mwehu ndama
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 630
- 2,151
- Thread starter
- #41
😁😁Nimejaribu Kula wali na tembele lilioshwa na majibbila kupikwa vimenishinda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😁Nimejaribu Kula wali na tembele lilioshwa na majibbila kupikwa vimenishinda
Aaaah aMkuu,
Nakumbushia tu historia ya Upanga ya tangu enzi hizo Yoweri Museveni anakodi teksi kurudi kwake halafu akakimbia kulipa bill.
Leo nikimuona Museveni rais wa Uganda anazingua miaka yote hii nacheka sana jinsi maisha yanavyobadilika.
Leo nikirudi mimi Upanga naonekana mgeni
Engine Scania unaambiwa uweke wese la bajaji“Baada ya kuzidiwa na njaa kisha kupata kizungu zungu na kuanguka ofisini” [emoji23][emoji23] pole sana mkuu maisha ya kizungu hatuyawezi engine zetu ni kubwa
Du mambo ya wahenga haya,😂😂Mkuu,
Nakumbushia tu historia ya Upanga ya tangu enzi hizo Yoweri Museveni anakodi teksi kurudi kwake halafu akakimbia kulipa bill.
Leo nikimuona Museveni rais wa Uganda anazingua miaka yote hii nacheka sana jinsi maisha yanavyobadilika.
Leo nikirudi mimi Upanga naonekana mgeni
Hoyo resta vegan hakuwa anakula maharage, kunde, njegere, au karanga pia?Mkuu,
Miaka ya mwanzo ya tisini nilikuwa nafanya shughuli fulani kwenye studio ya Don Bosco Upanga.
Kulikuwa na recording sessions za mwanamuziki wa reggae, Justin Kalikawe.
Justin, kwa imani yake ya Rastafari, aliamua kuacha kula nyama. Akawa anakula mbogamboga tu. Alikuwa anafuatilia strict dietary rules za U Rastafari. Yani ukimpa chakula chenye chumvi tu, hata kama hakina nyama, Justin alikuwa hali. Ilifika wakati Justin akawa mpaka anatembea na chakula chake kwa sababu hawezi hata kula chakula cha hotelini.
Siku moja baada ya kurekodi, Justin alianguka chini studio, karibu azimie.
Ikaonekana kuwa Justin amekuwa very strict katika chakula, na kutokula nyama, bila kuwa na mpango maalum wa kufidia ukosefu w a protein, ambayo kwa kiasi kikubwa inapatikana kwenye nyama, kulimuathiri Justin.
Ikabidi sasa Justin afanye mpango maalum wa kufidia protein ambayo anaikosa kwenye nyama.
Sasa, ukisikiliza maneno kijumlajumla tu "usile nyama, nyama mbaya" , unaweza kuanguka ukafa kwa kukosa protein.
Kuna protein nyingine hupati bila nyama, na ukipoata inakuwa kidogo sana.Hoyo resta vegan hakuwa anakula maharage, kunde, njegere, au karanga pia?
Kuna mtu namfahamu ambaye sio rasta wala vegan lakini hali nyama wala samaki kwa sababu hapendi tu hivyo vyakula na ana afya nzuri sana na pia hana hata mpango wa chakula maalum kufidia Protein anayokosa kwenye nyama na Samaki.
Janabi alikuwa anazungumzia utambuzi wa matatizo ya figo kwa kutaja dalili kadhaa kwa pamoja, zilikuwa nyingi mojawapo ikiwa mwili kuchoka sana, kuvimba miguu, kupumua n.k alichomaanisha ni kama mtu anazo hizi dalili kwa pamoja, sio moja moja. Yani sio tu kwamba ukiwa mchovu wakati wote una dalili za figo ila kwa sababu tumekuwa nchi ya mizaha na utani sana watu wakakuruka na hiyo ya mkojo tu.Mkojo wenye povu unaweza kuupata kwa kunywa bia moja tu, au kula vidonge vya multivitamins tu.
Sasa daktari mzima anatoaje ushauri irresponsible hivyo?
Ni kweli kuna ushauri wa jumla na ushauri tailored, lakini Janabi anasema hilo? Au anasema tu jumla ukishaona mkojo wenye povu una ugonjwa wa figo tena dvanced stages, bila kujali umekula au kunywa nini kabla ya kukojoa?
Wanga unaweza kuwa mbaya, lakini, kuna watu wanafanya kazi za shurba wanahitaji wanga sana kwa ajili ya energy. Sasa utatoa vipi ushauri wa wanga mbaya kiujumla wakati mbeba zege na mfyatua matofali wanahitaji sana wanga?
Sioni shida kuwepo kwa rule of thumb au ushauri general wa afya kwa kuanzia katika masuala ya vyakula. Kwamba kuna watu wanakunywa pombe sana na kuvuta sana sigara na wanaishi muda mrefu hata kufika miaka 90 bila matatizo yoyote makubwa ya kiafya kama ya kansa au ya figo haizuii kusema pombe na sigara sio nzuri kwa afya.Kuna protein nyingine hupati bila nyama, na ukipoata inakuwa kidogo sana.
Kuhusu mtu kuweza kuwa vegetarian bila kuhitaji kufidia protein, hapo ndipo point yangu ya kila mtu yuko tofauti inapokuja, na kabla ya kuanza mfumo mpya wa kula au kufanya mazoezi, inabidi kupata ushauri wa kitaalamu.
Nasikitika sana ninaposikia watu wanaotakiwa kuwa wataalam wanatoa ushauri wa one size fits all.
Mkuu,Janabi alikuwa anazungumzia utambuzi wa matatizo ya figo kwa kutaja dalili kadhaa kwa pamoja, zilikuwa nyingi mojawapo ikiwa mwili kuchoka sana, kuvimba miguu, kupumua n.k alichomaanisha ni kama mtu anazo hizi dalili kwa pamoja, sio moja moja. Yani sio tu kwamba ukiwa mchovu wakati wote una dalili za figo ila kwa sababu tumekuwa nchi ya mizaha na utani sana watu wakakuruka na hiyo ya mkojo tu.
Sasa hapo umeweka rule of thumb positive.Sioni shida kuwepo kwa rule of thumb au ushauri general wa afya kwa kuanzia katika masuala ya vyakula. Kwamba kuna watu wanakunywa sana na kuvuta sana sigara na wanaishi muda mrefu hata kufika miaka 90 bila matatizo yoyote makubwa ya kiafya kama ya kansa au ya figo haizuii kusema pombe na sigara sio nzuri kwa afya.
Mkuu Iweke hiyo video, wakati mwingine ni uelewa wa lugha tu unaweza kuwa tofauti.Mkuu,
Tulishalijadili jili.
Kuna mtu alimtetea hivyo hivyo unavyomtetea, akanibishia nikaweka mpaka video hapa. Nikaweka mpaka dakika na sekunde ya kuanza kusikiliza.
Jamaa alikimbia. Hakuweza kuendelea kumtetea Janabi.
Usibisje. Janabi alivyosema ni kwamba ukiona dalili yoyote kati ya hizi umefika advanced stage ya ugonjwa wa figo.
Niliweka video mpaka dakika za kwenda kusikiliza nikaziweka hapa.
Don't make me do it again.
Tatizo hao maprofesa wenu wanaongea sana bila kufikiri na bila kujua kwamba kila neno lina uzito, na watu wengi sana wanawaamini. Wanawachanganya watu.
Sio rahisi kwa dereva dalala au wa bus ambaye amekaa siku nzima anabugia na kujishilindia soda, ice cream na energy drinks kwenda kumuona mtaalamu wa afya ampe ushauri wa chakula na afya. Jamii yetu bado iko nyuma sana katika masuala ya kumuona mtaalamu wa afya kabla matatizo makubwa hayajatokea. Kiafya inashauriwa kumuona daktari wa meno angalau mara moja kwa mwaka lakini kuna watu mpaka wanakufa na miaka 90 hawajawahi kumuona daktari wa meno.Sasa hapo umeweka rule of thumb positive.
Ukiweka rule of thumb ya kusema tupunguze kula tule milo miwili halafu mtu anahitaji kula zaidi, akiacha kula anadondoka na kufa, unakuwa umeharibu sana.
Ndiyo maana msisitizo wa kwamba kabla hujaanza mfumo mpya wa kula au kufanya mazoezi pata ushauri wa mtaalamu ni muhimu sana.
Rule of thumb inaweza kukuua.
Huwezu kuwa mtaalamu wa cardiac issue bila kuwa na utaalamu mkubwa sana wa lishe. Hakuna popote unapopotoshwa na Janabi, ni uelewa wako tu wa ki layman au uwezo mdogo wa ubongo ku process mambo saa nyingine mambo yanakupita juu ya kichwa.Jamaa kuna mambo anatupeleka chaka kwa wanaojua mambo ya biology wanacheka chini chini [emoji23], kwanza huyu ni mtaalamu wa lishe au cardiac issues??
Bob alikuwa hali nyama lkn alidanjaUmetoa maoni mazuri sana sana. Umenikumbusha, nadhani nilisoma mahali fulani kuwa kuna utafiti ulionyesha kuwa hata kuacha kula vyakula vya aina fulani eg red meat kunaweza kusiwe na faida kwa baadhi ya makundi ya watu na pengine kukaleta matokeo hasi.
Sio rahisi kwa dereva dalala au wa bus ambaye amekaa siku nzima anabugia na kujishilindia soda, ice cream na energy drinks kwenda kumuona mtaalamu wa afya ampe ushauri wa chakula na afya. Jamii yetu bado iko nyuma sana katika masuala ya kumuona mtaalamu wa afya kabla matatizo makubwa hayajatokea. Kiafya inashauriwa kumuona daktari wa meno angalau mara moja kwa mwaka lakini kuna watu mpaka wanakufa na miaka 90 hawajawahi kumuona daktari wa meno.
Hapo ndio umuhimu wa rule of thumb unapokuja kupitia mass media.
😂😂Bob alikuwa hali nyama lkn alidanja
Angalia kutoka dakika ya 13.Mkuu Iweke hiyo video, wakati mwingine ni uelewa wa lugha tu unaweza kuwa tofauti.