Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
- Thread starter
-
- #21
Ndoto ni nzuri kuziota.
Huyu ni marehemu kitambo, hayupo tena njia hiyoHOOD BUS SERVICE
View attachment 1701671Huyu ni mkongwe anayepotea taratibu. Zamani alikuwa ndiye mshindani mkubwa wa Abood Bus, lakini sijui aliteleza wapi? Kwa sasa anaonekana kwenye njia ya Mbeya Arusha, Morogoro Arusha
... naona mhindi ana-promote products zake soko la Tanzania. Ila kiukweli, kulinganisha na mchina, mhindi ana products bora zaidi.
Huyu ndio MFALME wa njia ya Songea Dar, Songea Mbeya, Songea DodomaSuper Feo in corporation with Selous ExpressView attachment 1701672View attachment 1701673View attachment 1701674View attachment 1701675View attachment 1701676View attachment 1701677
Huyu ndio MFALME wa njia ya Songea Dar, Songea Mbeya, Songea DodomaSuper Feo in corporation with Selous ExpressView attachment 1701672View attachment 1701673View attachment 1701674View attachment 1701675View attachment 1701676View attachment 1701677
Huyu ndio MFALME wa njia ya Songea Dar, Songea Mbeya, Songea DodomaSuper Feo in corporation with Selous ExpressView attachment 1701672View attachment 1701673View attachment 1701674View attachment 1701675View attachment 1701676View attachment 1701677
Huyu ndio MFALME wa njia ya Songea Dar, Songea Mbeya, Songea DodomaSuper Feo in corporation with Selous ExpressView attachment 1701672View attachment 1701673View attachment 1701674View attachment 1701675View attachment 1701676View attachment 1701677
Hii promo maana kampuni hata miezi miwili haina wewe full kuisifia inatoa huduma nzuri.....ilo basi nilishaingia ndani kuliangalia pale bandarini ni baya mno halina mvuto hata kidogo
Huyu ndio MFALME wa njia ya Songea Dar, Songea Mbeya, Songea DodomaSuper Feo in corporation with Selous ExpressView attachment 1701672View attachment 1701673View attachment 1701674View attachment 1701675View attachment 1701676View attachment 1701677
Ila poor interior design.... naona mhindi ana-promote products zake soko la Tanzania. Ila kiukweli, kulinganisha na mchina, mhindi ana products bora zaidi.
Sasa tumekuwaje uchumi wa kati?sidhani kama kuna nchi ya uchumi wa kati isiyoruhusu hayo mabasi,we are very boastful with nothing!Yaani ni ku-fake tu!Hizo Basi zote na mipicha yake hakuna hata moja itakayorushusiwa kutembea njia za Tanroad bila kipeperushi Cha abnormal pamoja na bendera nyekundu mbili , mbele na nyuma, ikilazimishwa kumaliza safari saa 12 jioni na kuanza safari saa 12 asubuhi.
Na siyo project ya pesa ndogo
Dodoma alikuwepo tajiri mmoja mwenye basi za URAFIKI COACH alitamba kipindi hicho.Shabiby aheshimiwe asee, kwa habari ya usafiri wa mabasi amejitahidi sana
Bonge la bus mkuu nunua afu ipe njia ya Sumbawanga Tunduma Mbeya ni uhakika wa watejaAchaneni na hayo machumachuma...Mimi nataka kujikita katika ununuaji wa hizi bus za marcopolo paradiso g 7 nadhani hakuna atayenifikia katika utoaji hudumaView attachment 1701438View attachment 1701440View attachment 1701441View attachment 1701442View attachment 1701444View attachment 1701445View attachment 1701446View attachment 1701448
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Sababu nini ,kwamba road ni finyu auHizo Basi zote na mipicha yake hakuna hata moja itakayorushusiwa kutembea njia za Tanroad bila kipeperushi Cha abnormal pamoja na bendera nyekundu mbili , mbele na nyuma, ikilazimishwa kumaliza safari saa 12 jioni na kuanza safari saa 12 asubuhi.
Na siyo project ya pesa ndogo
Ndugu zangu hawapo TZ. Wapo Ulaya na Marekani. Siku ambayo walikuja Tz walilia sana walipoona maisha ya watu wa sinza,kijitonyama n.k hawana hamu tena ya kuja huku.Kiduku Lilo ni ndugu yako?
Wangeona maisha ya watu wa buza kwa lulenge wangekufa kabisa.Ndugu zangu hawapo TZ. Wapo Ulaya na Marekani. Siku ambayo walikuja Tz walilia sana walipoona maisha ya watu wa sinza,kijitonyama n.k hawana hamu tena ya kuja huku.