Tujuzane aina ya manukato (perfume) unayotumia


Sh ngapi?
 
I like perfume very much lakini nahisi sijawahi pata ninayoitaka.

Nimewahi kutumia architect, niliuziwa 70, 000 na watu wa kampun flani ivi (nimeisahau jina) ya vipodozi lakini na yenyewe haikukidhi haja.
Mwishowe nimeishia tu kwenye body spray za buku 5

Kwa iyo huu uzi umeplay part kubwa sana leo kwangu
 


Mh!, mpaka nimeitamani ulivyoifagilia.

No wonder NN ana confidence za kufa mtu.
I'll have to check it out!
 
Sexy, by Victoria's secret. Good for a kick on special nights.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…