Tujuzane aina ya manukato (perfume) unayotumia

Tujuzane aina ya manukato (perfume) unayotumia

Katika hizi zipi haruf yake imepoa sanaaaa na zinanukia vizuri na zina bei kati ya 50,000 hadi 100,000 Depal Hornet nanyi nipeni ushauri perfume/spray gani za kike ya bajeti ya 50,000 -100,0000? anayenunuliwa amekuwa akitumia sana fasio spray na perfume yake kwa kifupi hapend za haruf kali anapenda zilizo poa but zina haruf nzuri. 🙏🙏🙏 kwa majibu mtakayonipa.
Pink sugar… iko very cool and sweet… na inakaa sana kwa nguo.

Pink sugar anachuana na pink chiffon wote wananukia utamu ila pink chiffon ina ukali kidogo.

My way inanukia vizuri, ila ni kali.. unaweza piga na chafya wakati unapuliza.
 
Pink sugar… iko very cool and sweet… na inakaa sana kwa nguo.

Pink sugar anachuana na pink chiffon wote wananukia utamu ila pink chiffon ina ukali kidogo.

My way inanukia vizuri, ila ni kali.. unaweza piga na chafya wakati unapuliza.
Ahsante sana Depal ubarikìwe🙏
 
Tena chukulia kwa syrian perfume
Hutojutia
Hi Depal ndiyo hiyo hapo si ndio? maana mjini wajanja wengi nsije nunua kitu fekero
Aquolina-Pink-Sugar-EDT-btl.jpg
 
Huu uzi utakuingiza sana chaka kama utasema uone perfume huku halafu ukaitafute utajuta nakwambia.

nishaingizwa chaka na I.D moja naitafuta yule kenge atakua kashabadilisha jina,alisifia unyunyu flani hivi namimi bila hiyana nika press order ya Free Delivery.. mzigo umefika sikuelewa ile harufu ni ya Rungu au Air Fresh...

Ulaaniwe we member sijui sema ila fresh nili iweka toilet hadi ikaishaga nikimaliza kupupu naspray ndo natoka
 
Pink sugar… iko very cool and sweet… na inakaa sana kwa nguo.

Pink sugar anachuana na pink chiffon wote wananukia utamu ila pink chiffon ina ukali kidogo.

My way inanukia vizuri, ila ni kali.. unaweza piga na chafya wakati unapuliza.
Sema hyo my way ikishapoa kweny nguo ina unyama sana...ni 🔥🔥
 
Huu uzi utakuingiza sana chaka kama utasema uone perfume huku halafu ukaitafute utajuta nakwambia.

nishaingizwa chaka na I.D moja naitafuta yule kenge atakua kashabadilisha jina,alisifia unyunyu flani hivi namimi bila hiyana nika press order ya Free Delivery.. mzigo umefika sikuelewa ile harufu ni ya Rungu au Air Fresh...

Ulaaniwe we member sijui sema ila fresh nili iweka toilet hadi ikaishaga nikimaliza kupupu naspray ndo natoka
🤣taja jina la unyunyu tuepukane nao 😂
 
Huu uzi utakuingiza sana chaka kama utasema uone perfume huku halafu ukaitafute utajuta nakwambia.

nishaingizwa chaka na I.D moja naitafuta yule kenge atakua kashabadilisha jina,alisifia unyunyu flani hivi namimi bila hiyana nika press order ya Free Delivery.. mzigo umefika sikuelewa ile harufu ni ya Rungu au Air Fresh...

Ulaaniwe we member sijui sema ila fresh nili iweka toilet hadi ikaishaga nikimaliza kupupu naspray ndo natoka
Hahaa pole mkuu.

Mi nikijaga humu najiona bado kutoboa. Watu hawaongelei perfume za elfu 30 wanaongelea za 75 kwenda juu.

Naona bado aisee ngoja labda mwakani.
 
Huu uzi utakuingiza sana chaka kama utasema uone perfume huku halafu ukaitafute utajuta nakwambia.

nishaingizwa chaka na I.D moja naitafuta yule kenge atakua kashabadilisha jina,alisifia unyunyu flani hivi namimi bila hiyana nika press order ya Free Delivery.. mzigo umefika sikuelewa ile harufu ni ya Rungu au Air Fresh...

Ulaaniwe we member sijui sema ila fresh nili iweka toilet hadi ikaishaga nikimaliza kupupu naspray ndo natoka
😂😂😂😆😆😆😆😆😆😆😆 polee sanaaaaaaaa
 
Huu uzi utakuingiza sana chaka kama utasema uone perfume huku halafu ukaitafute utajuta nakwambia.

nishaingizwa chaka na I.D moja naitafuta yule kenge atakua kashabadilisha jina,alisifia unyunyu flani hivi namimi bila hiyana nika press order ya Free Delivery.. mzigo umefika sikuelewa ile harufu ni ya Rungu au Air Fresh...

Ulaaniwe we member sijui sema ila fresh nili iweka toilet hadi ikaishaga nikimaliza kupupu naspray ndo natoka
[emoji22][emoji23][emoji23][emoji23]

Kumbuka kitu kizuri kwa mwezio kwako unaweza usikielewe.

Na kizuri kwako yawezekana kwa mwenzio kikawa kibaya.
 
Sema hyo my way ikishapoa kweny nguo ina unyama sana...ni [emoji91][emoji91]
Sijui kwanini my way hata sielewi
Safari hii nimeamua kuitumia pekeyake

Ajabu kila ninapokwenda wanaisifia ssna yaani kila mtu ananiuliza natumia perfume gani.

Akina pink sugar ,Sweet passion wala sijawahi kuulizwa[emoji1787]ila ndio naona nzuri
Bila kusahau perfume yangu constant black opium.
 
Back
Top Bottom