miradi yote ya flyovers Magu kakuta imeshafanyiwa kazi na financiers walishapatikana! Tafuta Final Report ya TANROADS ya January 2015 kuhusu Ubungo Interchange!!

Na usisahau, miradi aina hii negotiation upembuzi yakinifu na negotiation zinachukua muda mrefu kisha jiulize kama Final Report ilitoka 2015 zoezi zima lilianza lini!!

Sehemu ya ripoti hiyo inasema:-
During the colourful ceremony for foundation stone laying for the Phase 1 of the construction of Dar es Salaam Bus Rapid Transit (BRT) infrastructure, his Excellency Dr. Jakaya Mrisho Kikwete, the President of the United Republic of Tanzania was briefed about the current design at the Ubungo junction that; the design provides for at grade traffic crossing which is controlled by traffic lights. In order to give priority to BRT buses, the right turn is not allowed at the junction, instead the right turning vehicles have to turn first to the left and then make a “U” turn to the junction. This arrangement was noted to inconvenience
Baada ya kuona hilo jambo ni inconvenience, ndipo TANROADS wakaja na idea kwamba:-
Following the briefing; the President supported the idea of constructing Grade Interchange at the junction and directed that, the World Bank should be requested immediately for financial support. In order to avoid disruption of the BRT operation in future, it is important for the construction of the Grade Separated Intersection to be done concurrently with the ongoing construction of the road.
Na baada ya WB kuwa requested wakakubali kwa sababu mradi wa BRT ulikuwa chini yao, na construction ya interchange ilikuwa ni kwa ajili ya kuboresha BRT!

Ni kutokana na hilo, ndio maana JPM kwenye hotuba yake kama Waziri wa Ujenzi akaongea bungeni kwamba WB wamekubali kugharamia huo ujenzi!!

Hicho unachoona wewe kama JPM ndie kafanikisha ilikuwa ni mwendelezo tu wa BRT New Phase ambayo ni ujengaji wa interchange!! Tena hata hiyo habari uliyoweka wewe, hiyo ni sehemu tu ya full report!!!

Full Updated Report ni hii hapa chini, zingatia hapo nilipofanya bolding na RED:-

STORY HIGHLIGHTS
  • World Bank Group President Jim Yong Kim and Tanzanian President John Magufuli unveiled the foundation stone for the Ubongo Interchange, which will ease transportation bottlenecks and help businesses.
  • The interchange is supported by a $225 million concessional credit from the International Development Association (IDA), in addition to an IDA Scale-up Facility Credit of $200 million.
  • Under the first phase of the Bus Rapid Transit system, roundtrip travel time on the corridor was reduced by 90 minutes a day, saving commuters 16 days of sitting in traffic.
DAR ES SALAAM, March 27, 2017−A mother of two, Mwanaidi Mrisho has been a fishmonger for the past decade. Each day, she commutes from the Magogoni Fish Market, at the western-most end of Dar es Salaam, to Kimara-Mwisho, about 20 kilometers outside the city. The onerous daily commute has taken its toll on her well-being and her livelihood.
“It used to take me up to three hours to travel from Kimara to Magogoni and back every day due to traffic jams,” explains Mrisho. “I would aim to be on the road by 5:00 am at the latest in order to make it to the fish market before 8:00 am.”

In Tanzania’s business capital, Dar es Salaam, which is located along the Indian Ocean, fish traders from various city suburbs rush every morning to get to Magogoni, where auctions typically start at the crack of dawn.

“The earlier you get to the market, the more likely you are to get the best deals in terms of quality of fish and price,” Mrisho adds.

Until last year, commuters like Mrisho in Tanzania’s largest city relied on a public transport system dominated by about 7,500 daladalas – loosely regulated commuter minibuses operated by individual owners. These would jostle each other for passengers in the city’s epic traffic jams, where 10-minute trips easily took more than three hours during peak times.
Since May 2016, however, this has started to change with the first phase of the Bus Rapid Transit (BRT) system and subsequent phasing out of the daladalas on the BRT’s route, which has already significantly reduced travel time and costs for many commuters.

The World Bank Group financed the first phase of the BRT system under the Second Central Transport Corridor, which was completed in 2015 and covers more than 20 kilometers of truck routes. With a fleet of 140 modern high-capacity buses operated by the Usafiri Dar es Salaam Rapid Transit (UDA-RT) ferrying commuters along segregated busways, the journey that once took two to three hours has been reduced to between 30 and 50 minutes. The UDA-RT is providing interim services, while another private operator that is being competitively procured will supply an additional fleet of 165 buses.

This week, World Bank Group President Jim Yong Kim and Tanzanian President John Magufuli unveiled the foundation stone for the second phase of the BRT. It will entail the construction of the Ubungo Interchange, a set of overpasses at a landmark intersection leading into the city, which has been a bottleneck slowing transit on the BRT.

The interchange is being built under the Dar es Salaam Urban Transport Improvement Project (DUTP) which is supported by a $225 million concessional credit from the International Development Association (IDA) in addition to an IDA Scale-up Facility Credit of $200 million.

At the launch event, President Kim congratulated the Tanzanian government on the remarkable investment in the BRT system and the decision to have it operated under a public private partnership.

“Government leadership and public spending will always be critical, but we’ve also learned that if the use of public resources is strategically focused, we can dramatically increase finance for development by crowding in private capital,” Kim said in his speech. “Countries can put in place reforms, build the pool of bankable projects, and deliver sustainable and affordable infrastructure services.”

Kim said leaders at the G20 meeting in Germany, from which he had just traveled, had appreciated the urgent need to rethink development finance. “Aspirations and the global goals are so expansive, and to meet them in a country like Tanzania, we need to maximize the pool of resources for public development,” Kim said.

Dar es Salaam has a population of 4.4 million which has been growing rapidly at a rate of 6.5% per year and is expected to become a mega city before 2030. The city has major congestion and mobility problems from a combination of rapid growth, an underdeveloped road network, an increase in motorization and port-through traffic, and the lack of efficient public transport.

“The journey from the Port of Dar es Salaam takes a truck up to seven hours to Kibaha, a distance of just 28 kilometers,” laments Rahim Dossa, a member of the Tanzania Truck Owners Association. “This means we have to use more fuel and this affects our bottom line.”

The Dar es Salaam BRT is planned as an extensive system of 137 kilometers of corridors to be built in six sequential phases. The African Development Bank and the Africa Growing Together Fund, jointly with the Government of Tanzania, are financing the ongoing construction of the $159 million second phase of the BRT system totaling 20.3 kilometers.

“The BRT is another great example of how strategic government investments can lead to private sector investments and great outcomes for the people,” Kim said. “Since the BRT opened last year, it has reduced the roundtrip travel time on this corridor by 90 minutes a day, saving commuters 16 days of sitting in traffic.”

For many small-scale fish traders like Mrisho, who sells her stock on the roadside in Kimara, the BRT could transform her life for the better, as time saved in transport means more money in her pocket, and greater peace of mind.
UTAONA hapo juu WB wanazungumzia mradi ule ule wa BRT lakini second phase!!!
 
Takwimu hizo zinaonesha kuwa Mheshimiwa Kikwete kwa miaka 10 alijenga KM 5568 za barabara kwa kiwango cha lami. Yeye Mheshimiwa Rais Magufuli katika kipindi cha miaka 5 tu tayari amekamilisha kujenga KM 3500 za barabara na KM zingine 2500 ujenzi wake unaendelea. Zote ni kwa kiwango cha lami. Hivyo utaona kuwa Rais Magufuli amejenga barabara mara mbili zaidi ya zile zilizojengwa na Mhe Kikwete. Mpe kura yako Oktoba 28 aendelee kufanya maajabu katika ujenzi wa barabara nchini.
Mkuu ingekuwa na vizuri ukaweka takwimu zako kwa kutaja maeneo/barabara zenyewe na urefu wake.
 
Takwimu hizo zinaonesha kuwa Mheshimiwa Kikwete kwa miaka 10 alijenga KM 5568 za barabara kwa kiwango cha lami. Yeye Mheshimiwa Rais Magufuli katika kipindi cha miaka 5 tu tayari amekamilisha kujenga KM 3500 za barabara na KM zingine 2500 ujenzi wake unaendelea. Zote ni kwa kiwango cha lami. Hivyo utaona kuwa Rais Magufuli amejenga barabara mara mbili zaidi ya zile zilizojengwa na Mhe Kikwete. Mpe kura yako Oktoba 28 aendelee kufanya maajabu katika ujenzi wa barabara nchini.
Mkuu ingekuwa na vizuri ukaweka takwimu zako kwa kutaja maeneo/barabara zenyewe na urefu wake.
 
Ni muhimu ukazingatia kuwa barabara zina viwango tofauti vya ujenzi. Hizo KM 17762 ni barabara zote kwa ujumla lakini barabara za lami zilizokamilika kwa miaka 10 ni ,KM 5568 na km 3873 zilikuwa zinaendelea. Ni kweli baadhi ya hizo zimekamilishwa kipindi cha awamu ya Tano. Hili ni jambo la kawaida katika ujenzi wa barabara, lazima kuwe na overlapping kwa kila awamu. Kwa trend hii ya Rais Magufuli zaidi ya KM 10,000 zitakuwa zimejengwa kwa kiwango cha LAMI ndani ya miaka yake 10.
Sijazungumzia suala km 17K bali nimejibu hoja yako uliyosema ndani ya miaka 5, JK kajenga 5.5K na JPM kakamilisha 3.9K, ndipo nikakukumbusha kwamba hizo 3 point something JPM kazikuta zinajengwa! Ina maana kila kitu kilifanyika kabla hajawa rais!!

Sasa kama zilikuwa ktk hatua mbalimbali, how come zote unazihamishia kwa Magu wakati yeye kaja kumalizia tu?! Hivi itakuwa ni sahihi kusema aiport Terminal III au Hospitali ya Mlonganzilwa imejengwa na JPM?
 
Fungua hiyo pdf niliyoweka kwenye attachment hapo mwanzoni mwa hii thread ukurasa wa 20, kisha uone Upembuzi yakinifu wa TAZARA -FLYOVER na Ubungo Interchange ilianza lini?. Kiufupi mpaka mwaka 2015 hiyo miradi upembuzi wake yakinifu ulishafanyika, kilichokuwa kinasubiriwa ni ujenzi tu

Ngoja nikuwekee screenshot

View attachment 1592133
Mkuu tenganisha upembuzi yakinifu na financing ya mradi. Mradi unaweza kufanyiwa upembuzi yakinifu na ikachukua miaka kadhaa kupata financier. Ni vitu viwili tofauti. Ni kweli upembuzi yakinifu ya Ubungu interchange ilianza kabla ya Urais wa Mheshimiwa Magufuli na kampuni iliyokuwa ikifanya hiyo kazi ni Hamza Company ya Misri.
 
Duh!!

Kwahiyo unataka kutuambia Rais wetu kipenzi, mpenda wanyonge Bwana John Pombe Magufuli alilidanganya Bunge mwaka 2015 aliposema kwamba World Bank wamekubali kugharamia ujenzi wa Ubungo Interchange, au?!...

Mkuu tenganisha upembuzi yakinifu na financing ya mradi. Mradi unaweza kufanyiwa upembuzi yakinifu na ikachukua miaka kadhaa kupata financier. Ni vitu viwili tofauti. Ni kweli upembuzi yakinifu ya Ubungu interchange ilianza kabla ya Urais wa Mheshimiwa Magufuli na kampuni iliyokuwa ikifanya hiyo kazi ni Hamza Company ya Misri.

Kuna overlapping ya utekelezaji wa miradi. Kuna anayefanya upembuzi yakinifu na anayetafuta pesa. All in all ni kwamba Ubungo interchange imejengwa na Chama cha Mapinduzi chini ya usimamizi wa Mh Rais Magufuli akiwa Waziri wa Ujenzi na akiwa Rais. Ndugu yangu tumpe kura zetu aendelee kufanya maajabu mengine ya ujenzi wa barabara na interchange zingine, usishangee hata mtaani kwako lami itapita. Magufuli huyoooooo hadi 2025.
 
Mkuu tenganisha upembuzi yakinifu na financing ya mradi. Mradi unaweza kufanyiwa upembuzi yakinifu na ikachukua miaka kadhaa kupata financier. Ni vitu viwili tofauti. Ni kweli upembuzi yakinifu ya Ubungu interchange ilianza kabla ya Urais wa Mheshimiwa Magufuli na kampuni iliyokuwa ikifanya hiyo kazi ni Hamza Company ya Misri.

Flyover ya Tazara mkataba wa Ujenzi uliwekwa saini tarehe 15 October 2015 kati ya serikali ya Tanzania na wafadhili (Wajapani), wakati huo rais akiwa bado JK na kabla hata ya uchaguzi mkuu uliomuingiza Magufuli madarakani.

Kwa hiyo Financing ya mradi wa Flyover ya TAZARA ilitafutwa na kupatikana wakati wa JK
 
Mkuu tenganisha upembuzi yakinifu na financing ya mradi. Mradi unaweza kufanyiwa upembuzi yakinifu na ikachukua miaka kadhaa kupata financier. Ni vitu viwili tofauti. Ni kweli upembuzi yakinifu ya Ubungu interchange ilianza kabla ya Urais wa Mheshimiwa Magufuli na kampuni iliyokuwa ikifanya hiyo kazi ni Hamza Company ya Misri. Kuna overlapping ya utekelezaji wa miradi. Kuna anayefanya upembuzi yakinifu na anayetafuta pesa. All in all ni kwamba Ubungo interchange imejengwa na Chama cha Mapinduzi chini ya usimamizi wa Mh Rais Magufuli akiwa Waziri wa Ujenzi na akiwa Rais. Ndugu yangu tumpe kura zetu aendelee kufanya maajabu mengine ya ujenzi wa barabara na interchange zingine, usishangee hata mtaani kwako lami itapita. Magufuli huyoooooo hadi 2025.
Man, jaribu kuelewa mtu anachosema, na ninarudia kwa ufupi labda maelezo marefu yanakuchanganya:-

1. Kauli ya JPM Bungeni akiwa waziri anasema:-
Benki ya Dunia imekubali kugharamia utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa barabara za juu (Interchange) katika makutano ya Ubungo. Upembuzi yakinifu na usanifu wa kina wa Interchange ya Ubungo umekamilika.
Ina maana maelezo hayo kwako yanazungumzia upembuzi yakinifu wakati umeambiwa wazi kwamba "..upembuzi yakinifu na usanifu wa kina wa Interchange ya Ubungo umekamilika" na kwamba "Benki ya Dunia imekubali kugharamia utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa barabara za juu."

Hiyo hotuba ilisomwa May 2015!!!

Na World Bank wenyewe wamesema wazi kwamba: "...foundation stone for the second phase of the BRT. It will entail the construction of the Ubungo Interchange."

Sasa mtu anayezungumzia suala la second phase ina maana itakuwa hufahamu kwamba huo ni mwendelezo wa first phase?!

Au hufahamu kwamba BRT inajengwa kwa phases tofauti tofauti lakini financier ni yule yule World Bank ambae HAKUTAFUTWA na Awamu ya V, na hata sasa sio kwamba atakuwa anatafutwa financier mwingine!!
 
Sasa mbona amekua na kawaida ya kuwaponda hao watangulizi wake hadharani kwa kutofanya chochote na pia kutuaminisha ya kwamba asipokuwepo yeye, basi hakuna kitakachofanyika nchini!

Kwenye hiyo ishu ya mishahara ma ajira, huenda kuna watu wachache wanafaidika zaidi awamu hii huku wengi tukiumizwa. Nina wasiwasi ile mijitu yenye miraba minne inayomlinda kila mahali na mibunduki ya kutisha, inalipwa salary kubwa sana.
Naomba kujua alisema lini na wapi
Na kama una video clip

Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
 
Kikwete alijenga Flyover ngapi ? Alinunua ndege ngapi ? Hii nchi ilichezewa sana ...
Hivi kutotumia akili mtaacha lini?
Hivi Hao waliotangulia wasingejenga barabara hizo fly over mgejenga wapi
 
Niwafahamishe kwamba kila kiongozi anakuja na namna yake ya kutawala kwayo hamna haha ya kulalamika kwani hata sasa ajira zipo na pia tumejengewa kujiamini na kuweza kujitegemea tuamke sasa magufuli kanuinua ni ukweli usiopingika
 
Walimu wapya zaidi ya elfu 12 wameajiriwa na ajira mpya zingine zimeshatangwa, walimu zaidi ya 120,000 wa elimu ya awali na I hadi la IV wamepatiwa mafunzo ya ufundishaji na ujifunzaji. Uimarishaji wa stadi za kusoma, kuandika na kuhesabu wataalamu elimu 13,350 wamepewa mafunzo
Tanzania hii hii au tanga na nyika?
 
Back
Top Bottom