Just call me Maxi kabla ya uchakachuaji na kupotea madukani.
PLEYEL niliwahi kuiona kwenye gari ya mzee Mimi na bro wangu tukajipulizia, ni balaa.
Tukahangaika maduka yote ola. Na ile tulioyoiona kwenye gari hatukuiona tena.
Sijui kama alipewa zawadi kutoka ng'ambo nae akaamua kuigawa.
PLEYEL niliwahi kuiona kwenye gari ya mzee Mimi na bro wangu tukajipulizia, ni balaa.
Tukahangaika maduka yote ola. Na ile tulioyoiona kwenye gari hatukuiona tena.
Sijui kama alipewa zawadi kutoka ng'ambo nae akaamua kuigawa.