Tujionee kwanza haya maajabu ya Kikokotoo kwa Watumishi wa Umma

Kumbe unaweza kuandika bila kulaza muandiko. Hongea Tate mkuu shegwashi
 
HIyo sijuwi lumpsum,lapusamu hatuiiataji tunataka mzigo wetu wote tutajuwa wenyewe huko cha kufanya.We kama unakipenda kitumie.
 
I wish ungekuwa ni mstaafu, halafu ukasema hivi; ningekuelewa sana. Ila naheshimu maoni yako.
 
Formula

[1/580]×N×APE×12.5×33%

Where:
1/580 = accrual factor
APE = The best three years avarage salary
12.5 =Avarage life expectancy after retirement
33% = pension lumpsum at retirement
N = Number of months contributed
Maliza kabisa.. weka figures.
 
Wewe sio chawa wa mama tu, we ni kunguni na kiroboto wa mama pia.
 
I wish ungekuwa ni mstaafu, halafu ukasema hivi; ningekuelewa sana. Ila naheshimu maoni yako.
Nimepiga kijembe ndugu yangu. Unadhani yametoka moyoni? Anyways, mimi msimamo wangu ni kuwa CCM inachezea na kudarau watazania kiasi ambacho inaweza kufanya vitu vya kufikirika. Hebu fikiria wana mpango wa kununua tena eti ndege ya viongozi? Kwa upande mwingine ni vizuri wanavyofanya ili wananchi waamke na kujitetea. Tumekuwa kama makondoo.
 
Wanatengeneza hizo formula ni watumishi wenyewe ama wakiwa ofisini ama kwa nyakati tofauti.

Acha kieapige hadi watakapo pata akili.
 
Wabunge wote wasirudishwe bungeni 2025
 
Mnacholalamikia ni kitu gani?

Waopanga kikokotoo ni Wanasiasa Wabunge. Anayesaini iwe sheria ni Mwanasiasa Rais.
Wanaopata 80% hadi kufa wao na watoto wao ni viongozi wa Siasa.

Ni ninyi wale wale mkiambiwa kushirikia siasa , hamtaki kwa kauli ' mambo ya siasa hayanihusu''
Mkiambiwa muandamane ili tutengeneze mifumo yenye haki mnasema ninyi si Wapinzani.

Mkiambiwa mtumie 'voting block' kama Walimu, Wauguzi n.k. ili kuwafanya Wanasiasa wawasikilize, hamtaki kufanya hivyo badala yake mnatumia 'voting block zenu kama Chama cha Walimu' kumchukulia Form mwanasiasa.

Mtazungumzia kikokotoo na kitawazingua hadi siku mtakapo baini ni ninyi WAAJIRI wa hao Wanasiasa na kwamba siasa inaamua maisha yako ya kilas siku utake usitake.

Kukaa pembeni na siasa ni kusikilizia maumivu taratibu. Kusubiri Wapinzani wafanye ni kuahirisha maumivu.

Wenye hatma ya kikokotoo ni ninyi wenyewe mkiamua na mkitaka!

Tulieni sindano iingie.

JokaKuu Tindo Pascal Mayalla
 
MKUU MAMA ANAUPIGA MWINGI.....,NILISHASEMA NA LEO NARUDIA CCM WOTE NI MAJIZI HAWAJAWAHI KUWA NA UCHUNGU NA UMASKINI WA WATANGANYIKA, HAWA NI KUNDI LA PANYA WANAJALI MATUMBO YAO TU.NA FAMILIA ZAO, CCM NI WATAWALA NA SIO VIONGOZI
 
Naomba kujua, hii wanayopewa kila mwisho wa mwezi kama sehemu ya 67% yao iliyobaki,
Inahusiana na ile 50%( Nusu ya mshahara aliokua anapata kipindi yupo kazini) anayoipata kila mwezi?
Kama ulitakiwa kupata 150m wanakupa 45m ya Mkupuo. Hiyo 105m ndio wanakulipa kidogo kidogo Kwa miaka 12.5. Yaani hakuna Pensheni kama wale WA before 2022 July. Wale walipewa Mkupuo wao eg 150m na Pensheni ya kila Mwezi Hadi wafe. Za hawa Kikokotoo wameambiwa Walipewa zote Mifuko itafilisika. Hivi kwani Kwa Mwaka Wastaafu ni Wangapi? Inabidi Watengewe Bajeti Yao bcoz hawafiki hata elfu 10.
 
Hayati ndio alileta huu upuuzi.
Nakazia huu ni upuuzi wa Hayati.
Upuuzi huu aliuleta Hayati ni upuuzi wake.
Upuuzi huu ni upuuzi kama ulivyo upuuzi wake mwingine aliuleta hayati.
 
Mxiuuuuuu! Acha niishie hapa. Ukitia neno naanza upyaaa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…