Tujuzane na kushauriana ipi gesi bora kwa matumizi ya nyumbani

Tujuzane na kushauriana ipi gesi bora kwa matumizi ya nyumbani

Inategemea na matumizi ya mtu, mimi naishi peke yangu nilinunua kg 30 ya oryx tarehe 15 october mwaka jana, natumia gas kwa kila kitu imeisha tarehe 23 mwezi wa nne.
kwa hiyo matumizi ya gas yana matter sana kama unapka sana itaisha mapema pia regulator na aina ya jiko mfano langu linakula 30g/hr wakati majiko meng ni 120g/hr

Nilikuwa sijui hili, ndo najua leo. Asante
 
Ebu niambie uzuri wake ni mtungi au ni kwakuwa ni affordable maana nalojua wote hao wanaenda jaza mitungi sehemu moja

Mi nilihamia mihan kwa sababu ya bei, honestly speaking. Mana Oryx walipandisha bandugu
 
Gesi zote hujazwa sehemu moja ...uzuri wa gesi ni angalia eneo ulipo gas gani hupatikana ndo utumie hiyo ,na kuhusu kuisha mapema inategemea matumizi na jiko unalotumia ,usipende majiko ya bei rahisi...RAHISI GHALI. Na hakikisha kila unaponunua gesi unapimiwa ..
 
Nilipokuwa Bachelor, nlikuwa nkitumia 15Kgs mara mbili tu kwa Mwaka na Miezi kama 3.

Ila nlipokuja kuoa, ndo nkajua matumizi sahihi ya Gas. Obvious kwa Familia yenye Watu7, na kama asubuhu watapika Breakfast/Mchana Lunch/Jion wakaanda Dinner, Basi hiyo Gas itaweza kudumu kwa Siku 40(Plus or Minus 2dayz)

Kinachoweza kuchangia pia kuisha haraka kwa Gas ni Aina ya jiko unalotumia.kuna baadh ya Majiko yale Matundu yake ni Makubwa kwa ajili ya kuchochea Moto Mkali. Ni dhahiri lazima iishe Mapema ukiwa na jiko kama hili.

Majiko mengine Vitundu vyake ni vidogo na hupitisha Moto Mdogo hadi(18grams per/hr)
 
Nilipokuwa Bachelor, nlikuwa nkitumia 15Kgs mara mbili tu kwa Mwaka na Miezi kama 3.

Ila nlipokuja kuoa, ndo nkajua matumizi sahihi ya Gas. Obvious kwa Familia yenye Watu7, na kama asubuhu watapika Breakfast/Mchana Lunch/Jion wakaanda Dinner, Basi hiyo Gas itaweza kudumu kwa Siku 40(Plus or Minus 2dayz)

Kinachoweza kuchangia pia kuisha haraka kwa Gas ni Aina ya jiko unalotumia.kuna baadh ya Majiko yale Matundu yake ni Makubwa kwa ajili ya kuchochea Moto Mkali. Ni dhahiri lazima iishe Mapema ukiwa na jiko kama hili.

Majiko mengine Vitundu vyake ni vidogo na hupitisha Moto Mdogo hadi(18grams per/hr)

yani hapa kwenye aina ya jiko mmenifungua macho kweli mi ningekwenda kuvaba lolote lile maana sikua na experience yeyote ile,
 
Gesi zote hujazwa sehemu moja ...uzuri wa gesi ni angalia eneo ulipo gas gani hupatikana ndo utumie hiyo ,na kuhusu kuisha mapema inategemea matumizi na jiko unalotumia ,usipende majiko ya bei rahisi...RAHISI GHALI. Na hakikisha kila unaponunua gesi unapimiwa ..

si mshasema inajaziwa sehemu moja apime kwanin? na vipimo ni vipi?
mizan zenyewe zmechakachuliwa, this country bwana!!
 
Back
Top Bottom