Kiatu cha udongo
JF-Expert Member
- Jun 28, 2022
- 443
- 1,155
[emoji23][emoji23][emoji23] business is not for everyoneKuna siku nimekupigia sim hupokei,nilitaka nikuungishe,wewe unaniambia nikutext WhatsApp na mm ni mvivu wa kumwelewesha mtu kwa sms
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23] business is not for everyoneKuna siku nimekupigia sim hupokei,nilitaka nikuungishe,wewe unaniambia nikutext WhatsApp na mm ni mvivu wa kumwelewesha mtu kwa sms
Asante Mkuu,Kuna siku nimekupigia sim hupokei,nilitaka nikuungishe,wewe unaniambia nikutext WhatsApp na mm ni mvivu wa kumwelewesha mtu kwa sms
Yeah sure.[emoji23][emoji23][emoji23] business is not for everyone
Dar au mwanza?Wale wa pafyum ya kupima nimepata chimbo linaitwa "starlubs" nmeona unyunyu wao uko poa sana. Waweza jaribu ukiwiwa.
DarDar au mwanza?
Mi sijui aina zilizopo. Utanishaurije?Ipo Black opium
Diamond jubilee?Nimeona maonyesho ya wa Syria yameanza had 22 ya mwezi huu kama sijakosea.
Location wapi bro nkasake unyunyu huk0?Nimeona maonyesho ya wa Syria yameanza had 22 ya mwezi huu kama sijakosea.
NdioDiamond jubilee?
Diamond jubileeLocation wapi bro nkasake unyunyu huk0?
perfume ya kipuuzi kuwahi kukutana nayo.Saint Anne nmeambiwa anataka bushra sjui ni shi ngapi na inanukiaje mimi nna hypersensitivity hainukii sana nsije nkamzabua?
Inauzwaje mimi situmii namnunulia mtuperfume ya kipuuzi kuwahi kukutana nayo.
Lazma kujipanga ama kuchagua kulala njaa ili unukieRed tobacco. Ila gharama ni kuanzia laki 4 na kuendelea. Hutakuja kujutia na hutaacha ukianza kuitumia. Ni balaaaaaa