Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 26,961
- 77,890
Kwa Dar es Salaam nawapata wapi mkuu. Kuna duka lipo Mlimani City wanauza perfume, almost linatazamana na duka la miwani (pembeni ya Shoppers), aisee sio poa.Hapo ni mwendo wa oil perfume mzee, zile za wasyria nahisi ni kuanzia 40k kwa bei mpya elekezi...