kabisa yani..Maisha kwa ujumla ndo pa kujifunzia starehe. Nimeanza starehe kwa kwenda maisha mwaka 2011 hiyo
[emoji23][emoji23]kabisa yani..
wengine tulikuwa tukienda asubuhi ikifika unajikuta umebaki na jero tu..unaanza kula mguu kupunguza kimwendo mpk ufike eneo unaloweza panda basi moja tu ili ufike home!
Tukutane Hapo Leo tufurahie disco la kiutu uzima tugonganishe glass za wine na kuku wa kuchoma.777 hata mie binti nisie wa zamani sana napaenda. Hata last weekend nilikua hapo.
Sina ratiba napo kabisa ila ikitokea nikapita tutakutanaTukutane Hapo Leo tufurahie disco la kiutu uzima tugonganishe glass za wine na kuku wa kuchoma.
Karibu sanaSina ratiba napo kabisa ila ikitokea nikapita tutakutana
si imegeuzwa kuwa ukumbi ile...CLUB SANSIRO HV BADO IPO? PALE WANAUZA NYAMA YA KITMOTO
Hakuna cha Sun Cirro wala Uwanja wa sanaa wa kitimoto.CLUB SANSIRO HV BADO IPO? PALE WANAUZA NYAMA YA KITMOTO
Za kiswahili au English mkuu?Leo kiwanja gani naweza sikiliza flashback, old skulls mwanzo mwisho nikaenjoy to the maximum?
2011.we utakua bado msichana kbsMaisha kwa ujumla ndo pa kujifunzia starehe. Nimeanza starehe kwa kwenda maisha mwaka 2011 hiyo
Ndo nimemaliza form six hapo2011.we utakua bado msichana kbs
Mie maisha club toka inaitwa mambo club o'bay , Ronies corner, bar one,asee enzi za bills ,watoto wa shami sisters, asee huu uzee acha niumalizie tipsMaisha kwa ujumla ndo pa kujifunzia starehe. Nimeanza starehe kwa kwenda maisha mwaka 2011 hiyo
Hongera mhengaMie maisha club toka inaitwa mambo club o'bay , Ronies corner, bar one,asee enzi za bills ,watoto wa shami sisters, asee huu uzee acha niumalizie tips
Mkuu tukutane tips ,tugonge cheers tukumbuke enzi ,lataverna ,blue Palm's, the placenajua fika mkuu ndio maana nikaamua kuisema hapa
Nenda governor kino pazuri sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] daah af starehe za kuunga unga huaga znanoga, hapo home b mkubwa amebana kwenye kona na mkanda wake ukirud kipigo [emoji23][emoji23][emoji23]kabisa yani..
wengine tulikuwa tukienda asubuhi ikifika unajikuta umebaki na jero tu..unaanza kula mguu kupunguza kimwendo mpk ufike eneo unaloweza panda basi moja tu ili ufike home!