Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 51,303
- 40,190
Wapi Uslam umekataza mikopo? Kama hujui masuala ya dini kaa kimya kwani uwezo kumtetea bila kutaja Uislam.Katika uislamu mkopo si jambo la heri.
Leo hii namuangalia Mhe. Rais Samia akitua Entebbe na Ndege yetu iliyonunuliwa kwa Cash hivi ingekuwaje Kama angesafiri na ndege ya mkopo ambayo inaweza kuzuiliwa Airport na wadai??
Tutafakari