Wewe ulikuja kwa bodaboda bana, nilikuona wsana wakati unaingia na mie nikawa natoka. Au unabisaha niweke picha???
Preta naomba uje kwangu mitaa ya bwiru
Nitakuja mwaya.........nipe namba ya nyumba..........
Kanyumba kapo mlimani juu ya mawe hakuna namba, jitahidi kuuliza watu watakuleta mpaka east zoo kwangu
Habari za muda wana jamvi, leo nataka tufahamiane wana JF tunaotokea hapa Mwanza, unaeza uka comment mahali ulipo, lengo ni kufahamiana jamani, karibuniiii
Wajamani mimi niko mwanza mjini
Oyaa kuna mwanajamvi katokea dar aliomba campany ya Wana mwanza nipo hapa bebylonge mitaa ya Kilimahewa namsikilizia Mwenye kiu aje pia tufahamiane jamani.
Wacha urongo kimachomacho... Babi Lounge haipo Kilimahewa....
Kwanza huyo mgeni nilikuwa naye kule Yunglong Chinese Restaurant mpk late hours....
Afu punguza matusi aiseee... Maana naona Ban inakunyemelea mdogo mdogo!!
ebwana mie nipo pande za kilimahewa sokoni kwa msuka,mwanza,karibu sana,
kwa wanao2mia whatsapp check me dea,0713117399