Motsepe ni tajiri ,msomi na mkristo jamaa yupo buza eti anamfundisha motsepe kuhusu mpira kisa tu kaona udhamini wa muarabu watanzani tuna tatizo la akili, kila kitu mtu anaingiza dini, kumchukia muarabu ni kupoteza muda wako tu wenzako wapo mbali sana , kama wameweza kununua hadi hizo timu kubwa za ulaya na zinatangaza utamaduni wao wewe utazuia nini kama sio kutafuta kufa mapema kwa chukiAcha udini,
Shangilia Pira GAMONDI upate Raha!
Kumbuka hatuwezi kutenganisha maisha na matukio ya duniani na mpira ndio maana Bobby kafa UK wako uwanjani wanacheza na kuomboleza! Hujui maana kitambaa cheusi wachezaji huvaa kukiwa na msiba?!
Wabongo tuna udini grade one!