Tukague vyakula wanavyolishwa watoto shuleni, hali niliyoiona ni mbaya sana!

Tukague vyakula wanavyolishwa watoto shuleni, hali niliyoiona ni mbaya sana!

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Vyakula wanavyopikiwa wanafunzi na vikundi fulani vyenye mafungamano na walimu wa shule sio salama kabisa! Tunaambiwa watoto kila siku watoe 1000 ya chakula, kwa mfano shule moja Chanika inawanafunzi 1800, wanafunzi 1500 wanakula shule na wengine wanaingia mchana.

Kwa mantiki hiyo kila siku inakusanywa mil 1.5, naambiwa walimu wanakata laki 5, mpishi anapewa mil 1, anaambiwa ajitahidi kila mwanafunzi apate chakula!

Kwa mantiki hiyo, huyu mpishi anapika chakula kisicho na ubora ili na yeye apate faida! Nimeitembelea shule hii mpaka nimeogopa, maharage hayajaiva na hayana viungo.

Yaani wali wanapimiwa kwenye kikombe haitamaniki, umeungulia, hawajali hata afya ya watoto. Natamani kila mtoto ajibebee chakula kutoka kwao.
 
Vyakula wanavyopikiwa wanafunzi na vikundi fulani vyenye mafungamano na walimu wa shule sio salama kabisa! Tunaambiwa watoto kila siku watoe 1000 ya chakula, kwa mfano shule moja chanika inawanafunzi 1800, wanafunzi 1500 wanakula shule na wengine wanaingia mchana.

Kwa mantiki hiyo kila siku inakusanywa mil 1.5, naambiwa walimu wanakata laki 5, mpishi anapewa mil 1, anaambiwa ajitahidi kila mwanafunzi apate chakula!

Kwa mantiki hiyo, huyu mpishi anapika chakula kisicho na ubora ili na yeye apate faida! Nimeitembelea shule hii mpaka nimeogopa, maharage hayajaiva na hayana viungo.

Yaani wali wanapimiwa kwenye kikombe haitamaniki, umeungulia, hawajali hata afya ya watoto. Natamani kila mtoto ajibebee chakula kutoka kwao.
Tena waalim acha wajipatie chochote kitu, maan walio juu kiuongoz wanapiga madili ya mabilioni!! Nasisitiza acha waalim wapate chochote!
 
Vyakula wanavyopikiwa wanafunzi na vikundi fulani vyenye mafungamano na walimu wa shule sio salama kabisa! Tunaambiwa watoto kila siku watoe 1000 ya chakula, kwa mfano shule moja chanika inawanafunzi 1800, wanafunzi 1500 wanakula shule na wengine wanaingia mchana.

Kwa mantiki hiyo kila siku inakusanywa mil 1.5, naambiwa walimu wanakata laki 5, mpishi anapewa mil 1, anaambiwa ajitahidi kila mwanafunzi apate chakula!

Kwa mantiki hiyo, huyu mpishi anapika chakula kisicho na ubora ili na yeye apate faida! Nimeitembelea shule hii mpaka nimeogopa, maharage hayajaiva na hayana viungo.

Yaani wali wanapimiwa kwenye kikombe haitamaniki, umeungulia, hawajali hata afya ya watoto. Natamani kila mtoto ajibebee chakula kutoka kwao.
Afadhali ninyi watoto wenu wanakula!!

Sie watoto wetu wanapiga dash asubuhi Hadi jioni.
 
Vyakula wanavyopikiwa wanafunzi na vikundi fulani vyenye mafungamano na walimu wa shule sio salama kabisa! Tunaambiwa watoto kila siku watoe 1000 ya chakula, kwa mfano shule moja chanika inawanafunzi 1800, wanafunzi 1500 wanakula shule na wengine wanaingia mchana.

Kwa mantiki hiyo kila siku inakusanywa mil 1.5, naambiwa walimu wanakata laki 5, mpishi anapewa mil 1, anaambiwa ajitahidi kila mwanafunzi apate chakula!

Kwa mantiki hiyo, huyu mpishi anapika chakula kisicho na ubora ili na yeye apate faida! Nimeitembelea shule hii mpaka nimeogopa, maharage hayajaiva na hayana viungo.

Yaani wali wanapimiwa kwenye kikombe haitamaniki, umeungulia, hawajali hata afya ya watoto. Natamani kila mtoto ajibebee chakula kutoka kwao.
Vijijini mzazi anaweza maliza mwaka hajashika laki moja,

Elfu moja Kwa siku Kwa mzazi mwenye watoto watani ni impossible kuwapa pesa.

Na hiki ndo chanzo Cha utoto, mimba utotoni.
 
Tena waalim acha wajipatie chochote kitu, maan walio juu kiuongoz wanapiga madili ya mabilioni!! Nasisitiza acha waalim wapate chochote!
Muone huyu naye anajiita great thinker.

Yaani wajipatie chochote huku wakihatarisha afya za watoto? Ama wewe huna mtoto hata wa kusingiziwa?
 
Muone huyu naye anajiita great thinker.

Yaani wajipatie chochote huku wakihatarisha afya za watoto? Ama wewe huna mtoto hata wa kusingiziwa?
Hao wanaoiba mabilioni ambayo yangesaidia watoto mashuleni kupata huduma bora za afya kwa kupata vyoo salama na mahospitalin kupata huduma bora na madawa je wanahatarisha nn? NB: Kuna fasihi simulizi kuzielewa mpaka utulize akili ili uelewe!!
 
Kweli aiseee, Tz Kwa Sasa kila mtu wacha ale kulingana na urefu wa kamba.......wale wasio na kama, wakubali yaishe.....
Na ndio maan yang ya comments, cz haiwezekan wa juu wanakula na kufanya ubadhirifu while hawakamatw wala kupelekwa Mahakaman!! Uzalendo ni lazima uanzie ngaz za juu ndipo wa chini wataufuata!!
 
Vyakula wanavyopikiwa wanafunzi na vikundi fulani vyenye mafungamano na walimu wa shule sio salama kabisa! Tunaambiwa watoto kila siku watoe 1000 ya chakula, kwa mfano shule moja chanika inawanafunzi 1800, wanafunzi 1500 wanakula shule na wengine wanaingia mchana.

Kwa mantiki hiyo kila siku inakusanywa mil 1.5, naambiwa walimu wanakata laki 5, mpishi anapewa mil 1, anaambiwa ajitahidi kila mwanafunzi apate chakula!

Kwa mantiki hiyo, huyu mpishi anapika chakula kisicho na ubora ili na yeye apate faida! Nimeitembelea shule hii mpaka nimeogopa, maharage hayajaiva na hayana viungo.

Yaani wali wanapimiwa kwenye kikombe haitamaniki, umeungulia, hawajali hata afya ya watoto. Natamani kila mtoto ajibebee chakula kutoka kwao.
Ngoja chawa waje wakuite mchochezi.
 
Vyakula wanavyopikiwa wanafunzi na vikundi fulani vyenye mafungamano na walimu wa shule sio salama kabisa! Tunaambiwa watoto kila siku watoe 1000 ya chakula, kwa mfano shule moja chanika inawanafunzi 1800, wanafunzi 1500 wanakula shule na wengine wanaingia mchana.

Kwa mantiki hiyo kila siku inakusanywa mil 1.5, naambiwa walimu wanakata laki 5, mpishi anapewa mil 1, anaambiwa ajitahidi kila mwanafunzi apate chakula!

Kwa mantiki hiyo, huyu mpishi anapika chakula kisicho na ubora ili na yeye apate faida! Nimeitembelea shule hii mpaka nimeogopa, maharage hayajaiva na hayana viungo.

Yaani wali wanapimiwa kwenye kikombe haitamaniki, umeungulia, hawajali hata afya ya watoto. Natamani kila mtoto ajibebee chakula kutoka kwao.
ulisoma shule gani mkuu both Alevel na Olevo
inaonekana hujakaa kabisa bweni wewe
 
bodi ya shule wanasemaje? waelezee hii kesi, hku hatujui ukweli wa unachosema!!
 
Back
Top Bottom