Tujuzane aina ya manukato (perfume) unayotumia

Kweli Mkuu, nimejaribu kupitia baadhi ya reviews wanasema ni alternative ya Aventus
 
Naomba kujua ka wewe ni mke wa mtu, nataka kukupigia usiku plse.
 
Jinsi ya kuhakikisha kama Perfume yako uliyonunua ni Original au Fake na muda wa Ku-Expire
 
Mi kwasasa sielewi nimepata ugonjwa gani.na spend pesa nyingi kwenye unyunyu bro
Hizo nilizoweka hamna inayozidi £30. Mimi sinunui inayozidi £30 kwasababu napenda kuwa nazo at least tatu. Hata hivyo zinakaa sana si unaona hadi maboksi yamechakaa.
 
Hizo nilizoweka hamna inayozidi £30. Mimi sinunui inayozidi £30 kwasababu napenda kuwa nazo at least tatu. Hata hivyo zinakaa sana si unaona hadi maboksi yamechakaa.
nipatie hata moja hapo mbona unazo nyingi hivyo [emoji3] [emoji3]
 
Hizo nilizoweka hamna inayozidi £30. Mimi sinunui inayozidi £30 kwasababu napenda kuwa nazo at least tatu. Hata hivyo zinakaa sana si unaona hadi maboksi yamechakaa.
Unachukulia duka gani?online sijaribu chief ni hatar kwa pesa yangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…