Tukatae ndoa za Jinsia moja - Si utamaduni wetu

Tukatae ndoa za Jinsia moja - Si utamaduni wetu

1. Kwa pamoja tukatae ndoa za Jinsia moja. Huu si utamaduni wetu wa-Tanzania, ndugu zangu.

2. Pia, apps zinazohamasisha Ushoga zifungiwe. Hizi apps zimekua msiba Kwa vijana (Hasa wanachuo).

3. NGOs, vituo vya watoto yatima na Sober house zifuatiliwe Kwa karibu. Huko ndo agenda za Ushoga zinahubiriwa bila bughudha.

NB: Hali ni tete mtaani, ajira hamna vijana wameamua kuuza utu wao Kwa ujira kidogo.
Moderator toa hii,

Unakuja kuhamasisha huu ujinga hapa?
 
1. Kwa pamoja tukatae ndoa za Jinsia moja. Huu si utamaduni wetu wa-Tanzania, ndugu zangu.

2. Pia, apps zinazohamasisha Ushoga zifungiwe. Hizi apps zimekua msiba Kwa vijana (Hasa wanachuo).

3. NGOs, vituo vya watoto yatima na Sober house zifuatiliwe Kwa karibu. Huko ndo agenda za Ushoga zinahubiriwa bila bughudha.

NB: Hali ni tete mtaani, ajira hamna vijana wameamua kuuza utu wao Kwa ujira kidogo.
Hivi hawa machoko wao wanajiona wajanja au unyama?
 
1. Kwa pamoja tukatae ndoa za Jinsia moja. Huu si utamaduni wetu wa-Tanzania, ndugu zangu.

2. Pia, apps zinazohamasisha Ushoga zifungiwe. Hizi apps zimekua msiba Kwa vijana (Hasa wanachuo).

3. NGOs, vituo vya watoto yatima na Sober house zifuatiliwe Kwa karibu. Huko ndo agenda za Ushoga zinahubiriwa bila bughudha.

NB: Hali ni tete mtaani, ajira hamna vijana wameamua kuuza utu wao Kwa ujira kidogo.
Apps apps ngo nn wewe
Media zenu na wasanii wenu
Wenyewe huko wamejaa top
Mitaani miaka nenda rudi mnaishi nao mitaani...leo pita sinza uone kulivyochafuka

Ova
 
unapoteza muda kumshauri mtu asiwe choko na kinyero cha kwake, atajua mwenyewe. kwa kuwa binadamu alipewa free will, wacha wapelekeane moto. tubaki wachache pis nyingi 😃😃😃
Kabisa

Ova
 
1. Kwa pamoja tukatae ndoa za Jinsia moja. Huu si utamaduni wetu wa-Tanzania, ndugu zangu.

2. Pia, apps zinazohamasisha Ushoga zifungiwe. Hizi apps zimekua msiba Kwa vijana (Hasa wanachuo).

3. NGOs, vituo vya watoto yatima na Sober house zifuatiliwe Kwa karibu. Huko ndo agenda za Ushoga zinahubiriwa bila bughudha.

NB: Hali ni tete mtaani, ajira hamna vijana wameamua kuuza utu wao Kwa ujira kidogo.
Unafahamu chochote kuhusu 'Nyumba Ntobu'?

Ova
 
1. Kwa pamoja tukatae ndoa za Jinsia moja. Huu si utamaduni wetu wa-Tanzania, ndugu zangu.

2. Pia, apps zinazohamasisha Ushoga zifungiwe. Hizi apps zimekua msiba Kwa vijana (Hasa wanachuo).

3. NGOs, vituo vya watoto yatima na Sober house zifuatiliwe Kwa karibu. Huko ndo agenda za Ushoga zinahubiriwa bila bughudha.

NB: Hali ni tete mtaani, ajira hamna vijana wameamua kuuza utu wao Kwa ujira kidogo.
1.Mara ya mwishi ndoa ya jinsia Moja ilitokea wapi hata Tanzania?
2.umeshuhudia ndoa ngapi za jinsia Moja,mtaa/kata/wilaya/mkoa/ndani ya Tanzania
3.wewe ni MP.UMBAVU?
 
Ushoga ulikuwepo na hautakwisha na upo Dunia nzima...Cha msingi mlinde mwanao....na pia mwanaume ambaye siyo shoga hawezi kushawishika kupitia app Wala Alama ya upinde
 
Back
Top Bottom