Tukatae, tukubali, watumishi wa Mungu hupitia mapito/ mitihani mikubwa sana. Tuwaombee bila kukoma

Tukatae, tukubali, watumishi wa Mungu hupitia mapito/ mitihani mikubwa sana. Tuwaombee bila kukoma

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
Unajua ukikaa na kuiangalia kazi ya Watumishi wa Mungu utaona ni rahisi sana. Utaona ni kula sadaka tu na kusema pokeeni baraka za Bwana. Kwa kweli watumishi wa kweli wa Mungu hupitia majaribu makubwa sana.

Majaribu hayo yalianza zamani, zama za Adam, Adam aligongewa mke wake na nyoka. Hebu fikiria, mke anatoka kwenye ubavu wako, kila siku mko wote, halafu anatoka nyoka huko porini, anamdanganya mkeo, anambikiri mkeo na kumpa mimba anakuachia makombo na mtoto haramu.

I Ikaenda kwa Abraham akaambiwa amchinje mtoto wa pekee aliyempata kwa mbinde akiwa mzee wa miaka 100.

Musa, Yakobo, Yesu, na waeneza injili wote hawajawahi kuwa na maisha marahisi hata kidogo.

Hata watumishi wa leo tunawaona jinsi walivyo na vita. Sio Masanja tu, tumeona Mwamposa kwenye ibada yake watu 20 walikufa, Tumeona Bushiri alivyopata misukosuko South Africa. Na wengine wengi.

Hawa watu wa Mungu wanahitaji sana maombi yetu. Vita vya madhabahu ni vita kubwa mno. Tuwaombee bila kukoma.
 
Aliyekwambia masanja ni mtumishi wa Mungu ni nani?yule ni comedian analeta mizaga na neno la Mungu
Baada ya Mc mpilipili kuona Masanja anapiga pesa na yeye anajiita Pastor Sasa hivi kaanzisha kanisa lake.

Katika hili naunga mkono msimamo wa Rais Kagame amewaokoa wananchi wake kugeuzwa misukule.

Huna Degree ya Theology kwa Kagame sahau kujiita Pastor.
 
Baada ya Mc mpilipili kuona Masanja anapiga pesa na yeye anajiita Pastor Sasa hivi kaanzisha kanisa lake.

Katika hili naunga mkono msimamo wa Rais Kagame amewaokoa wananchi wake kugeuzwa misukule.

Huna Degree ya Theology kwa Kagame sahau kujiita Pastor.
Huku misukule mingi sana,mi niliacha kusali mwaka wa saba huu
 
Unajua ukikaa na kuiangalia kazi ya Watumishi wa Mungu utaona ni rahisi sana. Utaona ni kula sadaka tu na kusema pokeeni baraka za Bwana. Kwa kweli watumishi wa kweli wa Mungu hupitia majaribu makubwa sana.

Majaribu hayo yalianza zamani, zama za Adam, Adam aligongewa mke wake na nyoka. Hebu fikiria, mke anatoka kwenye ubavu wako, kila siku mko wote, halafu anatoka nyoka huko porini, anamdanganya mkeo, anambikiri mkeo na kumpa mimba anakuachia makombo na mtoto haramu.

I Ikaenda kwa Abraham akaambiwa amchinje mtoto wa pekee aliyempata kwa mbinde akiwa mzee wa miaka 100.

Musa, Yakobo, Yesu, na waeneza injili wote hawajawahi kuwa na maisha marahisi hata kidogo.

Hata watumishi wa leo tunawaona jinsi walivyo na vita. Sio Masanja tu, tumeona Mwamposa kwenye ibada yake watu 20 walikufa, Tumeona Bushiri alivyopata misukosuko South Africa. Na wengine wengi.

Hawa watu wa Mungu wanahitaji sana maombi yetu. Vita vya madhabahu ni vita kubwa mno. Tuwaombee bila kukoma.
Mungu yupi!!?
 
Baada ya Mc mpilipili kuona Masanja anapiga pesa na yeye anajiita Pastor Sasa hivi kaanzisha kanisa lake.

Katika hili naunga mkono msimamo wa Rais Kagame amewaokoa wananchi wake kugeuzwa misukule.

Huna Degree ya Theology kwa Kagame sahau kujiita Pastor.
Ajipange
 
Majaribu hayo yalianza zamani, zama za Adam, Adam aligongewa mke wake na nyoka. Hebu fikiria, mke anatoka kwenye ubavu wako, kila siku mko wote, halafu anatoka nyoka huko porini, anamdanganya mkeo, anambikiri mkeo na kumpa mimba anakuachia makombo na mtoto haramu
Hivi haya matusi dhidi ya Mama Hawwaa ('Alayha as-Salaam) huwa anawafundisha nani???
 
Uongooooooo


Yak 1:13 Mtu akiwa chini ya jaribu, asiseme: “Mungu ananijaribu.” Kwa maana Mungu hawezi kujaribiwa na mambo maovu, wala yeye mwenyewe hamjaribu yeyote.
 
Uongooooooo


Yak 1:13 Mtu akiwa chini ya jaribu, asiseme: “Mungu ananijaribu.” Kwa maana Mungu hawezi kujaribiwa na mambo maovu, wala yeye mwenyewe hamjaribu yeyote.
Wapi nimesema majaribu yanatoka kwa Mungu?
Mtu hujaribiwa na tamaa zake mwenyewe
 
Aliyesomea 17 years, philosophy afikishwa mahakamani kulawiti vitoto

Mkuu nabii Samweli hakwenda shule,Elisha Eliya ndivyo hivyo hivyo.
Elimu ya MUNGU anahitaji zaidi mafunuo....Eli alimkuza Samwel, Eliya na elisha hivyo hivyo.
Kuna basics utapewa there after ni Mambo ya mafunuo.
Mim binafsi kuna kipindi nlikuwa Niko sana serious na maombi...nikilala nilikuwa naoteshwa Mambo yatakayotokea kesho.
Kuna siku nilimwambia mwenzangu BOSS Leo atazuga computer take haifanyi kazi atakataa mpya atachukua ya kwangu after two days atasema ya kwake imezinduka. Nilimwambia anataka kunipekua.
Hakuna Jambo la ajabu liliokuwa likinikuta bila kuniona kwenye ndoto.
Pia ukiwa mtu wa cycle yangu i.e mume, rafiki nlikuwa naoteshwa mambo yako na inakuwa hivyo hivyo
Kipawa hicho, unaweza piga pesa sana mjini
 
UKWELI NI KWAMBA MUNGU AMERUHUSU HAYA KUTOKEA KUPONYA ROHO ZA WENGI,WANAOPOTOSHWA NA HAWA WATU.
MWALIM MWAKASEGE KAHUBIRI INJILI NCHI NZIMA, KWA MIAKA TELE NA BADO HADHI YAKE NI MWALIMU.
MPUUZI MOJA, LEO ANAJITA ASKOFU,NABII,MTUME,MFALME, KUHANI. YOTE HII NI KUVUNA FEDHA TOKA KWA WAPUMBAVU KWA JINA LA BWANA.
 
Unajua ukikaa na kuiangalia kazi ya Watumishi wa Mungu utaona ni rahisi sana. Utaona ni kula sadaka tu na kusema pokeeni baraka za Bwana. Kwa kweli watumishi wa kweli wa Mungu hupitia majaribu makubwa sana.

Majaribu hayo yalianza zamani, zama za Adam, Adam aligongewa mke wake na nyoka. Hebu fikiria, mke anatoka kwenye ubavu wako, kila siku mko wote, halafu anatoka nyoka huko porini, anamdanganya mkeo, anambikiri mkeo na kumpa mimba anakuachia makombo na mtoto haramu.

I Ikaenda kwa Abraham akaambiwa amchinje mtoto wa pekee aliyempata kwa mbinde akiwa mzee wa miaka 100.

Musa, Yakobo, Yesu, na waeneza injili wote hawajawahi kuwa na maisha marahisi hata kidogo.

Hata watumishi wa leo tunawaona jinsi walivyo na vita. Sio Masanja tu, tumeona Mwamposa kwenye ibada yake watu 20 walikufa, Tumeona Bushiri alivyopata misukosuko South Africa. Na wengine wengi.

Hawa watu wa Mungu wanahitaji sana maombi yetu. Vita vya madhabahu ni vita kubwa mno. Tuwaombee bila kukoma.
Kila mwanadamu hukutwa au hupatwa na jaribu kulinngana na Mungu anavyoruhusu kwa Imani ya mhusika...

The spiritual path isn't equally to every individual!!
 
Back
Top Bottom