Tukiacha Unazi tuwe wakweli, je ni nani anayechezea Brand ya Simba hivi sasa bila makubaliano ya kimkataba yenye uwazi na yanayoeleweka?

Tukiacha Unazi tuwe wakweli, je ni nani anayechezea Brand ya Simba hivi sasa bila makubaliano ya kimkataba yenye uwazi na yanayoeleweka?

Wewe ni mmoja wa mashabiki wenzangu wa Simba. Pia una reputation yako nzuri tu hapa. Ni busara kujitofautisha na watu Wanaosema hovyo hovyo. Hakuna haja ya kuniita mbuzi.

Tunataka kuona timu yetu inaendeshwa vizuri kwa uwazi na kwa faida.

Kwa nini kwenye kuna mambo mengi ambayo lazima yapigiwe kelele sana ndo yanatekelezwa. Kwa mfano tu ile Bilion 20 yaani imetoka kwa mbinde sana?? Baada ya kusemwa sana. LAKINI SIKU MO ANATOA ILE PESA KUNA KAULI INAYOHUSU MATUMIZI ALIISEMA.

NI SUALA LA MUDA TU. TUTAJIONEA.
Heri yako wewe unajielewa na umeweka unafiki pembeni,huyo aliekutukana yupo kwenye payroll ya kumtetea Mwamedi kwenye mitandao hasa hapa Jamiiforums.
 

This is Funny

Kampuni yake iliyomiliki 49% ya HISA za Simba si hizi kampuni zinazotangazwa kila kukicha. Hizi zinahitaji mikataba maalum ya kibiashara ili zitangazwe hivi wakuu. Unaponunua hisa si lazima upewe matangazo ya kibiashara bali unakuwa shareholder tu.

Mo ni Mfadhili,Mmiliki(Mwanahisa by 49%), Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi na Mwanachama waSimba S.C lakini si mdhamini mkuu.Anachokifanya kupitia nafasi zake hizi ni kujitengenezea fursa za kimasoko bila mikataba maalum isiyokuwa na terms wala ukomo utakaoongeza dau la udhamini kila mwaka au mkataba utakapoisha.Hii ndio inaitwa MONOPOLY SYSTEM.

Kampuni za Mo ni different entities na zinahitaji makubaliano ya kimkataba kufanya dili yeyote na Simba Sc. Mkataba wa udhamini wa Kampuni za kibiashara za Mo ni wa gharama ndogo sana kulinganisha na Airtime ya matangazo wanayopewa na Simba kwa kampuni zake. Huu si unazi bali mnapaswa kukaa naye mezani na kumwambia ukweli kwa faida yenu hapo baadaye ili mnufaike kibiashara, si kweli kama yeye anapata hasara. Marketing power ya Klabu ni kubwa sana kuliko inavyoaminishwa.
Sasa mnataka aweke hela zake bure tu.. bila ya yeye kupata faida yoyote mkuu? Hisa 49% sio ndogo mkuu unless zingekuwa splitted kwenye kampuni tofauti ambazo nazo bado wangeomba kuonekana kwenye jesy n.k..

Umesahau mkasa wa Ronaldo.. alivyosukuma soda mezani?..[emoji1783][emoji1783][emoji1783]

Nipo Yanga lakini nakuambia mwanasimba ni vizuri kumheshimu mdhamini wenu huyo ndo kaifanya Simba Leo ifike hapo mkuu
 
Hapo shida yako ni tangazo la sabuni, kama ingekuwa ile Mo energy uliyoizoea usingelia.

Simba imekuwepo miaka mingi, lakini hata mishahara ya wachezaji ilikuwa tatizo, timu ilikuwa inategemea viingilio vya milangoni ambavyo havikutosha chochote zaidi ya wale makomandoo kuneemeka kwa kupitia jina la timu.

Leo amekuja Mo, anasajili wenye viwango, anawalipa mishahara mizuri kwa wakati hatusikii wakilalamika kama upande wa pili, wanafanya vizuri ndani na nje ya nchi, brand ya timu inazidi kukua, lakini cha ajabu kwenu anayechangia kuikuza hiyo brand hatakiwi kutangaza biashara zake.

Kila siku mmekalia majungu Mo anaiibia Simba SC, bila kutuonesha ushahidi usio na shaka anaiba vipi na wapi, Simba inaingiza kiasi gani na Mo anaiba ngapi.

Wazungu husema "he who alleges must prove" if you can't shut up; vinginevyo nyie mnaoutumwa na makomandoo au ndio makomandoo wenyewe kupiga kelele mnajisumbua tu, Simba SC ilishatoka huko.

Hamjiulizi pesa za usajili, posho, gharama za usafiri na malazi, mishahara ya wachezaji na benchi la ufundi hutoka wapi, mnalialia tu; toa hizo gharama zote halafu tuambie Mo anaiba ngapi tofauti na kile alichoweka Simba SC sio maneno matupu kila siku.

Kama mlikuwa na hii akili ya biashara kwanini hamkujitokeza kabla Mo hajaenda Simba SC? au mmepata akili baada ya Mo kwenda Simba? wacheni kelele, mlilia na bil 20 zikawekwa, mmebaki kuhamisha magoli wachovu nyie.
Anacho ongea mleta mada ni zaidi ya Kulipa posho, zaidi ya kulipa mishahara, ni zaidi ya kusajili wachezaji na ni zaidi ya kila kitu ulichokileta hapa coz haya unayo ongea wewe ni must do things kutokana na asilimia ya hisa alizonunua

Stan & Josh kroenke ni shareholders wakubwa wa Arsenal na wana makampuni kibao ila ushawai kuona wanaweka matangazo ya kampuni au bidhaa zao kwenye ya timu yao na vilevile kwa Glazers family na Manchester united, Ibrahimovic na chealsea, sheikh Mansour na man city

Siku timu ikikosa makombe nina uhakika mtarudi hapa kuanza kuhoji uwekezaji wake Coz now amejificha kwenye hayo mafanikio na hakuna marefu yasiyokuwa na ncha
 
Usidanganye watu. Thamani ya mkataba wa Sportpesa inajulikana na inajulikana mkataba ni wa muda gani.

Thamani ya mikataba ya MO haijulikani. Na wala haijulikani ni ya muda gani.
20B nizakwako..? Na zile kama 150M za moxtra nizakwako nenda pale msimbazi kawaaukize viongozi kwani kila mktaba unakua open kwa kila mtu..?
 

This is Funny

Kampuni yake iliyomiliki 49% ya HISA za Simba si hizi kampuni zinazotangazwa kila kukicha. Hizi zinahitaji mikataba maalum ya kibiashara ili zitangazwe hivi wakuu. Unaponunua hisa si lazima upewe matangazo ya kibiashara bali unakuwa shareholder tu.

Mo ni Mfadhili,Mmiliki(Mwanahisa by 49%), Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi na Mwanachama waSimba S.C lakini si mdhamini mkuu.Anachokifanya kupitia nafasi zake hizi ni kujitengenezea fursa za kimasoko bila mikataba maalum isiyokuwa na terms wala ukomo utakaoongeza dau la udhamini kila mwaka au mkataba utakapoisha.Hii ndio inaitwa MONOPOLY SYSTEM.

Kampuni za Mo ni different entities na zinahitaji makubaliano ya kimkataba kufanya dili yeyote na Simba Sc. Mkataba wa udhamini wa Kampuni za kibiashara za Mo ni wa gharama ndogo sana kulinganisha na Airtime ya matangazo wanayopewa na Simba kwa kampuni zake. Huu si unazi bali mnapaswa kukaa naye mezani na kumwambia ukweli kwa faida yenu hapo baadaye ili mnufaike kibiashara, si kweli kama yeye anapata hasara. Marketing power ya Klabu ni kubwa sana kuliko inavyoaminishwa.

Mkuu unahitaji kuweka na wewe tangazo hapo au unaongelea kwa msingi wa haki?
Kama ni msingi wa haki basi ukumbuke kuna wajibu pia......

Nafikiri mo ameona fursa anaitumia kwa wakati ......

Hata ungekuwa wewe ndio mo ungefanyaje?
 
Watu kama hawa ndio wakwanza kulaumu kwanini mpira wa tz haukui ikiwa wao ndio kikwazo kikubwa. Yaani Mo anaweka pesa ya maana na timu inapiga hatua na inaonekana cha ajabu mtu kutoka kwao kashiba maandazi yake anataka aseme Mo anaiba. Basi mkawekeze nyie katieni zaidi ya 20B Mo atawaachieni.

Ifike hatua watu wamuheshimu mtu anaedhubutu. Ipo azam ya barkhesa mbona ana hela lakin anashindwa kuipandisha kwa kununua wachezaji wazuri..? Watu tukubali tu Mo kaleta maendeleo ya mpira tz kulitia simba sc
Mkuu usipate shida na hawa maandazi, hawa ndio wezi wetu wa kuku mtaani,kula kulala kutwa wanashinda vijiweni hata akili ya kutafuta hawana.Simba sasa hivi imeneoga hata waseme nn sisi tupo na MO %
 
Mkuu usipate shida na hawa maandazi, hawa ndio wezi wetu wa kuku mtaani,kula kulala kutwa wanashinda vijiweni hata akili ya kutafuta hawana.Simba sasa hivi imeneoga hata waseme nn sisi tupo na MO %
[emoji1319][emoji1319][emoji1319] hakika
 
Hela ndefu ndo shilingi ngapi??

Hiyo mikataba inajulikana wapi au kuna wanaijua??

Kwa nini hiyo mikataba iwe kama siri, mbona thamani ya mikataba mingine ya kibiashara kwenye michezo na hata kwenye hizi timu zetu huwa inajulikana.
hebu tuambie thamani ya mkataba wa Yanga na GSM Kama inajulikana ,weka facts hapa siyo bla bla
 
Nani amwambie kwa mtazamo wako!?
A.Mashabiki wa Simba
B.Viongozi wa Simba akiwamo yeye mwenyewe

Na, Je una uhakika makampuni tajwa hapo hayana mkataba na Simba?

Maana mimi sijaona hata mkataba wa magodoro ya GSM wala mkataba wowote wa GSM zaidi ya kuambiwa ni wadhamini tu.

Na hata hivyo "UKIKUBALI KULA KUBALI KULIWA" .
Hata mimi siwezi kuweka pesa yangu mahali ambako hapanizalishii pesa either direct au in second hand never.Na tusimwonee wivu mtu aliyeiona fursa na kuitumia ,hapa duniani ilishaandikwa TAJIRI ATAMTAWALA MASIKINI (unadhani atamtawalaje kama si kutumia fursa ambazo maskini hawezi kuzitumia!?

Jiulize , hivi ukipewa na wewe utangaze bango lako unaweza kulipia bill zote za Simba Sports Club kwa pesa utakayoipata? Si rahisi sana kuendesha club ndugu zangu.
Umeshamaliza kila kitu mkuu ukitaka kula pia kubali kuliwa.
 
Unaenda mbali sana. Kuwa mustaaraabu.
kabla ya kunitaka ustaarabu mwambie huyo bwege awe mustaarabu. Kanuni yangu ni moja,mtu akisema kunya na mimi namjibu kunya. Naamini wote humu tuko timamu,kwa hiyo hapaswi kunikashfu halafu nikamuacha salama. Ananiuliza Mo ananifanya nini,halafu unataka nimjibu kistaarabu 😂😂😂😂. Enzi za kubembeleza zimepitwa na wakati
 
Wewe ni mmoja wa mashabiki wenzangu wa Simba. Pia una reputation yako nzuri tu hapa. Ni busara kujitofautisha na watu Wanaosema hovyo hovyo. Hakuna haja ya kuniita mbuzi.

Tunataka kuona timu yetu inaendeshwa vizuri kwa uwazi na kwa faida.

Kwa nini kwenye kuna mambo mengi ambayo lazima yapigiwe kelele sana ndo yanatekelezwa. Kwa mfano tu ile Bilion 20 yaani imetoka kwa mbinde sana?? Baada ya kusemwa sana. LAKINI SIKU MO ANATOA ILE PESA KUNA KAULI INAYOHUSU MATUMIZI ALIISEMA.

NI SUALA LA MUDA TU. TUTAJIONEA.
kwamba b20 zilitolewa baada ya kelele? sio baada ya mchakato wa tume ya ushindani kukamilika? Ni au huna taarifa nyingi au moja kati ya haters. Huko kujionea Simba na Mo wakianguka mmeanza kusubiri tangu 2018 mpaka leo,hola. Badala yake Simba hiyooooo top 10
 
Back
Top Bottom