Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Hahaha[emoji23]Nilijua tu.....wazee wa vilingeni na simba ni dam dam
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha[emoji23]Nilijua tu.....wazee wa vilingeni na simba ni dam dam
Hahaha[emoji23]Nimeacha mkuu, Basi mi nashabikia marefa tu siku hizi
Duh..kumbe[emoji41]Dar Young African View attachment 1929986
KizaliaHivi mtu unaanzaje kuwa Utopolo?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sijapenda tabia yako [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Dar Young African View attachment 1929986
Sema Uto wanakuaga na pisi kaliDar Young African View attachment 1929986
hahahaha mbona kuna zitto kabwe,kikwete na gwajima humu....au huzijui id zaoMaskini Upo peke yako maana 99% ya JF ni chadema, hivyo ni wapinzani wa Yanga na CCM.
Mfano yupi aliyelia.....Simba ndo timu pekee mtu akifukuzwa kazi klabuni analia,hakubali kuacha kazi kata kata,atapata wapi timu bora nyingine hapa bongo.
Hiyo ni asilimia moja niliyoisemahahahaha mbona kuna zitto kabwe,kikwete na gwajima humu....au huzijui id zao
Wenzako wanahama huko makolokolo fc wewe bado unashangaa tuHivi mtu unaanzaje kuwa Utopolo?😂😂😂😂
Kutoka wapiThe Returning of Champions
Sio pisi tu..kila kitu tunawazidi bwasheeSema Uto wanakuaga na pisi kali
Msukule aliondoka analia.Mfano yupi aliyelia.....
Alafu kuna kulia kwa furaha ujue