Tukidhani ni Binadamu wenzetu, kumbe ni mashetani! Mtu unaombeaje mwenzako afe kwa Corona? Can't believe this wickedness! Huu sio utu, ni ushetani!

Umesahau Wabunge waliosema kuwa Zitto auwawe? Nambie ni CCm gani alitoka akapinga? Video zipo na ushahidi upon, mbona hukukemea??
Paskali, the graphologist- umechokoza, hebu angalia hawa nyuki walivyo wakali na wengi kila upande! But ninakubaliana na wewe kwenye hoja ya msingi- SIO UTU KUMTAKIA MWENZIO TAABU NA HATA KIFO!

Lakini tunachoona ni wenye mamlaka kuwasuta wasio na uwezo wa kuwakabili- na inabaki DUA LA KUKU HALIMZUII MWEWE, basi ku-steam out ni kauli za reja reja na ambazo sasa zinaudhi. Graphologist hukuona pande zote, uliangalia upande mmoja sasa ona mashambulizi !Uweeeee
 
Discipline ambazo Unahisi wewe mwenyewe ndo unazifahamu. Wengine wote kuanzia mahakama, Jeshi n.k hawazijui ila wewe peke yako mtumiaji wa JF ndo unazijua?

Sasa kama hazifuati hizo discipline si mkashtaki? Hizo discipline zinapatkana ibara ya ngapi?
Endeleeni kujifukiza... mkifa tutafanya sherehe.
 
Mkuu Pasco hivi uliwashangaa Pia na kuwaandikia bandiko wale wabunge waliosema zitto inatakiwa auawe na marehemu lwakatare akapiga makofi. Au mshangao wako huwa ni one direction


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Yaani mtu wa upinzani akipata tutamuhurumia na tutamuombea kwa mungu. Ila nyie nzi wa kijani mkipata basi r.i.p.
 
Mbona unawaogopa kuwataja Chadema kuwa Ndio wapo mstari wa mbele kuombea Tanzania mabaya?


Itakuwa ni maajabu Rais Magufuli akiwasiliza Chadema, nakuomba Rais Magufuli kaa mbali na Chadema
Huwa naomba sana upate corona. Wala siwezi kuwa mnafiki katika hili.
 
Amen rah
 
Watu kama wewe huwa naomba kila siku mpate corona. Maana akili ndo zitakuja.

Hivi wakati meko anazuia watu kwenda kumuona lissu ile haikuwa roho mbaya?

Wakati watu wanazuiwa kumuombea lissu haikuwa roho mbaya?

Hivi kwanini watu kama hao nisiwaombee wapatwe na corona na walerish hukoooo...
 
Hao ndio wabaya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…