korokwincho
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 1,054
- 1,269
kma unapenda black opium pasi na shaka, utapenda na hzi.Itakuwa unahisi perfume imeisha lakini uliokaa nao wanakusikia.
Sometimes Mimi huwa najihisi hivyo,lakini nikipita watu wananiambia nanukia.
Japo nyingine kweli zinaisha fasta mwilini.
Ila hadi sasa binafsi yangu sijaona perfume Kali kama black opium[emoji119].
Nimekuelewa Mkuu,
Chukua hiyo Suspenso
Na Bavaria.
Hazitoki haraka mwilini.
Hpa nakuunga mkonoBlack opium [emoji123]
Pamoja na hizo zoote sijui kwanini the best choice huwa ni black Opiumkma unapenda black opium pasi na shaka, utapenda na hzi.
pink chiffon
sweet passion
lanuit tressor
barry the weekend
jo malone
my way
Yeaah man tupo tofauti sana kila mmoja na preference yakeuko sahihi sana ukute anapenda maharufu ya majani ya chai.
issey miyake
eros man
sauvage dior
hzi ni trendings perfume ila hamna hta 1 naikubali
[emoji3][emoji3] pua yko ishaizoea harufu ndo mana huiskii tena ila wa pemben yko anaipata harufu, ndo hali inavyokuagaHii Aventos napulza kufikia sa tano harufi ishaisha bhna.
Yaan inazidiwa hata na spray yangu ya "Let's imagine"
Saint Anne em nijuze perfume iliyotulia kama black opium ambayo inatulia the whole day kwenye nguo ili nikiuungishe bhana
Ramza lattafa niliona humu humu kwenye thread nikanunua ipo vizuri
Dove niliona humu humu nikanunua sasa afadhali ngozi inang'aa tatizo wanaume tunaona mambo ya urembo ni mambo ya kike ndio shida.
Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
Inaonekana nzuriWale wapenzi wa black Opium [emoji7][emoji91][emoji91][emoji91]
Hii hapa.
Kama mnavyojua,Black opium Haina mpinzani[emoji91][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Unapata set nzima kwa 30k tu!
Yaani elfu 10 tatu tu!
Ndani Kuna;-
Perfume
Shower gel
Lotion
Yaani unanukia kiblack opium Kila mahala alooView attachment 2517178
Black opium kwangu ni the bestInaonekana nzuri
Aventos, plus Dove sabuni na lotionView attachment 2497473
Hiyo ni ya kiume au ya kikeBlack opium kwangu ni the best
Halafu nyingine zinafuata
Harufu yake haikinai kabisa
Ya kiumeHiyo ni ya kiume au ya kike
Karibu nikuuzie perfumeHiv package hiyoo ni Tshs ngap ?
Duka liko wapi?Wale wapenzi wa black Opium [emoji7][emoji91][emoji91][emoji91]
Hii hapa.
Kama mnavyojua,Black opium Haina mpinzani[emoji91][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Unapata set nzima kwa 30k tu!
Yaani elfu 10 tatu tu!
Ndani Kuna;-
Perfume
Shower gel
Lotion
Yaani unanukia kiblack opium Kila mahala alooView attachment 2517178
black opium ni fragrance kwa ajili ya wanawake, ila kutokana na notes zake zilivyo hta mwanaume unaweza tumia.Ya kiume
Ila wanawake pia tunaitumia
Mimi naona inawafaa zaidi wanaumeblack opium ni fragrance kwa ajili ya wanawake, ila kutokana na notes zake zilivyo hta mwanaume unaweza tumia.
Nyumbani ninapoishi ndipo ninapouzia.Duka liko wapi?
Sasa hapo umejibu swali nililouliza kweli?Nyumbani ninapoishi ndipo ninapouzia.
Sina duka MkuuSasa hapo umejibu swali nililouliza kweli?