Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sh ngap hyo nimchkulie sister angu
Sh ngap hyo nimchkulie sister angu
Mie nataka kujua perfyumu nzuri ya kunukia vizuri na kwa upole sana na Bei yake ya jinsia ya kike
1. RiriMie nataka kujua perfyumu nzuri ya kunukia vizuri na kwa upole sana na Bei yake ya jinsia ya kike
Njoo pm nkupe iyoMie nataka kujua perfyumu nzuri ya kunukia vizuri na kwa upole sana na Bei yake ya jinsia ya kike
Mkuu utaratibu pleaseAsante Sana Mkuu kwa feedback[emoji120]
Asante kwa sapoti yako
Karibuni tena,Nawapenda[emoji4]
Uzi wangu nimeweka details zote Mkuu.Mkuu utaratibu please
Pls your contact pnElfu 25
Ndiyo, ndani ina spray yake.
Hii ni ya kiume?Dylan blue
Og 200K kuendelea.Hii perfume inauzwa bei gani wakuu
Saint Anne korokwincho View attachment 2565711
Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
Si chini ya hiyo pesa
Mousuf mm naipenda sana ila jilishawahi kuulizwa na watu sio chini ya 13 natumia perfume gani so hao wote wameongezeka kwenye mousof..Epuka kutumia perfume ambazo zinatrend yaani kila mtu anapulizia, Mfano hizi[emoji116]
1: Savage
2:Sauvior
3: Blue de Chanel
4: Mousuf
5: Creed
Uzuri wa pafyum katika eneo lako uwe unatumia mwenyewe, yaani kiasi mtu hata akienda sehem tofauti akihisi ile harufu anajua hii perfume ni mtu fulani
Nishawahi kutumia mousuf nikajikuta kwenye pantoni kila mtu ananukia mousuf nimeikimbia...now natumia unyama mwengine..
Kama unataka kutumia hizo perfume nizozitaja basi hakikisha unamix na perfume nyingine au nunua zile Sansiro kama peni uwe unamix
Naona anataka kutuvurugia biashara [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hizo spray na perfume zinaongeza hormone za kufanya watu wawe mashogaaaa.
Report ya Mwakyembe inasema hivyoo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]