King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Kwahiyo Sheikh Kipozeo aliwadanganya waamini aliokuwa anawapa darasa kuhusu MIZIGO?Msaidie kondoo mwenzako kujibu swali:
Nani alikudanganya "akhera" kuna zawadi?
Unafahamu maana ya "akhera" au unakurupuka tu?
Peleka posa kwetu.Faiza nataka nikuoe
Kwahiyo Sheikh Kipozea aliwadanganya waamini aliokuwa anawapa darasa kuhusu MIZIGO?
Nawe Bado ni bikra kama wale wa peponi???Peleka posa kwetu.
"Bikra" au bikira?Nawe Bado ni bikra kama wale wa peponi???
Bikila"Bikra" au bikira?
Una uhakika aliwapa "darasa"?
Wana hoja, wajibiwe.vijina wa hovyo mmeungana kudhihaki imani za watu... sio sawa kabisa
wangeuliza wanawake wenyewe ingefaa zaidiWana hoja, wajibiwe.
Hili ni kwa yoyote alie na jibu ili records zikae sawa kama ilivyo kwa wanaume.wangeuliza wanawake wenyewe ingefaa zaidi
wewe ukipata hilo jibu litakusaidia nnHili ni kwa yoyote alie na jibu ili records zikae sawa kama ilivyo kwa wanaume.
+ BEER na pombe za kila aina Oi nitafutie sheikh leo leo nasilimu.Unapewa mabikira 72 na unapewa nguvu ya kukaza 100 kwa siku. I can't wait I can't wait.
Mwambie akhera ni kuzimu na kuna mateso ya Kila aina na kila muislam ataenda huko akhera!Nani alikudanganya "akhera" kuna zawadi?
Unafahamu maana ya "akhera" au unakurupuka tu?
Labda atakuwa amemaanisha birika!"Bikra" au bikira?
daah ila watoto FaizaFoxyFaiza nataka nikuoe
We bwabwa unaona kuna dhihaka hapo?vijina wa hovyo mmeungana kudhihaki imani za watu... sio sawa kabisa
unataka kujua wanachopewa wanawake ili iweje?We bwabwa unaona kuna dhihaka hapo?