Tujiulize, vita ya uchumi tunapigana na nani?

Tujiulize, vita ya uchumi tunapigana na nani?

Nashangaa sana kuona watu wazima mmeshupaza shingo kulaumu upuuzi.

Kwamba kama kuna shirika la viwango nchini Tbs, kwa nini mkuu wa nchi atoe tahadhari juu ya barakoa ambazo zinaweza kuwa na madhara ya kwa watumiaji?

Hivi hamjui kuwa pamoja na kuwa na shirita la viwango nchini bidhaa nyingi feki huwa zinaingia sokoni kupitia njia za panya. Na huwa zinaghundulika baada ya muda, tena mpaka msako ufanyike?

Je, mnadhani hakuna watu wanaoionea husuda Tanzania kiasi cha kuweza kuweka madhara kwenye barakoa zinazoweza kuingizwa nchini kwa njia za panya?

Mmesahau hata USA ilipewa msaada na China na kugundua kuwa barakoa zilikuwa hazina ubora? Mmesahau?

Kuwa na shirika la viwango ndio sababu ya kutopata vifaa visivyo na ubora? Hapana,sababu njia za panya ni nyingi . Hii sio sana
sababu ya kutochukua tahadhari.

Nadhani mmepewa tahadhari ili kuwa na uhakika wa kujilinda ni bora utengeneze cloth mask yako. Maana unaweza ukawa Karagwe, Njombe,Hai na mtu wa nchi jirani akakupa mask toka nje kumbe haina kiwango na ina upupu.

Maoni; Tuache kuwa wakosoaji wa kila kitu, kisa tu tuna chuki za kisiasa. Uchaguzi umepita tuwe na umoja.
😂😂😂 Yaani Watanzania wameamka kuwa kuna watu kama wewe waongo
 
Nashangaa sana kuona watu wazima mmeshupaza shingo kulaumu upuuzi.

Kwamba kama kuna shirika la viwango nchini Tbs, kwa nini mkuu wa nchi atoe tahadhari juu ya barakoa ambazo zinaweza kuwa na madhara ya kwa watumiaji?

Hivi hamjui kuwa pamoja na kuwa na shirita la viwango nchini bidhaa nyingi feki huwa zinaingia sokoni kupitia njia za panya. Na huwa zinaghundulika baada ya muda, tena mpaka msako ufanyike?

Je, mnadhani hakuna watu wanaoionea husuda Tanzania kiasi cha kuweza kuweka madhara kwenye barakoa zinazoweza kuingizwa nchini kwa njia za panya?

Mmesahau hata USA ilipewa msaada na China na kugundua kuwa barakoa zilikuwa hazina ubora? Mmesahau?

Kuwa na shirika la viwango ndio sababu ya kutopata vifaa visivyo na ubora? Hapana,sababu njia za panya ni nyingi . Hii sio sana
sababu ya kutochukua tahadhari.

Nadhani mmepewa tahadhari ili kuwa na uhakika wa kujilinda ni bora utengeneze cloth mask yako. Maana unaweza ukawa Karagwe, Njombe,Hai na mtu wa nchi jirani akakupa mask toka nje kumbe haina kiwango na ina upupu.

Maoni; Tuache kuwa wakosoaji wa kila kitu, kisa tu tuna chuki za kisiasa. Uchaguzi umepita tuwe na umoja.
Tafuteni umoja na wauaji wenzenu.
 
Mmesahau hata USA ilipewa msaada na China na kugundua kuwa barakoa zilikuwa hazina ubora? Mmesahau?
Inawezekana zikawepo ambazo hazina ubora, lakini kwamba zinawekewa virusi vya corona, inabidi kutulia ufikiri
 
Kukosa Ubora ni Tofauti na kuwa na Sumu au kuleta madhara.., Sababu kama issue ni ubora nyingi watu wanaojitengenezea pia sio bora...

Ni kweli kupinga kila kitu sio vizuri..., ila vilevile kumeza kila unachoambiwa bila kuhoji utakuwa hauitendei haki akili yako....

Na kuliko kuleta maswali bila majibu wengesema mzigo ambao hauna nembo ya TBS au wa kutoka sehemu fulani ni mbovu sio kuleta habari za jumla jumla kwamba zilizotoka nje ni mbovu (ngapi, zipi, na tutajuaje) ? Pia kuamini tu kitu sababu kimetengenezwa nchini nayo sio hekima (tunajua quality za bidhaa zetu hatuhitaji kuambiwa.., practically tunaona)
 
Mmetumwa kuja kutete upupu?..Mwananchi wa kawaida atajuaje kuwa hii barakoa ni salama au lah?.Mnatwngeneza taharuki wenyewe halafu mnakuja humu kupiga kelele,mods futa huu uzi hauna maana
 
Kwamba nchi za magharibi zote zianzishe vita ya kiuchumi na Tanzania? Kwa uchumi upi?

Hivi Tanzania ikisema kuna vita ya kiuchumi dhidi yake nchi kama Afrika Kusini ama Nigeria zisemeje?

Vita ya uchumi itakua kwenye barakoa tu lakini risasi, bunduki, nguo, microphone anazotumia, magari, vifaa vya ulinzi vinavyomlinda tena vinavyotumia mtandao, simu na kila kitu kinachotoka nje kwa mabeberu vyenyewe havihusiki kwenye vita vya kiuchumi?

Ni wajinga tu wanaweza kununua hizo ngonjera.
 
Nyie ndio mnaopotosha watu,ni uchumi gani tulionao?tunatengeza nini na kuuza nje?ni soko gani duniani tumeliteka?
 
Wewe c ndo umesema umegundua wafanyakazi 15 kwenye kampuni lako wana mdudu? Sasa hizi ngojera za hapa zimekaaje? Wewe unataka ku-turne wap hasa ili ueleweke!😁
 
Tanzania ndiyo yenye uchumi unaotamaniwa na mabeberu duniani siyo?? Akili yako kama ya ngiri
Hujui? Unadhani kwa nini Chadema ilisema itaweka rehani madini ya nchi yetu kwa mabeberu?
 
Nyie ndio mnaopotosha watu,ni uchumi gani tulionao?tunatengeza nini na kuuza nje?ni soko gani duniani tumeliteka?
Jikite kwenye mada. Lakini nakukumbusha tu hata hapa Africa hawafurahi kuona hatujapata madhara makubwa kutokana na Covid 19.
 
Wewe c ndo umesema umegundua wafanyakazi 15 kwenye kampuni lako wana mdudu? Sasa hizi ngojera za hapa zimekaaje? Wewe unataka ku-turne wap hasa ili ueleweke!😁
Kaanze chekechea,jifunze kusoma
 
Inawezekana zikawepo ambazo hazina ubora, lakini kwamba zinawekewa virusi vya corona, inabidi kutulia ufikiri
Siyo kufikiri tu mkuu!! Inabidi wanyamaze kabisa! Maana alichoki bwabwaja ngosha leo pale kanisani ni aibu tupu!! Huo muda alioutumia pale ni bora waumini wangeutumia kusali SALAAM MARIA hata mara 40 ingekua na maana,au Baba yetu(sala kuu) mara 80
 
Siyo kufikiri tu mkuu!! Inabidi wanyamaze kabisa! Maana alichoki bwabwaja ngosha leo pale kanisani ni aibu tupu!! Huo muda alioutumia pale ni bora waumini wangeutumia kusali SALAAM MARIA hata mara 40 ingekua na maana,au Baba yetu(sala kuu) mara 80
We unavijua vita vya uchumi?
 
Nashangaa sana kuona watu wazima mmeshupaza shingo kulaumu upuuzi.

Kwamba kama kuna shirika la viwango nchini TBS, kwa nini mkuu wa nchi atoe tahadhari juu ya barakoa ambazo zinaweza kuwa na madhara kwa watumiaji?

Hivi hamjui kuwa pamoja na kuwa na shirika la viwango nchini, bidhaa nyingi feki huwa zinaingia sokoni kupitia njia za panya. Na huwa zinaghundulika baada ya muda, tena mpaka msako ufanyike?

Je, mnadhani hakuna watu wanaoionea husuda Tanzania kiasi cha kuweza kuweka madhara kwenye barakoa zinazoweza kuingizwa nchini kwa njia za panya?

Mmesahau hata USA ilipewa msaada na China na kugundua kuwa barakoa zilikuwa hazina ubora? Mmesahau?

Kuwa na shirika la viwango ndio sababu ya kutopata vifaa visivyo na ubora? Hapana, sababu njia za panya ni nyingi . Hii sio sana
sababu ya kutochukua tahadhari.

Nadhani mmepewa tahadhari ili kuwa na uhakika wa kujilinda ni bora utengeneze cloth mask yako. Maana unaweza ukawa Karagwe, Njombe,Hai na mtu wa nchi jirani akakupa mask toka nje kumbe haina kiwango na ina upupu.

Maoni; Tuache kuwa wakosoaji wa kila kitu, kisa tu tuna chuki za kisiasa. Uchaguzi umepita tuwe na umoja.
Umenena vema mkuu
Ujumbe wakufaa kwa WaTanzania
 
Back
Top Bottom