Tujiulize, vita ya uchumi tunapigana na nani?

Tujiulize, vita ya uchumi tunapigana na nani?

Kaanze chekechea,jifunze kusoma
Ccm mchambaji wewe😆😆😆😆 nawe jifunze kuunganisha matukio vzr na visa vyako/maelezo ili yawe yanaeleweka. Unafungua uzi bila ata sababu ya msingi kisa tu umekula ukashiba.
 
Ccm mchambaji wewe😆😆😆😆 nawe jifunze kuunganisha matukio vzr na visa vyako/maelezo ili yawe yanaeleweka. Unafungua uzi bila ata sababu ya msingi kisa tu umekula ukashiba.
Kosa ni kutokujua kusoma kwako,pole.
 
kuna baadhi ya watu wakiambiwa na jiwe watoe t.go ndo kinga ya "kolona" watatoa fasta bila kuhoji kwakuwa tu nikiongozi amesema!

mleta mada ni mmojawao!.
Madhara ya kuzaliwa una hormone za kike. Vipi mbelgiji huna contact zake?
 
Kwamba nchi za magharibi zote zianzishe vita ya kiuchumi na Tanzania? Kwa uchumi upi?

Hivi Tanzania ikisema kuna vita ya kiuchumi dhidi yake nchi kama Afrika Kusini ama Nigeria zisemeje?

Vita ya uchumi itakua kwenye barakoa tu lakini risasi, bunduki, nguo, microphone anazotumia, magari, vifaa vya ulinzi vinavyomlinda tena vinavyotumia mtandao, simu na kila kitu kinachotoka nje kwa mabeberu vyenyewe havihusiki kwenye vita vya kiuchumi?

Ni wajinga tu wanaweza kununua hizo ngonjera.
Sio kila suala unaweza kulielewa. Sometimes unakaa kimya.
 
Kwa hiyo tuwe kama matahira ya ndio mzee au tuwe makondoo.wewe mwenyewe umepata nafasi ya kuchangia hapa na kueleza mtazamo wako kutokana na kuwepo kwa mtu anaye itwa Mkosoaji.
Kosoa kwa kutumia akili, sio kukosoa tu ili uonekane unapingana na kila kitu.
 
Nashangaa sana kuona watu wazima mmeshupaza shingo kulaumu upuuzi.

Kwamba kama kuna shirika la viwango nchini TBS, kwa nini mkuu wa nchi atoe tahadhari juu ya barakoa ambazo zinaweza kuwa na madhara kwa watumiaji?

Hivi hamjui kuwa pamoja na kuwa na shirika la viwango nchini, bidhaa nyingi feki huwa zinaingia sokoni kupitia njia za panya. Na huwa zinaghundulika baada ya muda, tena mpaka msako ufanyike?

Je, mnadhani hakuna watu wanaoionea husuda Tanzania kiasi cha kuweza kuweka madhara kwenye barakoa zinazoweza kuingizwa nchini kwa njia za panya?

Mmesahau hata USA ilipewa msaada na China na kugundua kuwa barakoa zilikuwa hazina ubora? Mmesahau?

Kuwa na shirika la viwango ndio sababu ya kutopata vifaa visivyo na ubora? Hapana, sababu njia za panya ni nyingi . Hii sio sana
sababu ya kutochukua tahadhari.

Nadhani mmepewa tahadhari ili kuwa na uhakika wa kujilinda ni bora utengeneze cloth mask yako. Maana unaweza ukawa Karagwe, Njombe,Hai na mtu wa nchi jirani akakupa mask toka nje kumbe haina kiwango na ina upupu.

Maoni; Tuache kuwa wakosoaji wa kila kitu, kisa tu tuna chuki za kisiasa. Uchaguzi umepita tuwe na umoja.
Kama vita imeanzishwa na nyie hiyo ni sawa kabisa.
 
Sasa hii ndio mjadala ya wale wanaoitwa great sinkers au sink tanks

Sawa sijui kwa wale major floating people itakuwaje
 
Nashangaa sana kuona watu wazima mmeshupaza shingo kulaumu upuuzi.

Kwamba kama kuna shirika la viwango nchini TBS, kwa nini mkuu wa nchi atoe tahadhari juu ya barakoa ambazo zinaweza kuwa na madhara kwa watumiaji?

Hivi hamjui kuwa pamoja na kuwa na shirika la viwango nchini, bidhaa nyingi feki huwa zinaingia sokoni kupitia njia za panya. Na huwa zinaghundulika baada ya muda, tena mpaka msako ufanyike?

Je, mnadhani hakuna watu wanaoionea husuda Tanzania kiasi cha kuweza kuweka madhara kwenye barakoa zinazoweza kuingizwa nchini kwa njia za panya?

Mmesahau hata USA ilipewa msaada na China na kugundua kuwa barakoa zilikuwa hazina ubora? Mmesahau?

Kuwa na shirika la viwango ndio sababu ya kutopata vifaa visivyo na ubora? Hapana, sababu njia za panya ni nyingi . Hii sio sana
sababu ya kutochukua tahadhari.

Nadhani mmepewa tahadhari ili kuwa na uhakika wa kujilinda ni bora utengeneze cloth mask yako. Maana unaweza ukawa Karagwe, Njombe,Hai na mtu wa nchi jirani akakupa mask toka nje kumbe haina kiwango na ina upupu.

Maoni; Tuache kuwa wakosoaji wa kila kitu, kisa tu tuna chuki za kisiasa. Uchaguzi umepita tuwe na umoja.
Acheni kuunga mkono kila pumba anazotoa Meko, sometimes watendeeni haki wazazi wenu kwa vile waliwapeleka shule.

Kama Meko anasema kifo kipo tu hakuna kujikinga mbona huku tunapokea chanjo za BCG, Measles, Pentavalent, Rotax, Tetanus toxoid vaccine. Kwanini tunagawa Condom na net za kujikinga na Malaria?. Basi tuache vyote. Justification za eti kifo kipo tu ni za kipumbavu hazipaswi kutolewa na kiongozi mkubwa kama yeye JPM
 
Back
Top Bottom