Tukifuata dhana ya profesa leo hii Rais Samia angeenda Uganda na ndege ya mkopo

Tukifuata dhana ya profesa leo hii Rais Samia angeenda Uganda na ndege ya mkopo

walikuwa wanatumia ndege za mkopo?
Usiwe mbishi wakati kichwani ni empty box. Ndege maalum za Marais wetu zilishakuwepo tangu enzi za Nyerere. Na ndege ya mwisho kabisa kununuliwa ilikuwa enzi za Mkapa!

Ndicho kipindi tulichotakiwa na Waziri wa Fedha wa wakati huo ukiwa chekechea Basil Pesambili Mramba, ikibidi tule majani! Ili tu ndege ya Rais inunuliwe! Magufuli amewavuruga sana nyinyi MATAGA.
 
Katika uislamu mkopo si jambo la heri.
Leo hii namuangalia Mhe. Rais Samia akitua Entebbe na Ndege yetu iliyonunuliwa kwa Cash hivi ingekuwaje Kama angesafiri na ndege ya mkopo ambayo inaweza kuzuiliwa Airport na wadai??
Tutafakari
Usiwe mpumbavu Rais ana ndege rasmi kwa ajili ya ziara zake labda kama CCM mmezifisadi!
 
Katika uislamu mkopo si jambo la heri.
Leo hii namuangalia Mhe. Rais Samia akitua Entebbe na Ndege yetu iliyonunuliwa kwa Cash hivi ingekuwaje Kama angesafiri na ndege ya mkopo ambayo inaweza kuzuiliwa Airport na wadai??
Tutafakari
Ndio nini
 
Katika uislamu mkopo si jambo la heri.
Leo hii namuangalia Mhe. Rais Samia akitua Entebbe na Ndege yetu iliyonunuliwa kwa Cash hivi ingekuwaje Kama angesafiri na ndege ya mkopo ambayo inaweza kuzuiliwa Airport na wadai??
Tutafakari
Ndugu mbona unaandika utumbo
 
Katika uislamu mkopo si jambo la heri.
Leo hii namuangalia Mhe. Rais Samia akitua Entebbe na Ndege yetu iliyonunuliwa kwa Cash hivi ingekuwaje Kama angesafiri na ndege ya mkopo ambayo inaweza kuzuiliwa Airport na wadai??
Tutafakari
TGFA walikua na ndege kibao za viongozi mpaka nyingine wameitelekeza toka 2015(Ile Fokker 28) ila imekula billion kadhaa za matengenezo japo haitumiki mwaka wa 6 huu

Gulf Stream ile kama ya museveni Mramba alituambia tutakula nyasi inunuliwe wakati wa Mkapa na ilinunuliwa ipo safi kabisa

BTW TGFA ndo wamiliki wa hata hizo za ATCL.....naona Ndo umeamka leo
 
Katika uislamu mkopo si jambo la heri.
Leo hii namuangalia Mhe. Rais Samia akitua Entebbe na Ndege yetu iliyonunuliwa kwa Cash hivi ingekuwaje Kama angesafiri na ndege ya mkopo ambayo inaweza kuzuiliwa Airport na wadai??

Katika uislamu mkopo si jambo la heri.
Leo hii namuangalia Mhe. Rais Samia akitua Entebbe na Ndege yetu iliyonunuliwa kwa Cash hivi ingekuwaje Kama angesafiri na ndege ya mkopo ambayo inaweza kuzuiliwa Airport na wadai??
Tutafakari
Proff Assad anajua uislam kuliko wew uliyeishia madrassa....
By the way inayokopa ni serkali ambayo haina dini
 
Proff Assad anajua uislam kuliko wew uliyeishia madrassa....
By the way inayokopa ni serkali ambayo haina dini
Duuuu kaishia madrasa ina maana uwezo wake wa kufikiri hauna tofauti na mwana madrasa
 
watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa...praise team ktk utetezi wasioujua...sijui kama mtu anaelewa tofauti ya TGFA na ATCL...ngachoka
 
Hujui tofauti ya ndege ya Rais na za Atcl? Akitumia hizo za Atcl ni kwa mapenzi yake mwenyewe.
Watu wapo obsessed na mwendazake mpaka sera zake. Mtu hajui hata biashara ya genge, achilia mambo ya micro wala macroeconomics, anajimwambafayi eti angeenda na ndege ya mkopo. 😂 😂 😂
Hii nchi mwendazake alifurahia sana uwepo wa wasioelimika kwa wingi.

Everyday is Saturday..............................😎
 
Katika uislamu mkopo si jambo la heri.
Leo hii namuangalia Mhe. Rais Samia akitua Entebbe na Ndege yetu iliyonunuliwa kwa Cash hivi ingekuwaje Kama angesafiri na ndege ya mkopo ambayo inaweza kuzuiliwa Airport na wadai??
Tutafakari
Nyie watu nyie!!!, polepole alimfundisha hesabu prof, leo wewe unamfundisha uislam si ndio?
 
Katika uislamu mkopo si jambo la heri.
Leo hii namuangalia Mhe. Rais Samia akitua Entebbe na Ndege yetu iliyonunuliwa kwa Cash hivi ingekuwaje Kama angesafiri na ndege ya mkopo ambayo inaweza kuzuiliwa Airport na wadai??
Tutafakari
Ww ni zero, kwenye uislamu hakuna sehemu iliyosema mikopo ni haramu,bali riba ndo haramu
 
Back
Top Bottom