Tukifika mbinguni, wanaume safi tutapewa mabikra 72 tuishi nao. Vipi kwa upande wa wanawake?

Nauliza...?? Maandiko ya Quran ndo yamenena hivo, yan akhera ni kugegeduana tu ?? Au Hayo nimawazo yako??
 
Mi nawaza tuu itakua Wanapewa vijana wadogo wadogo wapenda mishangazi...

Assume mshangazi unapewa vijana kama Poor Brain zaidi ya 84....

Ni raha iliyoje hiyo..
 
Mi nikifika Peponi ni lazima nimzagumue FaizaFoxy ,we endelea kuringa tu hapa JF lakini Peponi lazima nikudake na mizagamuo iendelee!
 
QUR'AN 2:25. Na wabashirie walio amini na wakatenda mema kwamba watapata mabustani yapitayo mito kati yake; kila watapo pewa matunda humo, watasema: Haya ndiyo kama tuliyo pewa mbele. Na wataletewa matunda yaliyo fanana; na humo watakuwa na )(azwajan) walio takasika; na wao humo watadumu. 25
 
Mi nikifika Peponi ni lazima nimzagumue FaizaFoxy ,we endelea kuringa tu hapa JF lakini Peponi lazima nikudake na mizagamuo iendelee!


Qur'an 4:116. Hakika Mwenyezi Mungu hasamehi kushirikishwa na kitu. Lakini Yeye husamehe yasiyo kuwa hayo kwa amtakaye. Na anaye mshirikisha Mwenyezi Mungu basi huyo amepotea upotovu wa mbali. 116

117. Wao hawawaombi badala yake Yeye ila wanawake, wala hawamuombi ila Shet'ani aliye asi. 117
 
Katika Qur’an, Mahuralyn wanaitwa “marafiki” wanaochunga macho yao”, wenye macho yenye haya, makubwa, ya kurembuka, na ya mahaba, macho ya mfano wa lulu, mazuri, ya kuvutia.

Allah ameahidi kwenda kuwaoze Waislam hoa wanawake 72 Mahurulaini, kwa hivyo jiwe hili ni kwa ajili ya ahadi hizo, hii ni ahadi iliyokuja miAka 615 baada ya Kristo, ambayo Muhammad ametoa ahadi kwa waislamu kuwa, siku ya mwisho, watakwenda kuozwa wanawake wenye kupendeza wenye macho makubwa kama mayai ya mbuni na maziwa yao kama mabakuli. Maziwa yaliyojaa,manene.
ﺇِﻟَّﺎ ﻋِﺒَﺎﺩَ ﺍﻟﻠَّﻪِ ﺍﻟْﻤُﺨْﻠَﺼِﻴﻦَ
Quran 37:40. Isipokuwa waja wa Mwenyeezi
Mungu waliosafishwa.
ﺃُﻭْﻟَﺌِﻚَ ﻟَﻬُﻢْ ﺭِﺯْﻕٌ ﻣَّﻌْﻠُﻮﻡٌ
41. Hao ndio watapata riziki maalumu.
ﻓَﻮَﺍﻛِﻪُ ﻭَﻫُﻢ ﻣُّﻜْﺮَﻣُﻮﻥَ
42. Matunda na wao wataheshimiwa.
ﻓِﻲ ﺟَﻨَّﺎﺕِ ﺍﻟﻨَّﻌِﻴﻢِ
43. Katika Bustani zenye neema.
ﻋَﻠَﻰ ﺳُﺮُﺭٍ ﻣُّﺘَﻘَﺎﺑِﻠِﻴﻦَ
44. Juu ya vitanda vya fahari wakikabiliana.
ﻳُﻄَﺎﻑُ ﻋَﻠَﻴْﻬِﻢ ﺑِﻜَﺄْﺱٍ ﻣِﻦ ﻣَّﻌِﻴﻦٍ
45. Wakizungushiwa kikombe chenye (kinywaji)
safi.
ﺑَﻴْﻀَﺎﺀ ﻟَﺬَّﺓٍ ﻟِّﻠﺸَّﺎﺭِﺑِﻴﻦَ
46. Cheupe chenye ladha kwa wanywao.
ﻟَﺎ ﻓِﻴﻬَﺎ ﻏَﻮْﻝٌ ﻭَﻟَﺎ ﻫُﻢْ ﻋَﻨْﻬَﺎ ﻳُﻨﺰَﻓُﻮﻥَ
47. Hakina. madhara, wala hakiwaleweshi.
ﻭَﻋِﻨْﺪَﻫُﻢْ ﻗَﺎﺻِﺮَﺍﺕُ ﺍﻟﻄَّﺮْﻑِ ﻋِﻴﻦٌ
48. Na pamoja nao watakuwa wanawake wenye
macho mazuri matulivu.
ﻛَﺄَﻧَّﻬُﻦَّ ﺑَﻴْﺾٌ ﻣَّﻜْﻨُﻮﻥٌ
49. Hao wanawake kama mayai (ya Mbuni) yaliyohifadhiwa.
 
Bora Islam imetoa ahadi nzurinzuri kwa waja wema, haya njoo huku kwa upande wa pili, yaani wameahidiwa kuimba mapambio tu milele.
Yaani duniani tabu na mbinguni tabu unaimba mpaka unakaukiwa sauti. Na ni milele.
 
Unamaanisha hawa kina amber sijui Ruti wakifa ndo mabikira?
 
MASIKIA HARUFU YA MUDI BOY NA HADITHI ZAKE ZA GESTI YA MBINGUNI KWENYE HUU UZI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…