Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
SAHIHI mkuu nakubaliana na weweYani covid ni ugonjwa mbaya. Kukiondoa mafia ina smbatana na kukatisha na kukosa hamu ya kula.
Na kweli ikikukuta umdhoofu inaondoka na wewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SAHIHI mkuu nakubaliana na weweYani covid ni ugonjwa mbaya. Kukiondoa mafia ina smbatana na kukatisha na kukosa hamu ya kula.
Na kweli ikikukuta umdhoofu inaondoka na wewe.
Huu ugonjwa ushaanza kuchukua watu Ombeni alikuwa anapumua Kwa shidaSAHIHI mkuu nakubaliana na wewe
Mhm.!! Lete vipimo tuhakikishe hapa usitupange 😹😹😹Dactari kijana Sina mambo mengi Tena yanayo husiana na Kagera ndio nipo nayo mbali mbali 😀
Naendelea vyema kabisaa mafua yamepona pia kuhara kumeisha.. Hali ya kuharisha ilinichukua siku mbili nipo powaa currently.
☺️😊
Haya hongera Dr 😀Dactari kijana Sina mambo mengi Tena yanayo husiana na Kagera ndio nipo nayo mbali mbali 😀 Naendelea vyema kabisaa mafua yamepona pia kuhara kumeisha..
☺️😊
Asante SanaaHaya hongera Dr 😀
Napenda Sana maji ya baridi na nashinda kwenye ma ACHuu ugonjwa ushaanza kuchukua watu Ombeni alikuwa anapumua Kwa shida
Haaahaa 😊 nipo kamili gado_ professor jay ft Marco Chali.Mhm.!! Lete vipimo tuhakikishe hapa usitupange 😹😹😹
Ndio shida Inakuja Hali fulani hata Uletewe kitu kinacho Nukia Vizuri unaona kama kinyesi tu kh!Yani covid ni ugonjwa mbaya. Kukiondoa mafia ina smbatana na kukatisha na kukosa hamu ya kula.
Na kweli ikikukuta umdhoofu inaondoka na wewe.
Walahi tena, hata kunywa maji shida.Ndio shida Inakuja Hali fulani hata Uletewe kitu kinacho Nukia Vizuri unaona kama kinyesi tu kh!
Huu ugonjwa Hatari sana
Ni sahih kabisa. Hata mie tangu imeingia corona basi kila ifikapo mwisho wa mwaka kuanzia Nov naumwa km vile.Mafua kwangu ni ugonjwa mkuu sitaki hata kuusikia.
Hayo mafua nimeugua kwa wiki 2 na nusu.
Mara nyingi aina hiyo ya mafua hunipata miezi ya mwishoni mwa mwaka. Mwezi wa 10 wa 11 au 12.
Mwaka huu nimeyapata mwezi huu wa 10.
Sahih kabisa.Mimi tangu 2019 ikifika hii miezi kuna asilimia kubwa nakimbizwa na mafua. Kuanzia mwezinwa 10, 11 mpaka 12. Hiyo miezi huwa napata mafua makali sana.
Mwaka 2019 walishatoa mwongozo kuwa kutokana na hali ya hewa na sababu zingine za kitaalamu. Kama kuna mtu ana waraka wake anaweza akatusaidia.
Waliainisha na miezi husika nayo ni kuanzia mwezi wa 10 mpaka 12.