Pink sugarβ¦ iko very cool and sweetβ¦ na inakaa sana kwa nguo.Katika hizi zipi haruf yake imepoa sanaaaa na zinanukia vizuri na zina bei kati ya 50,000 hadi 100,000 Depal Hornet nanyi nipeni ushauri perfume/spray gani za kike ya bajeti ya 50,000 -100,0000? anayenunuliwa amekuwa akitumia sana fasio spray na perfume yake kwa kifupi hapend za haruf kali anapenda zilizo poa but zina haruf nzuri. πππ kwa majibu mtakayonipa.
Ahsante sana Depal ubarikΓ¬weπPink sugarβ¦ iko very cool and sweetβ¦ na inakaa sana kwa nguo.
Pink sugar anachuana na pink chiffon wote wananukia utamu ila pink chiffon ina ukali kidogo.
My way inanukia vizuri, ila ni kali.. unaweza piga na chafya wakati unapuliza.
Ahsante sana Saint Anne ubarikiwe πPink sugar
Sweet passion
Tena chukulia kwa syrian perfumeAhsante sana Depal ubarikΓ¬weπ
Ok ππTena chukulia kwa syrian perfume
Hutojutia
Hi Depal ndiyo hiyo hapo si ndio? maana mjini wajanja wengi nsije nunua kitu fekeroTena chukulia kwa syrian perfume
Hutojutia
Dah! Mkuu nimezoea perfume za kupima ππππHi Depal ndiyo hiyo hapo si ndio? maana mjini wajanja wengi nsije nunua kitu fekero View attachment 2834123
Kama ni pafyum chukua MagneticKuna kitu inaitwa elope kuna mtu katumia humu na kama ndio vip ipoje kwa perfume na body spray
Lkn pia ukiachana na dolby na dark fever na body spray gan kali sn ambayo si me wala ke anaweza tumia
Hii nadhan ni body splash mkuuHi Depal ndiyo hiyo hapo si ndio? maana mjini wajanja wengi nsije nunua kitu fekero View attachment 2834123
Sema hyo my way ikishapoa kweny nguo ina unyama sana...ni π₯π₯Pink sugarβ¦ iko very cool and sweetβ¦ na inakaa sana kwa nguo.
Pink sugar anachuana na pink chiffon wote wananukia utamu ila pink chiffon ina ukali kidogo.
My way inanukia vizuri, ila ni kali.. unaweza piga na chafya wakati unapuliza.
π€£taja jina la unyunyu tuepukane nao πHuu uzi utakuingiza sana chaka kama utasema uone perfume huku halafu ukaitafute utajuta nakwambia.
nishaingizwa chaka na I.D moja naitafuta yule kenge atakua kashabadilisha jina,alisifia unyunyu flani hivi namimi bila hiyana nika press order ya Free Delivery.. mzigo umefika sikuelewa ile harufu ni ya Rungu au Air Fresh...
Ulaaniwe we member sijui sema ila fresh nili iweka toilet hadi ikaishaga nikimaliza kupupu naspray ndo natoka
Hahaa pole mkuu.Huu uzi utakuingiza sana chaka kama utasema uone perfume huku halafu ukaitafute utajuta nakwambia.
nishaingizwa chaka na I.D moja naitafuta yule kenge atakua kashabadilisha jina,alisifia unyunyu flani hivi namimi bila hiyana nika press order ya Free Delivery.. mzigo umefika sikuelewa ile harufu ni ya Rungu au Air Fresh...
Ulaaniwe we member sijui sema ila fresh nili iweka toilet hadi ikaishaga nikimaliza kupupu naspray ndo natoka
πππππππππππ polee sanaaaaaaaaHuu uzi utakuingiza sana chaka kama utasema uone perfume huku halafu ukaitafute utajuta nakwambia.
nishaingizwa chaka na I.D moja naitafuta yule kenge atakua kashabadilisha jina,alisifia unyunyu flani hivi namimi bila hiyana nika press order ya Free Delivery.. mzigo umefika sikuelewa ile harufu ni ya Rungu au Air Fresh...
Ulaaniwe we member sijui sema ila fresh nili iweka toilet hadi ikaishaga nikimaliza kupupu naspray ndo natoka
Mpk usubiri ipoke jamaniSema hyo my way ikishapoa kweny nguo ina unyama sana...ni π₯π₯
[emoji22][emoji23][emoji23][emoji23]Huu uzi utakuingiza sana chaka kama utasema uone perfume huku halafu ukaitafute utajuta nakwambia.
nishaingizwa chaka na I.D moja naitafuta yule kenge atakua kashabadilisha jina,alisifia unyunyu flani hivi namimi bila hiyana nika press order ya Free Delivery.. mzigo umefika sikuelewa ile harufu ni ya Rungu au Air Fresh...
Ulaaniwe we member sijui sema ila fresh nili iweka toilet hadi ikaishaga nikimaliza kupupu naspray ndo natoka
Sijui kwanini my way hata sielewiSema hyo my way ikishapoa kweny nguo ina unyama sana...ni [emoji91][emoji91]
Wako wapi hawa, za kwao ni tofauti ni zile zinazopimwa Sinza au k'oo?Tena chukulia kwa syrian perfume
Hutojutia
Wako M city sijuiWako wapi hawa, za kwao ni tofauti ni zile zinazopimwa Sinza au k'oo?