Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,942
- 18,669
Asilimia 80% ya hotuba za Rais John Pombe Magufuli huzungumzia jinsi tulivyo katika vita ya kiuchumi. Lakini mpaka anamaliza awamu yake ya kwanza, hajawai kutueleza hii vita tunapigana na Taifa gani.
Katika maongezi yake, ni kama vile kuna nchi kubwa haitaki Tanzania tuendelee kiuchumi. Hii nchi au Taifa au Mataifa yanafanya mbinu ovu ili tukwame kiuchumi.
Swali ambalo watanzania wengi wanajiuliza na hatupati jibu ni.. Tanzania tunapigana vita ya kiuchumi na nchi gani?
Logically Nchi zinazopigani vita kiuchumi ni lazima ziwe zinalingana/ shabiana kiuchumi. Mfano USA and CHINA. Hawa ukiwaangalia ni kweli wako vitani sababu mmoja anataka awe juu za mwenzie na wanawekeana vikwazo. Hata siku mmoja Tanzania haiwezi ingia vitani na mataifa matajiri. Zimbabwe analijua hili vizuri sana.
Kwa maana iyo, Tanzania haiwezi kuwa vitani na Mataifa makubwa kiuchumi hasa ya bara la Ulaya, America na Asia. Ni upotoshaji kusema au kuassume tupo vitani na nchi inayosuppprt asilimia ya budget yetu. Ni upumbavu kuamini tupo vitani na nchi ambayo haitutegemei wakati sisi tunawategemea. Pia ni ujinga kuamini tupo vitani na nchi ambayo Mapato yake kwa wiki ndyo mapato yetu kwa mwaka.
Labda tuassume Tupo vitani na Majirani zetu ambao tupo nao pamoja kwenye East African community. Hatuwezi pigana na Rwanda wakati ndye rafiki wa nchi yetu mkubwa, hatuwezi pigana na Uganda wakati tulishampiga na hawezi kutuchokoza kabisa. Hatuwezi pigana na Wakenya wakati nao ni marafiki zetu mpaka tugawagawia Tausi. Tena hawa wakenya Tulikamata vifaranga kutoka kwao tukavichoma, wao wakakamata ngombe toka kwetu wakawarudisha.
Sasa swali bado linabaki. Tunapigana vita na Nani? Hii vita ya kiuchumi ni nani anatukwamisha tusiendelee kiuchumi wakati tumeweza tengeneza ajira 6million, tumejenga viwanda zaid ya 4000 ndani ya miaka 4. Hata Kenya haitufikii sasa kwa viwanda.
Katika maongezi yake, ni kama vile kuna nchi kubwa haitaki Tanzania tuendelee kiuchumi. Hii nchi au Taifa au Mataifa yanafanya mbinu ovu ili tukwame kiuchumi.
Swali ambalo watanzania wengi wanajiuliza na hatupati jibu ni.. Tanzania tunapigana vita ya kiuchumi na nchi gani?
Logically Nchi zinazopigani vita kiuchumi ni lazima ziwe zinalingana/ shabiana kiuchumi. Mfano USA and CHINA. Hawa ukiwaangalia ni kweli wako vitani sababu mmoja anataka awe juu za mwenzie na wanawekeana vikwazo. Hata siku mmoja Tanzania haiwezi ingia vitani na mataifa matajiri. Zimbabwe analijua hili vizuri sana.
Kwa maana iyo, Tanzania haiwezi kuwa vitani na Mataifa makubwa kiuchumi hasa ya bara la Ulaya, America na Asia. Ni upotoshaji kusema au kuassume tupo vitani na nchi inayosuppprt asilimia ya budget yetu. Ni upumbavu kuamini tupo vitani na nchi ambayo haitutegemei wakati sisi tunawategemea. Pia ni ujinga kuamini tupo vitani na nchi ambayo Mapato yake kwa wiki ndyo mapato yetu kwa mwaka.
Labda tuassume Tupo vitani na Majirani zetu ambao tupo nao pamoja kwenye East African community. Hatuwezi pigana na Rwanda wakati ndye rafiki wa nchi yetu mkubwa, hatuwezi pigana na Uganda wakati tulishampiga na hawezi kutuchokoza kabisa. Hatuwezi pigana na Wakenya wakati nao ni marafiki zetu mpaka tugawagawia Tausi. Tena hawa wakenya Tulikamata vifaranga kutoka kwao tukavichoma, wao wakakamata ngombe toka kwetu wakawarudisha.
Sasa swali bado linabaki. Tunapigana vita na Nani? Hii vita ya kiuchumi ni nani anatukwamisha tusiendelee kiuchumi wakati tumeweza tengeneza ajira 6million, tumejenga viwanda zaid ya 4000 ndani ya miaka 4. Hata Kenya haitufikii sasa kwa viwanda.