Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu unapatikana wapi?je naweza kupata perfume ya kiume iitwayo MULTI PERFUME
Unajifanyaga mjuaji kishenzihii inasifiwa sana ila kwangu naona ni mafua tu
Jaribu utakuja nishukuru ila inakuwa poa sana ukichanganya na fragrance nyenginehii inasifiwa sana ila kwangu naona ni mafua tu
Imenipa credit sana mbele za watuNmeumaliza huo mzigo muda c mref, huo mzgo ukipigwa na jua na mwili ukipat joto ndo harufu inatema zaid, nzur san hii
Chukua zile za kupima kakawakuu kwa bajet ya 20k ninunue perfume ipi ambayo inaweza kaa mwilini masaa 24 non-stop (zile hata ikifikia jion bado harufu iwepo)
hahaha mkuu mbona kma umejenga chuki hvi ??Unajifanyaga mjuaji kishenzi
Nataka nirudi kwenye hizi perfume za kupima,ingawa kinachoniudhi zinaacha madoa kwenye nguo.Hivi kwa sasa wanaume wenzagu ipi ni perfume kali zile za kupima,iwe ni za Ematscent,Multiperfume au wowote wengineo...?
Sio perfume zote zisizopulizwa kwenye nguo,perfume zenye alcohol ya 80%-90% hazina hiyo shida ya kuacha madoa,ila perfume ambazo ni free from alcohol zote na zenye oil content zinaacha madoa kwenye nguo...Perfume haipulizwi kwenye nguo, unakosea ndio maana zinaacha madoa
Emat ana My wayNataka nirudi kwenye hizi perfume za kupima,ingawa kinachoniudhi zinaacha madoa kwenye nguo.Hivi kwa sasa wanaume wenzagu ipi ni perfume kali zile za kupima,iwe ni za Ematscent,Multiperfume au wowote wengineo...?