1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,552
- 13,090
Nliwai inunua kali mno😂, nikijpulizia tu mwanangu anapiga chafya hata kama amelala,,Sema niliruka na huu ushauri nikaagiza hiyo kitu kwa Emat asee, kwangu mimi ni miongoni mwa worst products nilizowahi tumia. Nikifungua tu kifuniko napiga chafya kabla ya kujipulizia.
Pesa yangu iliteketea bure wife alijaribu nae katoka nduki imebaki kama pambo tu kabatini. Mara mia zile product za Syria
Ipi sasa..Bitter peach ama the only one?Sema niliruka na huu ushauri nikaagiza hiyo kitu kwa Emat asee, kwangu mimi ni miongoni mwa worst products nilizowahi tumia. Nikifungua tu kifuniko napiga chafya kabla ya kujipulizia.
Pesa yangu iliteketea bure wife alijaribu nae katoka nduki imebaki kama pambo tu kabatini. Mara mia zile product za Syria
Hizi zinaendaje mkuu?new collection kwa ajili ya summer + winter, asante Dubai na Jozi 🫠🫠, asante Zara wazee wa kutusaidia kwenye low budget
View attachment 2950633
Hizi zinaendaje mkuu?
Nikiwa tayari unaweza kunisaidia kunichukulia ya ZAR 600 hadi 800 hivi?Siuzi mkuu, hii ni collection yangu nayotumia...
Ila ukitaka jua bei zake ni hivi, niliagiza toka SA na Dubai...
120 USD - YSL + Deo Stick (EDP)
1600 ZAR - Dolce & Gabbana The One (EDP)
1700 ZAR - Givenchy Gentleman Boisse ( EDP)
599 ZAR - Zara Tobacco Sublime + ZaraMan Gold + Zara Vibrant Weather & Oud ( Zote EDP)
Nikiwa tayari unaweza kunisaidia kunichukulia ya ZAR 600 hadi 800 hivi?
bro hii nishapita nayo tayar, nipatie mchanganyo mwingne wa manukato nipite naoWazee wa kupima Pima..
Tafuta Lacoste white changanya na one million, utanishukuru baadae.
Sawa Mkuu, nilikuelewa wewe siyo mfanyabiashara ila post yangu ilidhamiria kusema kwamba ikitokea unaagiza kwa hao wadau na mimi niunge hapo. Hili limeisha mkuu.Mkuu mimi sio mfanyabiashara...
Hizo niliagiza wadau waliokuwa wamesafiri...
Sawa Mkuu, nilikuelewa wewe siyo mfanyabiashara ila post yangu ilidhamiria kusema kwamba ikitokea unaagiza kwa hao wadau na mimi niunge hapo. Hili limeisha mkuu.
Sawa Mkuu, nilikuelewa wewe siyo mfanyabiashara ila post yangu ilidhamiria kusema kwamba ikitokea unaagiza kwa hao wadau na mimi niunge hapo. Hili limeisha mkuu.
Nikipata Paco Rabane, Invictus au D&G Light Blue itakuwa poa.
Pink Sugar naweza kupuliza mimi mwanaume?Emat perfume zake kali, sio uongo.
Yan uwa napulizia nguo, naingia kuoga. Mpaka nitoke imekaa moderate.
Syria perfume baba lao, nimetumia pink sugar yao aisee ni kunukia utamu tu
Nataka nikanunue perfume aina mbili za kupima. Kati ya hizi unashauri nikabebe gani:Invictus EDP ana matoleo mengi kuna Platinum, Victory na Legend...na Invictus EDT pia ana matoleo mengi Intense, Aqua na nyingine inaitwa tu Invictus, sasa ni ipi labda...vyema ungeambatanisha na picha
Nataka nikanunue perfume aina mbili za kupima. Kati ya hizi unashauri nikabebe gani:
- Bleu de Chanel
- Creed Aventus
- Sauvage Dior
- Lacoste White
- One Million
- Hugo sijui nini.
- Pink Sugar.
(Mimi ni mwanaume)
Nikipata Paco Rabane, Invictus au D&G Light Blue itakuwa poa.