Tukifika mbinguni, wanaume safi tutapewa mabikra 72 tuishi nao. Vipi kwa upande wa wanawake?

Tukifika mbinguni, wanaume safi tutapewa mabikra 72 tuishi nao. Vipi kwa upande wa wanawake?

Msaidie kondoo mwenzako kujibu swali:

Nani alikudanganya "akhera" kuna zawadi?

Unafahamu maana ya "akhera" au unakurupuka tu?
Kwahiyo Sheikh Kipozeo aliwadanganya waamini aliokuwa anawapa darasa kuhusu MIZIGO?
 
vijina wa hovyo mmeungana kudhihaki imani za watu... sio sawa kabisa
 
Unapewa mabikira 72 na unapewa nguvu ya kukaza 100 kwa siku. I can't wait I can't wait.
+ BEER na pombe za kila aina Oi nitafutie sheikh leo leo nasilimu.
Alafu nisame zangu msumbiji nikapiganie dini ya haki.
 
Back
Top Bottom