Tukifuata ushauri wa Professor Janabi tutaangamia kwa njaa

Huyu professor wa mchongo na taaluma yake imeleta sintofahamu kitokana na utata wa degree zake za kitabibu! Huyu ni kanjanja!
 
Janabi anapaswa kupata tiba ya afya ya akili.

He is unfit kwa namna anavyotoa maelekezo yake ya kipuuzi kwa umma.

Mbona mwepesi wakusahau!? Bado tu unaulizia taaluma yangu licha yakujieleza kabla!?
Hebu tuachane na ishu ya msosi maana kuna wapenda kula kukuzidi wewe halikuwa uhakika wakupata hicho chakula hawana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…