sengobad
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 9,008
- 8,788
Akili yao wanaijua wenyewe, akili kisoda.Tutumie 200+b kujenga baharini,sehemu ambayo Pana vivuko na daraja,badala ya kujenga miundo mbinu ya imwagiliaji au lami au hospitali kubwa!..mnadhani Tanzania ni dar tu!?