Tujiulize, vita ya uchumi tunapigana na nani?

Tujiulize, vita ya uchumi tunapigana na nani?

Acheni kuunga mkono kila pumba anazotoa Meko, sometimes watendeeni haki wazazi wenu kwa vile waliwapeleka shule.

Kama Meko anasema kifo kipo tu hakuna kujikinga mbona huku tunapokea chanjo za BCG, Measles, Pentavalent, Rotax, Tetanus toxoid vaccine. Kwanini tunagawa Condom na net za kujikinga na Malaria?. Basi tuache vyote. Justification za eti kifo kipo tu ni za kipumbavu hazipaswi kutolewa na kiongozi mkubwa kama yeye JPM
Umetokea wapi? Umekosea njia hii post sio ya huu uzi.
 
Nenda shule kaanze chekechea.
Siyo kila jambo linahitaji uende shule, mambo kama haya yanahitaji tu Uwe Timamu kiakili na uitumie akili yako, sasa wewe umejazwa tu upumbavu unakuja kuharisha tu hapa JF.
 
Nashangaa sana kuona watu wazima mmeshupaza shingo kulaumu upuuzi.

Kwamba kama kuna shirika la viwango nchini TBS, kwa nini mkuu wa nchi atoe tahadhari juu ya barakoa ambazo zinaweza kuwa na madhara kwa watumiaji?

Hivi hamjui kuwa pamoja na kuwa na shirika la viwango nchini, bidhaa nyingi feki huwa zinaingia sokoni kupitia njia za panya. Na huwa zinaghundulika baada ya muda, tena mpaka msako ufanyike?

Je, mnadhani hakuna watu wanaoionea husuda Tanzania kiasi cha kuweza kuweka madhara kwenye barakoa zinazoweza kuingizwa nchini kwa njia za panya?

Mmesahau hata USA ilipewa msaada na China na kugundua kuwa barakoa zilikuwa hazina ubora? Mmesahau?

Kuwa na shirika la viwango ndio sababu ya kutopata vifaa visivyo na ubora? Hapana, sababu njia za panya ni nyingi . Hii sio sana
sababu ya kutochukua tahadhari.

Nadhani mmepewa tahadhari ili kuwa na uhakika wa kujilinda ni bora utengeneze cloth mask yako. Maana unaweza ukawa Karagwe, Njombe,Hai na mtu wa nchi jirani akakupa mask toka nje kumbe haina kiwango na ina upupu.

Maoni; Tuache kuwa wakosoaji wa kila kitu, kisa tu tuna chuki za kisiasa. Uchaguzi umepita tuwe na umoja.
Vita ya uchumi, hivi hizi nchi zetu baadhi za kiafrika Zina uchumi gani mpaka tuonewe gere, nakili vita ya uchumi huwa ipo, but nafikili zaidi KWA wakubwa KWA wakubwa,
Mtoa mada wenda unajambo zuri Basi upatapo mda njoo na andiko la vita ya uchumi, based KWA nchi zetu hizi za kiafrika, why tz ndo tuna fear na vita ya uchumi na si nchi nyingine zilizotuzunguka,
Mfano naangalia tu hivi Kama tukianzishiwa vita hivi rasmi hata pitia deni letu la taifa tutachomoka,? Na why iwe leo na si miaka yote iliyopita?
 
Vita ya uchumi, hivi hizi nchi zetu baadhi za kiafrika Zina uchumi gani mpaka tuonewe gere, nakili vita ya uchumi huwa ipo, but nafikili zaidi KWA wakubwa KWA wakubwa,
Mtoa mada wenda unajambo zuri Basi upatapo mda njoo na andiko la vita ya uchumi, based KWA nchi zetu hizi za kiafrika, why tz ndo tuna fear na vita ya uchumi na si nchi nyingine zilizotuzunguka,
Mfano naangalia tu hivi Kama tukianzishiwa vita hivi rasmi hata pitia deni letu la taifa tutachomoka,? Na why iwe leo na si miaka yote iliyopita?
Hapo ndio mnapokosea. Mnadhani kupigwa vita kiuchumi mpaka uwe taifa kubwa kama Usa. Fungueni akili zenu, acheni uvivu wa fikra.
 
Nashangaa sana kuona watu wazima mmeshupaza shingo kulaumu upuuzi.

Kwamba kama kuna shirika la viwango nchini TBS, kwa nini mkuu wa nchi atoe tahadhari juu ya barakoa ambazo zinaweza kuwa na madhara kwa watumiaji?

Hivi hamjui kuwa pamoja na kuwa na shirika la viwango nchini, bidhaa nyingi feki huwa zinaingia sokoni kupitia njia za panya. Na huwa zinaghundulika baada ya muda, tena mpaka msako ufanyike?

Je, mnadhani hakuna watu wanaoionea husuda Tanzania kiasi cha kuweza kuweka madhara kwenye barakoa zinazoweza kuingizwa nchini kwa njia za panya?

Mmesahau hata USA ilipewa msaada na China na kugundua kuwa barakoa zilikuwa hazina ubora? Mmesahau?

Kuwa na shirika la viwango ndio sababu ya kutopata vifaa visivyo na ubora? Hapana, sababu njia za panya ni nyingi . Hii sio sana
sababu ya kutochukua tahadhari.

Nadhani mmepewa tahadhari ili kuwa na uhakika wa kujilinda ni bora utengeneze cloth mask yako. Maana unaweza ukawa Karagwe, Njombe,Hai na mtu wa nchi jirani akakupa mask toka nje kumbe haina kiwango na ina upupu.

Maoni; Tuache kuwa wakosoaji wa kila kitu, kisa tu tuna chuki za kisiasa. Uchaguzi umepita tuwe na umoja.
Una nini cha pekee cha kuonewa husda. Mmelishwa ujinga, nanyi mnaubeba Kama ulivyo.
 
msiwe watu wa kukubali kila unachoambiwa na mamlaka, changanya na zako.
 
Mkuu hacha hasira ,taifa la tz halijaanza leo, Cha msingi eleza tunapigwa vita ya uchumi KWA lipi,KWA kipi, na KWA sababu zipi? Hasa tukianzia 2015 why ili neno nyuma halikuepo,
Maana ni kipi kipya, kimeongezeka katika ardhi ya tz, namanisha raslimari, mfano madini, mbuga za wanyama ,vyanzo vya utalii mbalimbali, au ni ges, ndo imetuingiza kwenye vita hii,

Hapo ndio mnapokosea. Mnadhani kupigwa vita kiuchumi mpaka uwe taifa kubwa kama Usa. Fungueni akili zenu, acheni uvivu wa fikra.
 
unasema tusiwe watu wakukosoa kila kitu, kwani nani amekosoa Barakoa za wengine na kushauri apendazo yeye, au huyo sio mkosoaji?
 
Mkuu hacha hasira ,taifa la tz halijaanza leo, Cha msingi eleza tunapigwa vita ya uchumi KWA lipi,KWA kipi, na KWA sababu zipi? Hasa tukianzia 2015 why ili neno nyuma halikuepo,
Maana ni kipi kipya, kimeongezeka katika ardhi ya tz, namanisha raslimari, mfano madini, mbuga za wanyama ,vyanzo vya utalii mbalimbali, au ni ges, ndo imetuingiza kwenye vita hii,
Hii vita ipo miaka yote, wewe panua ubongo wako.
 
Msitafute wa kumtupia lawama juu ya kushindwa kwenu kiuchumi
 
Nashangaa sana kuona watu wazima mmeshupaza shingo kulaumu upuuzi.

Kwamba kama kuna shirika la viwango nchini TBS, kwa nini mkuu wa nchi atoe tahadhari juu ya barakoa ambazo zinaweza kuwa na madhara kwa watumiaji?

Hivi hamjui kuwa pamoja na kuwa na shirika la viwango nchini, bidhaa nyingi feki huwa zinaingia sokoni kupitia njia za panya. Na huwa zinaghundulika baada ya muda, tena mpaka msako ufanyike?

Je, mnadhani hakuna watu wanaoionea husuda Tanzania kiasi cha kuweza kuweka madhara kwenye barakoa zinazoweza kuingizwa nchini kwa njia za panya?

Mmesahau hata USA ilipewa msaada na China na kugundua kuwa barakoa zilikuwa hazina ubora? Mmesahau?

Kuwa na shirika la viwango ndio sababu ya kutopata vifaa visivyo na ubora? Hapana, sababu njia za panya ni nyingi . Hii sio sana
sababu ya kutochukua tahadhari.

Nadhani mmepewa tahadhari ili kuwa na uhakika wa kujilinda ni bora utengeneze cloth mask yako. Maana unaweza ukawa Karagwe, Njombe,Hai na mtu wa nchi jirani akakupa mask toka nje kumbe haina kiwango na ina upupu.

Maoni; Tuache kuwa wakosoaji wa kila kitu, kisa tu tuna chuki za kisiasa. Uchaguzi umepita tuwe na umoja.
waTanzania watakuchosha ndugu,upuuzi ni mwingi sana..watu hawastuki anaposema Rais kimesema kitu kikubwa sana,Rais ana watu wanaofatilia mambo na usalama wa nchi kuliko akili ndogo za ushabiki wa watu.

Naomba kukwambia wazi kabisa kuna watu wa kaskazini kati ya Arusha na Kilimanjaro wanapotosha sana umma kwa sababu za vyama na ukanda,hata wakija hapa na kunicomment kwa matusi ukweli wanaujua

Chanjo ya nini? Barakoa za ulaya za nini iwapo swala ni kufunika pua pekee?

Vijiweni kumejaa maneno ambayo ukimuuliza mzungumzaji anaishia kukuita wewe ni CCM. Yani hii nchi sijui ina watu gani

Rais anaposema namnukuu "mimi ni kiongozi wenu najua" anamaanisha mkono wake wa kujua mengi yanayo lengwa nchini ni mrefu sana maana serikali na taasisi yake si kama balozi ya nyumba kumi kumi.
 
Tanzania ndiyo yenye uchumi unaotamaniwa na mabeberu duniani siyo?? Akili yako kama ya ngiri
Mbona hii yako ni ndogo sana kama ya sisimizi aisee....yaani mabongo yanaonaga kutoa tusi na kashifa eti ndiyo kujua kwenyewe
 
Nashangaa sana kuona watu wazima mmeshupaza shingo kulaumu upuuzi.

Kwamba kama kuna shirika la viwango nchini TBS, kwa nini mkuu wa nchi atoe tahadhari juu ya barakoa ambazo zinaweza kuwa na madhara kwa watumiaji?

Hivi hamjui kuwa pamoja na kuwa na shirika la viwango nchini, bidhaa nyingi feki huwa zinaingia sokoni kupitia njia za panya. Na huwa zinaghundulika baada ya muda, tena mpaka msako ufanyike?

Je, mnadhani hakuna watu wanaoionea husuda Tanzania kiasi cha kuweza kuweka madhara kwenye barakoa zinazoweza kuingizwa nchini kwa njia za panya?

Mmesahau hata USA ilipewa msaada na China na kugundua kuwa barakoa zilikuwa hazina ubora? Mmesahau?

Kuwa na shirika la viwango ndio sababu ya kutopata vifaa visivyo na ubora? Hapana, sababu njia za panya ni nyingi . Hii sio sana
sababu ya kutochukua tahadhari.

Nadhani mmepewa tahadhari ili kuwa na uhakika wa kujilinda ni bora utengeneze cloth mask yako. Maana unaweza ukawa Karagwe, Njombe,Hai na mtu wa nchi jirani akakupa mask toka nje kumbe haina kiwango na ina upupu.

Maoni; Tuache kuwa wakosoaji wa kila kitu, kisa tu tuna chuki za kisiasa. Uchaguzi umepita tuwe na umoja.
Kwa hiyo katika Dunia au Africa target ni Tanzania....!!?
 
Back
Top Bottom