Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Lacoste white nzuri sana kuliko Cool water•Hyo lacoste vipi ina unyama nikuige au kawaida??
•Club de nuit intense man umewah tumia?
Club de Nuit unyama ni mwingi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lacoste white nzuri sana kuliko Cool water•Hyo lacoste vipi ina unyama nikuige au kawaida??
•Club de nuit intense man umewah tumia?
Ni noma hii ngoj nijichange niibebe tena [emoji91][emoji91]Lacoste white nzuri sana kuliko Cool water
Club de Nuit unyama ni mwingi
Safi ila club de nuit ni og sidhan kam kuna za kupima
- Lacoste White ni jamii ya kina Sauvage Dior. Harufu ndio tufauti kidogo (Haina maajabu sana)
- Club Intense? Sijawahi. Ngoja nikienda nitaomba nipuliziwe mkononi nione.
Bei yake ni kichomiNi noma hii ngoj nijichange niibebe tena [emoji91][emoji91]View attachment 2837747
Ni kitambo sijaingia humu,Changanya na cool water...
Utanipa matokeo.
[emoji257]kaka nimekubali mixer ya cool water na black opium
taste yke ni nzuri mno na imetulia sanaaaaaaa
So far nataka niirejeeAventos imekua popular, few compliments.
Mnaopenda kunukia,kizuri kula na wenzio.
Vunja kibubu,go for lacoste white utanishukuru baadae, akuna cha aventus by creed sijui mdudu gani...
Unataka kunukia,mnunue huyu mnyama lacoste original sio clone(sijui kama ipo)ama ya kupima..
Popote utakapo ingia ni wewe tu,ofisini ni wewe tu,kwenye daladala ni wewe tu hakuna mwingine,kabatini,room kila sehem ni wewe tu,hata ukifua wakikatiza kwenye kamba ni harufu yako tu ya kupendeza...everywhere it's only you.
Compliments kama zote.hakika hutajutia.
For now my best choices ni lacoste white na I'm the king.
Vunja kibubu mzee mchukue huyu mnyama wa kishua sana.
Naweka kalamu chini.
Adios
Bitter peach [emoji527] hii kitu ina harufu ya kizungu sana(kiboss boss) kama nilivyosema huko juu, ila sii kwa ajili ya kila mtu...tafuta sample uijaribu kwanza kama ujanunua usije nilaumu...Ni kitambo sijaingia humu,
Naona recommendation zangu zinafanya kazi(Great)
Nilete mrejesho so far nilipofikia for now.
Bado black opium + cool water iko juu.
Nipe chimbo lako kaka la hizo za kupima unaponunua nikuige [emoji1666]Bitter peach [emoji527] hii kitu ina harufu ya kizungu sana(kiboss boss) kama nilivyosema huko juu, ila sii kwa ajili ya kila mtu...tafuta sample uijaribu kwanza kama ujanunua usije nilaumu...
For now natumia "The only one" ya kupima, inakaa sana na haikeri labda ujimwagie nyingi..
Six spray, I'm good to go.
Nilikua natumia kim, naona kaamisha duka na mitandaoni hayupo.Nipe chimbo lako kaka la hizo za kupima unaponunua nikuige [emoji1666]
Pamoja sanaNilikua natumia kim, naona kaamisha duka na mitandaoni hayupo.
Nimerudi kwa emat scent.
Nasubiria na maonesho ya wa-Syria.
[emoji1] mi kuspray kdg ndo kitu cwez..mimi najispray nying mpk mtaa wa 7 waiskie [emoji1]Bitter peach [emoji527] hii kitu ina harufu ya kizungu sana(kiboss boss) kama nilivyosema huko juu, ila sii kwa ajili ya kila mtu...tafuta sample uijaribu kwanza kama ujanunua usije nilaumu...
For now natumia "The only one" ya kupima, inakaa sana na haikeri labda ujimwagie nyingi..
Six spray, I'm good to go.
Shida ya kujimwagia,unakua kero kwa wengine.[emoji1] mi kuspray kdg ndo kitu cwez..mimi najispray nying mpk mtaa wa 7 waiskie [emoji1]
Wewe kama mimi.[emoji1] mi kuspray kdg ndo kitu cwez..mimi najispray nying mpk mtaa wa 7 waiskie [emoji1]
[emoji23][emoji1666][emoji91]Wewe kama mimi.
Mambo ya kidogo siyajui.
Naoga weee kiasi kwamba hata niwe na mishe vipi,yaani hadi jioni narudi home bado nanukia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah,mkuu naona umeamua kutuwekea tunguli kabisaMidnight Fantasy
View attachment 2837181
fanya mchanganyo wa hugo boss+vanillaNi kitambo sijaingia humu,
Naona recommendation zangu zinafanya kazi(Great)
Nilete mrejesho so far nilipofikia for now.
Bado black opium + cool water iko juu.
Mimi tena, wala usiwaze, hugo boss teyar iliingia anga zangu sikuipenda,nitanunua tena nije na mrejesho, hii ni vanilla ipi?fanya mchanganyo wa hugo boss+vanilla
utanikumbuka.
Hahahaahah.....Dah,mkuu naona umeamua kutuwekea tunguli kabisa