Tukifuata dhana ya profesa leo hii Rais Samia angeenda Uganda na ndege ya mkopo

Tukifuata dhana ya profesa leo hii Rais Samia angeenda Uganda na ndege ya mkopo

Halafu wewe eti mwaka 2015 ulihoji kipaumbele cha Elimu Elimu Elimu kwa madai kuwa wewe umeelimika na huoni mantiki yake.
Watu mnajua kufukua makaburi😂😂😂
 
Nyie mnaosema Tanzania ina ndege ya Rais mbona mama amekwenda na ndege ya ATCL ?
 
  • Thanks
Reactions: Uda
Katika uislamu mkopo si jambo la heri.
Leo hii namuangalia Mhe. Rais Samia akitua Entebbe na Ndege yetu iliyonunuliwa kwa Cash hivi ingekuwaje Kama angesafiri na ndege ya mkopo ambayo inaweza kuzuiliwa Airport na wadai??
Tutafakari
Kama huujui Uislamu basi ungeusoma kwanza ili kuondoa upotoshaji kwenye mambo ya kiimani.
Kwa kawaida kuna ndege ya rais na marais wote akiwemo mwenda zake wametumia ndege maalum ya rais, kama mama Samia rais wa JMT amekwenda na ndege ya ATCL hayo ni maamuzi waliyo kubaliana na ATCL.
Ndege ama mali yoyote haiwezi kukamatwa/kuzuiliwa kwa sababu ni ya mkopo.
 
Upo dunina ya wapi nani kakwambia serikali ya tanzania ishakosa ndege ya rais tangu tupate uhuru

Nikupe tarifa tulishambiwa tule nyasi ili ndege ya rais inunuliwe na ikanunuliwa ndege ya rais

Ila.maisha yanaenda kasi sijui yupo wapi mzee mramba eti tule nyasi rais apate ndege
Ile foka si ilipelekwa shirikani. Kwamba ikaongeze mapato
 
Nyie mnaosema Tanzania ina ndege ya Rais mbona mama amekwenda na ndege ya ATCL ?
Ina wezekana ndege ya rais ikawa na matatizo ya kiufundi, ama serikali imekodi ndege ya ATCL ili kupunguza gharama za matumizi ya ndege ya rais, upo pia uwezekano wa rais kusafiri kwa ndege ya abiria kupunguza gharama.
Hiyo haimaanishi kwamba TZ haina ndege ya rais.
 
Katika uislamu mkopo si jambo la heri.
Leo hii namuangalia Mhe. Rais Samia akitua Entebbe na Ndege yetu iliyonunuliwa kwa Cash hivi ingekuwaje Kama angesafiri na ndege ya mkopo ambayo inaweza kuzuiliwa Airport na wadai??
Tutafakari
Ndege ya Rais ipo, na ilinunuliwa wakati wa Mkapa, na tuliambiwa na Basil Pesambili Mramba kwamba hata ikibidi tutakula nyasi ndege ya Rais lazima inunuliwe. Sijui ulikuwa wapi wakati huo.
 
Tofautisha ndege ya rais,ambayo ipo hata kabla ya jpm na ndege za kufanyia biashara ya kubeba abiria, yaani atcl. Zinazoleta maneno ni hizo za biashara,umeelewa?!!

Watu wengi hawaijui mantik ni nini,kwa hiyo sio ajabu kwa mleta mada kuja na mada hio.
Ndege ya Rais sio ndege ya ATCL.
Ile ndege ya Rais waliopewa ATCL sio hii iliyotumika leo.
 
Katika uislamu mkopo si jambo la heri.
Leo hii namuangalia Mhe. Rais Samia akitua Entebbe na Ndege yetu iliyonunuliwa kwa Cash hivi ingekuwaje kama angesafiri na ndege ya mkopo ambayo inaweza kuzuiliwa Airport na wadai??

Tutafakari
Ndege ya rais ilinunuliwa enzi za mkapa na basil mramba nadhani
Ni gulfstream series kama sikosei
 
Hujui tofauti ya ndege ya Rais na za Atcl? Akitumia hizo za Atcl ni kwa mapenzi yake mwenyewe.
Nashukuru umemjibu kwa hekima, yaani tunajitia wajuaji halafu mambo mengi hatujui
 
Kwani ndege wanakopeshana kama Baiskeli?. si kuna kuwa na mikataba ambayo kampuni au gvt wanaingia na hao wauzaji.. Ndege sio baiskeli mkuu
 
Katika uislamu mkopo si jambo la heri.
Leo hii namuangalia Mhe. Rais Samia akitua Entebbe na Ndege yetu iliyonunuliwa kwa Cash hivi ingekuwaje kama angesafiri na ndege ya mkopo ambayo inaweza kuzuiliwa Airport na wadai??

Tutafakari
GFA (Government Flight Agency), ndege za serikali ikiwemo ya Rais.
ATCL ( Air Tanzania Limited), Shirika la Ndege Tanzania), kampuni ya usafiri wa ndege inayomilikiwa na serikali.
Mleta Post unakiwango cha chini sana cha kuanzisha hoja, hoja hii ni ya mwanafunzi wa kiwango cha madrasa.
 
Back
Top Bottom