Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,794
- 5,352
Mbeya City shabiki liamia nipo hapa.Najua jukwaa lenu lina mashabiki kindaki ndaki wa either simba au yanga...
Yaani yeye na simba au yeye na yanga...
Haya hebu tutajane hapa ili tujuane...
kuna watu wengine wanaojulikana kabisa na wengine hawajulikani hivo wanaweza kujitaja tu wenyewe hapa tujuane sisi ni watani bhana
NAANZA MIMI 1:YANGA
Just for funny only
😍Sifagilii makolokolo, jezi Kama kilinge cha mganga wa jadi.
Yanga team is where my 💛💚 dwells
Mkuu bangi siku hizi kesi yake ni kama cocaine tu...acha hizo njiti....Mbeya City shabiki liamia nipo hapa.
Pamoja mwananchiiYanga kindakimdaki
Karib mtaniMimi Simba
Najua jukwaa lenu lina mashabiki kindaki ndaki wa either simba au yanga...
Yaani yeye na simba au yeye na yanga...
Haya hebu tutajane hapa ili tujuane...
kuna watu wengine wanaojulikana kabisa na wengine hawajulikani hivo wanaweza kujitaja tu wenyewe hapa tujuane sisi ni watani bhana
NAANZA MIMI 1:YANGA
Just for funny only
Nilijua tu.....wazee wa vilingeni na simba ni dam dam
Nimeacha mkuu, Basi mi nashabikia marefa tu siku hiziMkuu bangi siku hizi kesi yake ni kama cocaine tu...acha hizo njiti....
Maskini Upo peke yako maana 99% ya JF ni chadema, hivyo ni wapinzani wa Yanga na CCM.Najua jukwaa lenu lina mashabiki kindaki ndaki wa either simba au yanga...
Yaani yeye na simba au yeye na yanga...
Haya hebu tutajane hapa ili tujuane...
kuna watu wengine wanaojulikana kabisa na wengine hawajulikani hivo wanaweza kujitaja tu wenyewe hapa tujuane sisi ni watani bhana
NAANZA MIMI 1:YANGA
Just for funny only