Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
Huna lolote mburula mkubwa chuki zako kwa hayati JPM zimekujaa pomoni. Una mambo ya kiduwanzi pimbi mkubwa.Wewe ni mlemavu wa akili, na ulemavu huwa hauna tiba, tunaishi na walemavu jinsi waluvyo. Walaumu wazazi wako achana na mimi
Hakipo?Naomba unipe kifungu cha Katiba/ Sheria inayosema Bunge ndiyo mamlaka ya kuidhinisha mikopo. Short of that mnakuwa mnabisha tu kufurahisha wasomaji
Tumeshatoka hukoHata ukichanganya maduhuri kutoka vyanzo vingine utakuta kuna NAKISI tu. Kwani wanaposema Budget yetu ni donor dependent by 40% huwa mnaelewaje?
Ndugai aliomba msamaha kwa HOJA yake? Hebu play kidogo hayo maneno aliyatumia kuombea msamaha wa maneno yake ya kwanza. Simuungi mkono Ndugai lakini napenda sana kuona usahihi wa michango yetuMwendawazimu tu ndio atamuunga mkono Ndugai, kwanza anasema hiyo hoja ni ya kutunga. Pili ameomba msamaha kwa hoja hiyo. Kama yeye binafsi anakataa hoja yake, kwanini sisi tujipe jukumu la kuitetea hoja yake? Akitaka hoja yake ibaki na nguvu ashikilie msimamo wako.
Hakuna hoja yenye akili aliyoiweka mezani ni upumbavu tu ndio uliomsukuma kufanya hayo! Yaaninmnataka mtu aichokonoe serikali kwa kauli za kipuuzi halafu Rais akae kimya? Halafu kusema eti ametimiza wajibu wake kama kiongozi wa bunge hilo silikubaliani nalo, kwa nini hakulisemea bungeni hilo?Kuomba msamaha kwake hakuondoi hoja aliyoiweka mezani
Mi natamani hiyo event ya...wanyausi, ifanyike tena. Na safari nyingine wamukaribishe katibu mkuu wa chama au serikali ama PM, ili Watanzania tujuzwe yaliyofichika. Yaani wajikute tu Wanaropoka ukweli wa mambo bila kujijua. Kuhusu kujiuzulu kwa spika,huo utakuwa udhaifu uliopitiliza.Tukiacha ushabiki wa kivyama na kujipendekeza (unafiki), Licha ya kila mtu kujitokeza kujaribu kujibu hoja ya Spika Ndugai ama kuizungumzia hoja hiyo, na hata Serikali (Rais) ameitisha mkutano wa kidola nikidhani anajibu hoja, badala yake wamejikuta wanamjadili Ndugai ama kumdhihaki ama kumdhalilisha tu, hoja ya Spika Job Ndugai haijajibiwa hata chembe, na ina nguvu kubwa. Hoja ya Ndugai si kwamba ina nguvu za kitaasisi tu, bali ni hoja inayohatarisha madaraka ya Rais, kwasababu kuu mbili,
Mosi: Liko kundi kubwa la Watanzania waliopewa jina la masikini na utawala wa John Magufuli, wakaaminishwa kuwa Rais Magufuli alikataa kukopa popote duniani tangu aingie madarakani hadi anafariki, na kwamba aliwagomea wazungu kwakuwa ni mabeberu waliotaka kupora raslimali zetu. Hawa waliaminishwa ujinga kuwa miradi yote nchini inajengwa kwa pesa yetu wenyewe.
Hili kundi utaliambia nini leo ukianza kukopa kwa uwazi na kutangaza hivi kila mkopo, bila kwanza kulipa elimu kuwa Magufuli katika utawala wake alikopa kimyakimya mikopo mikubwa ya kibiashara iliyovunja rekodi ya mikopo nchini? Kosa kubwa ambalo Rais Samia alifahya ni pale alipoingia madarakani akataka kuwawin makundi yote masikini na wenye akili, akasema yeye na Magufuli ni kitu kimoja. Ni wazi hili kundi la masikini litamuunga mkono mtu yoyote atakayekosoa mikopo yenu.
Pili: Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977 ibara ya 63(2) nanukuu; Ibara ya 63 (2) "Sehemu ya pili ya Bunge itakuwa ndicho chombo kikuu cha Jamhuri ya Muungano ambacho kitakuwa na madaraka, kwaniaba ya wananchi, kuisimamia na KUISHAURI Serikali ya Jamhuri ya Muungano na vyombo vyake vyote katika utekelezaji wamajukumu yake kwa mujibu wa Katiba hii."
Kwa ibara hii ya 63 (2), Spika Ndugai ametimiza wajibu wa kikatiba wa Bunge katika kuishauri serikali, Kwamaoni yangu Spika hajakosea chochote katika kauli yake kuhusu serikali kuacha kukopa. Ametimiza matakwa ya kikatiba kama mkuu wa muhimili,
Ukiacha wajibu wa kibunge kama Spika, Job Ndugai kama rais wa Tanzania ametumia ibara ya 18 (1) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoa maoni yake. Ni sheria ipi Tanzania inayomzuia mtu kutoa maoni yake, ama kukosoa serikali?
Na Yericko Nyerere
View attachment 2069920
View attachment 2069921
Mimi pimbi niko hai naishi. JPM huyo chakula cha minyoo na sisimizi. Nyankurungu2020 yeye ni msukule bado anamuabudu Dikteta tuliyemzika Chato.Huna lolote mburula mkubwa chuki zako kwa hayati JPM zimekujaa pomoni. Una mambo ya kiduwanzi pimbi mkubwa.
Nikiwa nimekaa hapa nikiota moto, imenijia akilini kuwa maadui wetu wa maendeleo TZ ni watatu tu.Tukiacha ushabiki wa kivyama na kujipendekeza (unafiki), Licha ya kila mtu kujitokeza kujaribu kujibu hoja ya Spika Ndugai ama kuizungumzia hoja hiyo, na hata Serikali (Rais) ameitisha mkutano wa kidola nikidhani anajibu hoja, badala yake wamejikuta wanamjadili Ndugai ama kumdhihaki ama kumdhalilisha tu, hoja ya Spika Job Ndugai haijajibiwa hata chembe, na ina nguvu kubwa. Hoja ya Ndugai si kwamba ina nguvu za kitaasisi tu, bali ni hoja inayohatarisha madaraka ya Rais, kwasababu kuu mbili,
Mosi: Liko kundi kubwa la Watanzania waliopewa jina la masikini na utawala wa John Magufuli, wakaaminishwa kuwa Rais Magufuli alikataa kukopa popote duniani tangu aingie madarakani hadi anafariki, na kwamba aliwagomea wazungu kwakuwa ni mabeberu waliotaka kupora raslimali zetu. Hawa waliaminishwa ujinga kuwa miradi yote nchini inajengwa kwa pesa yetu wenyewe.
Hili kundi utaliambia nini leo ukianza kukopa kwa uwazi na kutangaza hivi kila mkopo, bila kwanza kulipa elimu kuwa Magufuli katika utawala wake alikopa kimyakimya mikopo mikubwa ya kibiashara iliyovunja rekodi ya mikopo nchini? Kosa kubwa ambalo Rais Samia alifahya ni pale alipoingia madarakani akataka kuwawin makundi yote masikini na wenye akili, akasema yeye na Magufuli ni kitu kimoja. Ni wazi hili kundi la masikini litamuunga mkono mtu yoyote atakayekosoa mikopo yenu.
Pili: Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977 ibara ya 63(2) nanukuu; Ibara ya 63 (2) "Sehemu ya pili ya Bunge itakuwa ndicho chombo kikuu cha Jamhuri ya Muungano ambacho kitakuwa na madaraka, kwaniaba ya wananchi, kuisimamia na KUISHAURI Serikali ya Jamhuri ya Muungano na vyombo vyake vyote katika utekelezaji wamajukumu yake kwa mujibu wa Katiba hii."
Kwa ibara hii ya 63 (2), Spika Ndugai ametimiza wajibu wa kikatiba wa Bunge katika kuishauri serikali, Kwamaoni yangu Spika hajakosea chochote katika kauli yake kuhusu serikali kuacha kukopa. Ametimiza matakwa ya kikatiba kama mkuu wa muhimili,
Ukiacha wajibu wa kibunge kama Spika, Job Ndugai kama rais wa Tanzania ametumia ibara ya 18 (1) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoa maoni yake. Ni sheria ipi Tanzania inayomzuia mtu kutoa maoni yake, ama kukosoa serikali?
Na Yericko Nyerere
View attachment 2069920
View attachment 2069921
Kaa kimya kula ugali ulale, huijui Serikali weweTumeshatoka huko
Mkuu pamoja na hayo yote uliyoyasema hapo juu, bado Ndugai analindwa na Katiba ya Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania katika ishu ya kutoa maoni yake.Ndugai hana hoja.Ndugai hana hoja. Siyo kweli unachosema. Bunge ndiyo hupitisha bajeti ya recurrent and development. Wanaposema makusanyo yatakuwa Tsh 24 T rillion huku Bajeti ya mwaka ni Tsh 32 Trillion unadhani hiyo nakisi inatoka wapi? Nakisi hujazwa kwa grants, donations and loans. Ndugai hajitambui, he is lunatic and unfit to the position
Wewe unalalaga mchana?Kaa kimya kula ugali ulale, huijui Serikali wewe
Mtu mnaa ananzaje kuaminika, atuambie Kwa uwazi ameona Kuna maslahi Gani Leo, mbona muda wote huo alishiriki uongo kuwa miradi yote inatekelezwa Kwa pesa za ndani, alikuwa wapi kutekeleza wajibu wake muda wote huo?Kuomba msamaha kwake hakuondoi hoja aliyoiweka mezani
Za tozo tunatunishia mfuko was ndani🤔.Na za tozo zimeenda wapi?
Magufuli alipokopa Tsh 29 Trillion kwa miaka 5 aliona sawa tu??? Samia kakopa Tsh 1.3 Trillion ndiyo Ndugai anatumia haki yake kikatiba!!Mkuu pamoja na hayo yote uliyoyasema hapo juu, bado Ndugai analindwa na Katiba ya Jamhuri ya Muungano Wa Tanzania katika ishu ya kutoa maoni yake.
Ni haki yake ya kikatiba ya kutoa maoni yake juu ya jambo fulani ilmradi tu katika kutoa maoni yake havunji sheria yoyote ya Nchi yetu. Tatizo lililopo kwa wana CCM ni chuki tu na unafiki.
Wewe kiazi una akili? Magufuli miaka mitano ametekeleza miradi mingapi mikubwa? Miradi mikakati ambayo itakuwa na impact kubwa kwa taifa letu?Magufuli alipokopa Tsh 29 Trillion kwa miaka 5 aliona sawa tu??? Samia kakopa Tsh 1.3 Trillion ndiyo Ndugai anatumia haki yake kikatiba!!
Halafu mbona mwenyewe kaomba msamaha? Sasa aliposema nimekosa Mimi, nimekosa mimi alimaamisha nini?
Kwa hiyo ndio maana mnataka kumkwamisha mnaefikiri haja Fanya miradi sio, basi ameamua kuwa letea wa madarasa wa1.3t Sasa mmeona nongwa,. Ila vilaza ni vilaza TU. Mradi alioukamilisha ni upi, na fedha za kuendeleza hiyo miradi, bila ya kuwapora raia, wawekezaji, wafanyabiashara,bila ya kufilisi wakosoaji zinatoka wapi? Ifike Mahalia watanzania tuache unaa na tuheshimiane.Wewe kiazi una akili? Magufuli miaka mitano ametekeleza miradi mingapi mikubwa? Miradi mikakati ambayo itakuwa na impact kubwa kwa taifa letu?
Yaani Yericko nilijua una maarifa lakini kwa hapa nachelea kusema umeyumba, kusema mkopo ilikuwa ya kimya kimya wakati ilikuwa hadharani, hakuna mkopo ambao ulikopwa kimya kimya, yote ambayo ilikopwa iliwekwa wazi na mikataba ilisainiwa.Tukiacha ushabiki wa kivyama na kujipendekeza (unafiki), Licha ya kila mtu kujitokeza kujaribu kujibu hoja ya Spika Ndugai ama kuizungumzia hoja hiyo, na hata Serikali (Rais) ameitisha mkutano wa kidola nikidhani anajibu hoja, badala yake wamejikuta wanamjadili Ndugai ama kumdhihaki ama kumdhalilisha tu, hoja ya Spika Job Ndugai haijajibiwa hata chembe, na ina nguvu kubwa. Hoja ya Ndugai si kwamba ina nguvu za kitaasisi tu, bali ni hoja inayohatarisha madaraka ya Rais, kwasababu kuu mbili,
Mosi: Liko kundi kubwa la Watanzania waliopewa jina la masikini na utawala wa John Magufuli, wakaaminishwa kuwa Rais Magufuli alikataa kukopa popote duniani tangu aingie madarakani hadi anafariki, na kwamba aliwagomea wazungu kwakuwa ni mabeberu waliotaka kupora raslimali zetu. Hawa waliaminishwa ujinga kuwa miradi yote nchini inajengwa kwa pesa yetu wenyewe.
Hili kundi utaliambia nini leo ukianza kukopa kwa uwazi na kutangaza hivi kila mkopo, bila kwanza kulipa elimu kuwa Magufuli katika utawala wake alikopa kimyakimya mikopo mikubwa ya kibiashara iliyovunja rekodi ya mikopo nchini? Kosa kubwa ambalo Rais Samia alifahya ni pale alipoingia madarakani akataka kuwawin makundi yote masikini na wenye akili, akasema yeye na Magufuli ni kitu kimoja. Ni wazi hili kundi la masikini litamuunga mkono mtu yoyote atakayekosoa mikopo yenu.
Pili: Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya 1977 ibara ya 63(2) nanukuu; Ibara ya 63 (2) "Sehemu ya pili ya Bunge itakuwa ndicho chombo kikuu cha Jamhuri ya Muungano ambacho kitakuwa na madaraka, kwaniaba ya wananchi, kuisimamia na KUISHAURI Serikali ya Jamhuri ya Muungano na vyombo vyake vyote katika utekelezaji wamajukumu yake kwa mujibu wa Katiba hii."
Kwa ibara hii ya 63 (2), Spika Ndugai ametimiza wajibu wa kikatiba wa Bunge katika kuishauri serikali, Kwamaoni yangu Spika hajakosea chochote katika kauli yake kuhusu serikali kuacha kukopa. Ametimiza matakwa ya kikatiba kama mkuu wa muhimili,
Ukiacha wajibu wa kibunge kama Spika, Job Ndugai kama rais wa Tanzania ametumia ibara ya 18 (1) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutoa maoni yake. Ni sheria ipi Tanzania inayomzuia mtu kutoa maoni yake, ama kukosoa serikali?
Na Yericko Nyerere
View attachment 2069920
View attachment 2069921
Unapindisha, mwenzio kanyoosha.Yaani Yericko nilijua una maarifa lakini kwa hapa nachelea kusema umeyumba, kusema mkopo ilikuwa ya kimya kimya wakati ilikuwa hadharani, hakuna mkopo ambao ulikopwa kimya kimya, yote ambayo ilikopwa iliwekwa wazi na mikataba ilisainiwa.