Tujuzane aina ya manukato (perfume) unayotumia

Tujuzane aina ya manukato (perfume) unayotumia

20241221_152942.jpg
hichi kidude ni 50ml nadhani ni kama laki, kina unyama balaa, sinaga kazi mbovu.. pima pima bhasi tena.. now natembelea original.

List yangu ya 2025 zote OG

1-Issey miyake-hii natafuta sample kwanza
2-Black opium-najua ni ya kike ila namix na
3-Cool water
4-Alpha male
5-perfect hunter
6-club de nuit
7- baccarat rouge 540.. sema hii bei ya moto
 
View attachment 3181768hichi kidude ni 50ml nadhani ni kama laki, kina unyama balaa, sinaga kazi mbovu.. pima pima bhasi tena.. now natembelea original.

List yangu ya 2025 zote OG

1-Issey miyake-hii natafuta sample kwanza
2-Black opium-najua ni ya kike ila namix na
3-Cool water
4-Alpha male
5-perfect hunter
6-club de nuit
7- baccarat rouge 540.. sema hii bei ya moto
Kuna xerjof erba pura
 
View attachment 3181768hichi kidude ni 50ml nadhani ni kama laki, kina unyama balaa, sinaga kazi mbovu.. pima pima bhasi tena.. now natembelea original.

List yangu ya 2025 zote OG

1-Issey miyake-hii natafuta sample kwanza
2-Black opium-najua ni ya kike ila namix na
3-Cool water
4-Alpha male
5-perfect hunter
6-club de nuit
7- baccarat rouge 540.. sema hii bei ya moto
Hii Cool Water ni ile David Off?
 
So mkuu kati ya David Off Cool Water na hii una-prefer ipi zaidi?kwa maoni yako unadhani ipi ingekuwa chaguo lako zaidi kama umewahi kuzitumia zote!View attachment 3182031
Mijake ina unyama mwingi, kuna bro mmoja aliwwahi tumia hii. Siku ya kwanza kuvuta harufu yake, nikajikuta tu nimetoka nje kuifuata harufu.
 
Issey Miyake ni all time classic. D cool water ya kawaida sana. Nimeimaliza juzi juzi sinunui tena.
Sure mkuu.

Ni aina gani nyengine una-recommend kwa bajeti isizidi 150K kwa opti mbili kununua hapa hapa au kuagiza?nataka angalao kuwa nazo mbili zenye kiwango.
 
Perfume hii naweza ipata wapi wauzaji mnipe na bei yenu
 

Attachments

  • IMG_20230621_213542.jpg
    IMG_20230621_213542.jpg
    367.2 KB · Views: 12
Hapa patam sasa mumenigusa penyewe,mimi ni mmoja kati ya mteja mzuri toka kaanza kule makumbusho,alikua na package mbovu sana ila juice super A+..hata ofisini ilikua ndogo na mbaya.

Now ana grow, which ni kitu kizuri..ukitafuta uko juu zaidi ya miaka 3 ama minne nilikua msifiaji sana wa perfumes zake..

Ila kwenye ukweli lazima tuseme, marketing strategies zake A, branding and package A+..

Juice ni takataka, sitakaa ni nunue tena kwake, sasa hivi bei kafikisha 55k chupa kubwa hio sio shida,je kilichopo ndani kinastahili?sisi hatuna shida na hio package yake, je juice ina quality ile ile, na hii kuua quality ya bidhaa ndio inaua sana biashara za wabongo wengi, wakiwa juu wanachakachua sana wapate faida kubwa ila wanasahau ukimkimbiza mteja leo, kumrudisha ni ngumu sana.
Hizi chupa zangu mbili za mwisho naona kabisaa hii dhulma, amenidhulumu..

Ya kwanza nilisema labda bahati mbaya(aventus), ya pili nikasema nibadilishe nichukue black opium nayo ovyo.
Msiseme sikuwaambia..

Tujuzane machimbo mapya ya pima pima.
mambo vipi mkuu, ushalipata chimbo jipya la uhakika unijuze
 
Yara pink ni nzuriii. Ila haikai muda mrefu 🥹
 
Back
Top Bottom