Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi unatumia kiungo gani kufikiri na kutenda wewe zooba?Katika uislamu mkopo si jambo la heri.
Leo hii namuangalia Mhe. Rais Samia akitua Entebbe na Ndege yetu iliyonunuliwa kwa Cash hivi ingekuwaje Kama angesafiri na ndege ya mkopo ambayo inaweza kuzuiliwa Airport na wadai??
Tutafakari
Mleta uzi ni zaidi ya zooba au zombieNaona ujinga tumeupa kipaumbele
Duuh kweli wewe Uda.Katika uislamu mkopo si jambo la heri.
Leo hii namuangalia Mhe. Rais Samia akitua Entebbe na Ndege yetu iliyonunuliwa kwa Cash hivi ingekuwaje Kama angesafiri na ndege ya mkopo ambayo inaweza kuzuiliwa Airport na wadai??
Tutafakari
Mleta uzi naona ameumia sana kwa report ya CAG kwani imeyaanika madhaifu ya serikali ya jiweUpo dunina ya wapi nani kakwambia serikali ya tanzania ishakosa ndege ya rais tangu tupate uhuru
Nikupe tarifa tulishambiwa tule nyasi ili ndege ya rais inunuliwe na ikanunuliwa ndege ya rais
Ila.maisha yanaenda kasi sijui yupo wapi mzee mramba eti tule nyasi rais apate ndege
Rudi shule uondoe matongotongowalikuwa wanatumia ndege za mkopo?
Aaahh kumbe hoja yako ni ndege ya kukopa au ya kununua???walikuwa wanatumia ndege za mkopo?
ndege za zegewalikuwa wanatumia ndege za mkopo?
Sasa hizo ndege zipelekeni usa au canada au nje ya bara la Afrika kama zitarudiwalikuwa wanatumia ndege za mkopo?
Hajitambui huyu sukuma gangHujui tofauti ya ndege ya Rais na za Atcl? Akitumia hizo za Atcl ni kwa mapenzi yake mwenyewe.
Katika uislamu mkopo si jambo la heri.
Leo hii namuangalia Mhe. Rais Samia akitua Entebbe na Ndege yetu iliyonunuliwa kwa Cash hivi ingekuwaje Kama angesafiri na ndege ya mkopo ambayo inaweza kuzuiliwa Airport na wadai??
Tutafakari
Muislam sio wewe peke yako.Katika uislamu mkopo si jambo la heri.
Leo hii namuangalia Mhe. Rais Samia akitua Entebbe na Ndege yetu iliyonunuliwa kwa Cash hivi ingekuwaje Kama angesafiri na ndege ya mkopo ambayo inaweza kuzuiliwa Airport na wadai??
Tutafakari
Abortion survivorwalikuwa wanatumia ndege za mkopo?