Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Hahahaha, umenikumbusha enzi za bills ,ikabidi nihamie hostel ili niruke kwanja[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daah af starehe za kuunga unga huaga znanoga, hapo home b mkubwa amebana kwenye kona na mkanda wake ukirud kipigo [emoji23][emoji23][emoji23]
taja location mkuu..usitaje majina peke yakeTips
Havoc
Bucket
Truth
Golden J wameanza kujirudisha tena
Elements
Hangover (sio sana)
La Stanza - Goba
Unatembea sana viwanjaUsijaribu kabisa yani. Aema Tips sichezagi naonaje sijui
DuhNdo nimemaliza form six hapo
😀😀😀[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daah af starehe za kuunga unga huaga znanoga, hapo home b mkubwa amebana kwenye kona na mkanda wake ukirud kipigo [emoji23][emoji23][emoji23]
kabisa yani...wakati wenyewe ndio huuMkuu tukutane tips ,tugonge cheers tukumbuke enzi ,lataverna ,blue Palm's, the place
Kuna kaudokozi ( vifaa vya magari) kanaendelea pale....kuwa makiniLa chaz
Watu ruka sana mageti na ukuta,kudakisha walinzi au wafanyakazi wa hm wasiseme😀😀😀
na hizo shida ndo raha zenyewe yani...ukisha kula kipigo inakuongezea mzuka wa kutoka siku nyingine😀😀😀
Pazuri napo pale.Mbn sinza big born hampataji? Pale elegant hotel kuna joint matata sana
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Unatembea sana viwanja
Haaa haaa, siku zote hizo?..mkuu kwenye kitimoto kumevunjwa na sunsiro ni kibaa fulani hivi hakina hadhi[emoji23]CLUB SANSIRO HV BADO IPO? PALE WANAUZA NYAMA YA KITMOTO
Waonyesha parking pale mmmh! ....sijui wanapewaga rushwaMbn sinza big born hampataji? Pale elegant hotel kuna joint matata sana
Hiyo mara moja ikitokea tena usiache kunipokeSiku hizi siendi sana mitaa hizo. Naweza enda mara moja kwa mwezi
Hakuna tatizo mkuuHiyo mara moja ikitokea tena usiache kunipoke
hahahahah sana mkuu!Watu ruka sana mageti na ukuta,kudakisha walinzi au wafanyakazi wa hm wasiseme
Utawajua tu wapenda kujirushaTips
Havoc
Bucket
Truth
Golden J wameanza kujirudisha tena
Elements
Hangover (sio sana)
La Stanza - Goba