Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe unaweza kuhamasishwa kuwa choko?PAPA SI KATOA RUKSA??WE HUONI KAMA NI KUHAMASISHA UCHOKO HUKO??
Kumbe unakuaga na akili sometimes!Kama walikubali ûtamaduni usiowao kama Ukristo na Uislam, Mavazi, vyakula n.k. ñàona hata hili NI suala la Muda watakubali tuu.
Kumbe unakuaga na akili sometimes!
Moderator toa hii,1. Kwa pamoja tukatae ndoa za Jinsia moja. Huu si utamaduni wetu wa-Tanzania, ndugu zangu.
2. Pia, apps zinazohamasisha Ushoga zifungiwe. Hizi apps zimekua msiba Kwa vijana (Hasa wanachuo).
3. NGOs, vituo vya watoto yatima na Sober house zifuatiliwe Kwa karibu. Huko ndo agenda za Ushoga zinahubiriwa bila bughudha.
NB: Hali ni tete mtaani, ajira hamna vijana wameamua kuuza utu wao Kwa ujira kidogo.
SWALI HILO TUMUULIZE PAPA ALIETOA HIYO HOLY PERMITT...YA WATU WA JINSIA MOJA KUFUNGA NDOA.Wewe unaweza kuhamasishwa kuwa choko?
Hivi hawa machoko wao wanajiona wajanja au unyama?1. Kwa pamoja tukatae ndoa za Jinsia moja. Huu si utamaduni wetu wa-Tanzania, ndugu zangu.
2. Pia, apps zinazohamasisha Ushoga zifungiwe. Hizi apps zimekua msiba Kwa vijana (Hasa wanachuo).
3. NGOs, vituo vya watoto yatima na Sober house zifuatiliwe Kwa karibu. Huko ndo agenda za Ushoga zinahubiriwa bila bughudha.
NB: Hali ni tete mtaani, ajira hamna vijana wameamua kuuza utu wao Kwa ujira kidogo.
Apps apps ngo nn wewe1. Kwa pamoja tukatae ndoa za Jinsia moja. Huu si utamaduni wetu wa-Tanzania, ndugu zangu.
2. Pia, apps zinazohamasisha Ushoga zifungiwe. Hizi apps zimekua msiba Kwa vijana (Hasa wanachuo).
3. NGOs, vituo vya watoto yatima na Sober house zifuatiliwe Kwa karibu. Huko ndo agenda za Ushoga zinahubiriwa bila bughudha.
NB: Hali ni tete mtaani, ajira hamna vijana wameamua kuuza utu wao Kwa ujira kidogo.
Kabisaunapoteza muda kumshauri mtu asiwe choko na kinyero cha kwake, atajua mwenyewe. kwa kuwa binadamu alipewa free will, wacha wapelekeane moto. tubaki wachache pis nyingi 😃😃😃
Unafahamu chochote kuhusu 'Nyumba Ntobu'?1. Kwa pamoja tukatae ndoa za Jinsia moja. Huu si utamaduni wetu wa-Tanzania, ndugu zangu.
2. Pia, apps zinazohamasisha Ushoga zifungiwe. Hizi apps zimekua msiba Kwa vijana (Hasa wanachuo).
3. NGOs, vituo vya watoto yatima na Sober house zifuatiliwe Kwa karibu. Huko ndo agenda za Ushoga zinahubiriwa bila bughudha.
NB: Hali ni tete mtaani, ajira hamna vijana wameamua kuuza utu wao Kwa ujira kidogo.
1.Mara ya mwishi ndoa ya jinsia Moja ilitokea wapi hata Tanzania?1. Kwa pamoja tukatae ndoa za Jinsia moja. Huu si utamaduni wetu wa-Tanzania, ndugu zangu.
2. Pia, apps zinazohamasisha Ushoga zifungiwe. Hizi apps zimekua msiba Kwa vijana (Hasa wanachuo).
3. NGOs, vituo vya watoto yatima na Sober house zifuatiliwe Kwa karibu. Huko ndo agenda za Ushoga zinahubiriwa bila bughudha.
NB: Hali ni tete mtaani, ajira hamna vijana wameamua kuuza utu wao Kwa ujira kidogo.
Mtoa mada nahisi nae kaolewa majuzi. Kule geita miaka ya nyuma kuna demu alimvalisha Pete ya uchumba mwenzie sijajua kama walioana.1.Mara ya mwishi ndoa ya jinsia Moja ilitokea wapi hata Tanzania?
2.umeshuhudia ndoa ngapi za jinsia Moja,mtaa/kata/wilaya/mkoa/ndani ya Tanzania
3.wewe ni MP.UMBAVU?
Watanganyika poleni1.Mara ya mwishi ndoa ya jinsia Moja ilitokea wapi hata Tanzania?
2.umeshuhudia ndoa ngapi za jinsia Moja,mtaa/kata/wilaya/mkoa/ndani ya Tanzania
3.wewe ni MP.UMBAVU?