Tukifuata ushauri wa Professor Janabi tutaangamia kwa njaa

Tukifuata ushauri wa Professor Janabi tutaangamia kwa njaa

Mkuu,

Tulishalijadili hili.

Kuna mtu alimtetea hivyo hivyo unavyomtetea, akanibishia nikaweka mpaka video hapa. Nikaweka mpaka dakika na sekunde ya kuanza kusikiliza.

Jamaa alikimbia. Hakuweza kuendelea kumtetea Janabi.

Usibisje. Janabi alivyosema ni kwamba ukiona dalili yoyote kati ya hizi umefika advanced stage ya ugonjwa wa figo.

Niliweka video mpaka dakika za kwenda kusikiliza nikaziweka hapa.

Don't make me do it again.

Tatizo hao maprofesa wenu wanaongea sana bila kufikiri na bila kujua kwamba kila neno lina uzito, na watu wengi sana wanawaamini. Wanawachanganya watu.
Nakubaliana na hoja. wengi wa wataalaamu ni wajuzi na wana ufahamu wa kutosha ila hawana utaalamu wa namna bora ya kuwasilisha wanachotaka kuhiambia jamii, jamii yenye watu wa aina mbalimbali, wanene, wembamba, wenye maradhi mbalimbali yanayoingiliana na ulaji wa vyakula baadhi tu n.k.

Inabidi wakati wanatoa mada waifikilie jamii inayopokea. Kingine basi waweke tahadhali kwamba itabidi umuone dactari wako, au waweke tahadhali za exceptions, mfano unaweza kula mlo mmoja ndio standard ila kwa watu wanaofanya kazi nzito au wenye kitu a,b,c unatakiwa upatiwe tailored nutrional health advices inaezekana wewe ocupational yako inahitaji wanga na proteein za kutosha kwa hiyo mlo mmoja hautoshi . Sasa yeye anakurupuka na kugeneralize ushauri as if watu wote ni homogenous.
 
Wasalaam wakuu!

Kwanza kabisa Nakubaliana na ushauri wote wakitabibu kuhusu aina sahihi ya chakula na namna nzuri ya ulaji kutoka kwa Daktari bingwa na mkuu wa kitengo cha magonjwa ya moyo professor mohamed Yakub Janabi.

Namimi baada yakumsikiliza na kuanza kufuatilia miongozo yake nikaamua kubadili aina yangu ya ulaji ili niendane na matakwa ya msomi huyu. Na sasa ni wiki ya 3 tangu nianze kufuatana na miongozo ya Janabi na nasema wazi kuwa nimenyoosha mikono juu [emoji119], hii ni Baada ya kuzidiwa na njaa kisha kupata kizungu zungu na kuanguka ghafla ofisini.

Baadhi ya miongozo ya Professor huyu msomi

1.Kunywa bia moja masaa yasiyopungua mawili na usiongee wakati unainywa hiyo bia

2.kula mara moja tu, ukizidisha iwe mara mbili na chakula kisizidi ujazo wa kiganja cha mkono wako.

3. ugali ni hatari kwa afya ya moyo na unadumaza akili

4. Professor anasema yeye hajanywa juice ya aina yoyote miaka zaidi ya 15, lakini anasema tusile sukari, chumvi, nyama nyekundu, nyama nyeupe tule kwa kiasi kidogo sana , samaki wasio na magamba wanamafuta mbaya, lakini samaki wa maji chumvi nao ni tatizo kwa moyo. Janabi anaenda mbali nakushauri mboga zote za majani ziliwe zikiwa mbichi. "Kweli kisamvu nikitafune kikiwa kibichi professor?"

Literally ni kama professor Janabi yupo katika kampen ya #kataa chakula sababu anapingana na kila mlo uliozoeleka kwa WaTanzania. Nashauri asipuuzwe ila asitiliwe maanani sana.
Profesa Anna tibaijuka aliwahi kusema"tatizo la Tanzania si kukosekana kwa wataalam bali nikutokuheshimu taaluma;
Bandiko zuri na ushauri mzuri zaidi.
Tuwaheshimu,na kuwatii wasomi wetu kadri ya uwezo wetu. Elewa neno, (kadri ya uwezo wako)
 
Wasalaam wakuu!

Kwanza kabisa Nakubaliana na ushauri wote wakitabibu kuhusu aina sahihi ya chakula na namna nzuri ya ulaji kutoka kwa Daktari bingwa na mkuu wa kitengo cha magonjwa ya moyo professor mohamed Yakub Janabi.

Namimi baada yakumsikiliza na kuanza kufuatilia miongozo yake nikaamua kubadili aina yangu ya ulaji ili niendane na matakwa ya msomi huyu. Na sasa ni wiki ya 3 tangu nianze kufuatana na miongozo ya Janabi na nasema wazi kuwa nimenyoosha mikono juu [emoji119], hii ni Baada ya kuzidiwa na njaa kisha kupata kizungu zungu na kuanguka ghafla ofisini.

Baadhi ya miongozo ya Professor huyu msomi

1.Kunywa bia moja masaa yasiyopungua mawili na usiongee wakati unainywa hiyo bia

2.kula mara moja tu, ukizidisha iwe mara mbili na chakula kisizidi ujazo wa kiganja cha mkono wako.

3. ugali ni hatari kwa afya ya moyo na unadumaza akili

4. Professor anasema yeye hajanywa juice ya aina yoyote miaka zaidi ya 15, lakini anasema tusile sukari, chumvi, nyama nyekundu, nyama nyeupe tule kwa kiasi kidogo sana , samaki wasio na magamba wanamafuta mbaya, lakini samaki wa maji chumvi nao ni tatizo kwa moyo. Janabi anaenda mbali nakushauri mboga zote za majani ziliwe zikiwa mbichi. "Kweli kisamvu nikitafune kikiwa kibichi professor?"

Literally ni kama professor Janabi yupo katika kampen ya #kataa chakula sababu anapingana na kila mlo uliozoeleka kwa WaTanzania. Nashauri asipuuzwe ila asitiliwe maanani sana.
nyie msikilizeni tu maaneeneer mtkuja kufa mwenzenu anabeba hadi kitimoto choma kwenye brifcase yake nyie mnasikiliza ngonjera zake, kwani kabla ya yeye watanzania walikua wanaishi namna gani? stupid thin professor.
 
Unafanya kazi gani??
Umeshwahi kuona au kusikia wafanyakazi wa kiwanda cha bakhresa pale buguruni wanavyohenyeka kila siku??
Halafu baada ya hiyo kazi ngumu ya kupakia viroba eoli zaidi ya 20 kwa siku aje anywe gahwa, mtaua watu aisee.
Kiranga hapo juu kaua winga, kula kulingana na shughuli zako na uahauri wa dkt.
Mimi ni fundi ujenzi, nafunga mwezi mzima wa ramadhani nikiwa kazini,Sadio maney,Suley Ally muntar na wachezaji mpira wengi hufunga mwezi mtukufu wa ramadhani na kucheza mechi za mashindano. Vipi hizi kaya mkuu sio za kutumia nguvu kubwa!?
 
Mimi ni fundi ujenzi, nafunga mwezi mzima wa ramadhani nikiwa kazini,Sadio maney,Suley Ally muntar na wachezaji mpira wengi hufunga mwezi mtukufu wa ramadhani na kucheza mechi za mashindano. Vipi hizi kaya mkuu sio za kutumia nguvu kubwa!?
Baada ya mfungo unafururu msosi gani?? Na hiyo ni mwezi mmoja tu wala sio maisha yako yote au walau hata miezi 3.
 
Nakubaliana na hoja. wengi wa wataalaamu ni wajuzi na wana ufahamu wa kutosha ila hawana utaalamu wa namna bora ya kuwasilisha wanachotaka kuhiambia jamii, jamii yenye watu wa aina mbalimbali, wanene, wembamba, wenye maradhi mbalimbali yanayoingiliana na ulaji wa vyakula baadhi tu n.k.

Inabidi wakati wanatoa mada waifikilie jamii inayopokea. Kingine basi waweke tahadhali kwamba itabidi umuone dactari wako, au waweke tahadhali za exceptions, mfano unaweza kula mlo mmoja ndio standard ila kwa watu wanaofanya kazi nzito au wenye kitu a,b,c unatakiwa upatiwe tailored nutrional health advices inaezekana wewe ocupational yako inahitaji wanga na proteein za kutosha kwa hiyo mlo mmoja hautoshi . Sasa yeye anakurupuka na kugeneralize ushauri as if watu wote ni homogenous.
Naam.

Such basic things lakini kwetu ni mgogoro mpaka kwa ma profesa.
 
Baada ya mfungo unafururu msosi gani?? Na hiyo ni mwezi mmoja tu wala sio maisha yako yote au walau hata miezi
Kwa kawaida hakuna ratiba ya shughuli yoyote ile unayoweza kuitekeleza kwa maisha yako yote, mabadiliko yanawezakufanyika kulingana na utaratibu utakaojiwekea kulingana na mahitaji ya wakati.
 
Kwa kawaida hakuna ratiba ya shughuli yoyote ile unayoweza kuitekeleza kwa maisha yako yote, mabadiliko yanawezakufanyika kulingana na utaratibu utakaojiwekea kulingana na mahitaji ya wakati.
Wanaofanya kazi ngumu na kufunga ni wengi mkuu, lakini ni ndani ya huo mwezi tu. Baada ya hapo ni msosi mfululu.
Uwe na mwili kama wa Janabi halafu uwe unabena viromba vya magimbi sokoni, utaweza??
 
Mkuu,

Miaka ya mwanzo ya tisini nilikuwa nafanya shughuli fulani kwenye studio ya Don Bosco Upanga.

Kulikuwa na recording sessions za mwanamuziki wa reggae, Justin Kalikawe.

Justin, kwa imani yake ya Rastafari, aliamua kuacha kula nyama. Akawa anakula mbogamboga tu. Alikuwa anafuatilia strict dietary rules za U Rastafari. Yani ukimpa chakula chenye chumvi tu, hata kama hakina nyama, Justin alikuwa hali. Ilifika wakati Justin akawa mpaka anatembea na chakula chake kwa sababu hawezi hata kula chakula cha hotelini.

Siku moja baada ya kurekodi, Justin alianguka chini studio, karibu azimie.

Ikaonekana kuwa Justin amekuwa very strict katika chakula, na kutokula nyama, bila kuwa na mpango maalum wa kufidia ukosefu w a protein, ambayo kwa kiasi kikubwa inapatikana kwenye nyama, kulimuathiri Justin.

Ikabidi sasa Justin afanye mpango maalum wa kufidia protein ambayo anaikosa kwenye nyama.

Sasa, ukisikiliza maneno kijumlajumla tu "usile nyama, nyama mbaya" , unaweza kuanguka ukafa kwa kukosa protein.
Na msiba wako wakachinja mbuzi au ng'ombe
 
Wasalaam wakuu!

Kwanza kabisa Nakubaliana na ushauri wote wakitabibu kuhusu aina sahihi ya chakula na namna nzuri ya ulaji kutoka kwa Daktari bingwa na mkuu wa kitengo cha magonjwa ya moyo professor mohamed Yakub Janabi.

Namimi baada yakumsikiliza na kuanza kufuatilia miongozo yake nikaamua kubadili aina yangu ya ulaji ili niendane na matakwa ya msomi huyu. Na sasa ni wiki ya 3 tangu nianze kufuatana na miongozo ya Janabi na nasema wazi kuwa nimenyoosha mikono juu [emoji119], hii ni Baada ya kuzidiwa na njaa kisha kupata kizungu zungu na kuanguka ghafla ofisini.

Baadhi ya miongozo ya Professor huyu msomi

1.Kunywa bia moja masaa yasiyopungua mawili na usiongee wakati unainywa hiyo bia

2.kula mara moja tu, ukizidisha iwe mara mbili na chakula kisizidi ujazo wa kiganja cha mkono wako.

3. ugali ni hatari kwa afya ya moyo na unadumaza akili

4. Professor anasema yeye hajanywa juice ya aina yoyote miaka zaidi ya 15, lakini anasema tusile sukari, chumvi, nyama nyekundu, nyama nyeupe tule kwa kiasi kidogo sana , samaki wasio na magamba wanamafuta mbaya, lakini samaki wa maji chumvi nao ni tatizo kwa moyo. Janabi anaenda mbali nakushauri mboga zote za majani ziliwe zikiwa mbichi. "Kweli kisamvu nikitafune kikiwa kibichi professor?"

Literally ni kama professor Janabi yupo katika kampen ya #kataa chakula sababu anapingana na kila mlo uliozoeleka kwa WaTanzania. Nashauri asipuuzwe ila asitiliwe maanani sana.
Janabi anapaswa kupata tiba ya afya ya akili.

He is unfit kwa namna anavyotoa maelekezo yake ya kipuuzi kwa umma
 
Profesa Anna tibaijuka aliwahi kusema"tatizo la Tanzania si kukosekana kwa wataalam bali nikutokuheshimu taaluma;
Bandiko zuri na ushauri mzuri zaidi.
Tuwaheshimu,na kuwatii wasomi wetu kadri ya uwezo wetu. Elewa neno, (kadri ya uwezo wako)
Ila professor Janabi na professor Tibaijuka ukiangalia miili yao utadhani ni kaka na dada.
Sijui kama Tibaijuka nae kaacha kunywa juice!
 
Mtadanganywa sana na hizo mifumo ya kula.mkija gundua anayewapa ushauri huyo badae anatandika fufu na egusi mamichuzi ya kwao huko ka.a hana akili nzuri.
Na mtachoka zaidi mkijua hata hiyo sio fani yake.
 
Ila professor Janabi na professor Tibaijuka ukiangalia miili yao utadhani ni kaka na dada.
Sijui kama Tibaijuka nae kaacha kunywa juice!
Ndio wasomi wetu hao, vyovyote vile walivyo tuwalindie heshima, wanalo walijualo na wanajitoa kwa ajili yetu.
 
Wanaofanya kazi ngumu na kufunga wengi mkuu, lakini ni ndani ya huo mwezi tu. Baada ya hapo ni msosi mfululu.
Uwe na mwili kama wa Janabi halafu uwe unabena viromba vya magimbi sokoni, utaweza??
Unaweza mkuu, wembamba haumaanishi udhaifu wala ubonge haumaanishi uimara, Professa ana nguvu zakutosha usimjaribu!
 
Unaweza mkuu, wembamba haumaanishi udhaifu wala ubonge haumaanishi uimara, Professa ana nguvu zakutosha usimjaribu!
Ushawahi kwenda kuona wanaobeba mizigo masokoni??
Hata akiwa mwembaba anakua amejengeka misuli kwa kubeba vitu vizito.

Mbeba vitu vizito umpe breakfast ya matunda/asile kama Janabi anavyodai, mchana ale kiduchu sijui jioni ale matunda , mzee kesho hata kutembea atashindwa.

Wewe ni daktari??
 
Back
Top Bottom